< 2 Wakorintho 10 >

1 Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga” ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye ujasiri nikiwa mbali nanyi!
Bhai, nne a Pauli namwene ngunakunshondelesheyanga kwa tungamana na uguja malinga gwa a Kilishitu, nne nili jwa kwiitimalika pungubha na mmanganya, ikabheje na jwa makangala ga bheleketa, pungubha kwa talika na mmanganya
2 Nawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu.
Ngunakunnjuganga nnamulayanje melekete kwa makangala pushing'ishepo, pabha nimumanyi kuti shindende nneyo ku bhandunji bhakutuganishiyanga kuti tunaakaguya ikubho ya pa shilambolyo.
3 Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Nankali tutama pa shilambolyo, ikabheje tukaakomana ngondo malinga shibhakomananga bhandunji bha pa shilambolyo.
4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,
Pabha, ikomanilo ya nngondo jetu nngabha malinga ikomanilo ya pa shilambolyo, ikabhe ishikola mashili ga a Nnungu ga kombola kuangabhanya mashili ga bhamagongo. Tunaangabhanya ng'aniyo ya unami,
5 tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo,
na angabhanya ng'aniyo yowe ya kwiiniya, ibhishilwe nkupinga kutauka lumanyiyo lwa a Nnungu, tulikwiitenda ng'aniyo yowe yaakunde a Kilishitu.
6 tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.
Na shitubhe tayali kuukumula shitendi shoshowe sha tauka, kukunda kwenunji kukamilikaga.
7 Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo.
Mmanganyanji nnalolanga indu kwa palangape. Bhuli, apali mundu jojowe aganishiya kuti jwenejo jwa a Kilishitu? Bhai, atuganishiye na uwe kuti tubha a Kilishitu malinga shali jwenejo.
8 Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya.
Bhai, nkali niitapaga kashoko kwa ligongo lya mashili gutupegwilwe na Bhakulungwa, ga kunshimilikanga nngulupai na nngabha ga kunng'angabhanyanga, kwa nneyo ngakola oni.
9 Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.
Ngapinga nnganishiyanje kuti ngunapinga kunnjogoyanga kwa bhaluwa yangu.
10 Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.”
Pabha bhananji bhakutinji, “Bhaluwa ya a Pauli inakalipa na ishikola malobhe ga topa, ikabhe bhayene bhabhaga na uwe bhakakola makangala, nkali malobhe gabho gakakola mashili.”
11 Watu kama hao wajue ya kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi.
Mundu jwa nneyo amumanye kuti, itujandika mmaluwa tubhaga kwatalika, yoyo peyo itutenda putuika kunngwenunji.
12 Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja au kujilinganisha na hao wanaojitukuza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana. Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana busara.
Kwa kweli tukalinga kwiibhika eu kwiilinganya na bhandunji bhakwiiniyanga ashaayenenji. Ikabheje bhakwiipimanga na kwiilinganya ashayenenji kwa ashayenenji ni bhangumba.
13 Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi, bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia hata ninyi.
Nkali nneyo, uwe tukakwiiniya kwa punda, ikabhe kwiiniya kwetu shikubhe nniengo libhatupele a Nnungu, kwa liengo litutenda mpaka kunng'ishilanga mmanganyanji.
14 Kwa maana hatukuwa tunavuka mipaka katika kujisifu kwetu, kama vile ambavyo ingekuwa kama hatukuwa tumekuja kwenu. Kwa maana sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kuja kwenu na Injili ya Kristo.
Twangaiiniya kwa punda, pabha putwaishe kungwenunji kulunguya Ngani ja Mmbone ja a Kilishitu, twangapunda mipika.
15 Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi,
Bhai, tukakwiiniya kwa liengo libhatendilenje bhananji, ikabhe tunaakulupalila kuti ngulupai jenunji shijipunde, na liengo lyetu shilipunde kujenjesheka munkumbi gwenunji, gwangali pelenganya mipika jitubhishilwe na a Nnungu.
16 ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine.
Penepo shitulunguye Ngani ja Mmbone mwilambo ina, kwa nneyo shitwiiniye kwa ligongo lya liengo lyetu na nngabha libhatendilenje bhananji.
17 Lakini, “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
Ikabheje, malinga shigakuti lugula Majandiko ga Ukonjelo, “Jwene apinga kwiiniya, aiiniye kwa ligongo lya Bhakulungwa.”
18 Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Bwana humsifu.
Pabha mundu apingwa, nngabha akwiilumbilila nnyene, ikabhe alumbililwa na Bhakulungwa.

< 2 Wakorintho 10 >