< 2 Wakorintho 10 >
1 Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga” ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye ujasiri nikiwa mbali nanyi!
Na, Bolo, na da Yesu Gelesu Ea hou da asaboi amola asigiwane, amo dawa: beba: le na da dilima ha: giwane adole ba: sa. Mogili ilia giadofale amane sia: sa, “Bolo da ninima gilisisia, ninia odagia sia: sea, e da fonoboi amola asaboi hamosa. Be eno sogega esalea, e da ninima gasa bagade amola ougiwane hamosa.” Be na da Gelesu Ea asaboi amola gebewane hou amoba: le dilima edegesa.
2 Nawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu.
Na dilima doaga: sea, dilima ougiwane sia: ga gegemusa: , dili na mae logema! Bai na da dunu amo da ninima nini da osobo bagade liligi hanaiba: le hamosa, amo ilia sia: sa, na da ilima ougiwane sia: ga gegesu dawa:
3 Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Dafawane! Ninia da osobo bagade ganodini esala. Be osobo bagade hou dawa: beba: le, ninia da hame gegesa.
4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,
Ninia gegesea, ninia gegesu liligi da osobo bagade gegesu liligi hame. Ninia gegesu liligi da Gode Ea gasa bagade gegesu liligi gala. Amoga ninia gasa bagade gagili sali diasu mugulumusa: dawa: Dunu ilia ogogole sia: ga gegesea, ninia da ilia logo amo gegesu liligiga hedofamusa: dawa:
5 tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo,
Dunu eno da hanaiba: le, Godema dawa: su hou hogoi helesa. Eno dunu da ilia logo hedofamusa: dafama: ne olelesa. Be ninia amo dafama: ne olelesu, Gode Ea gegesu liligiga hedofamusa: dawa: Gegebeba: le, ninia fedege agoane asigi dawa: su huluane gagulaligili, Yesu Gelesuma fa: no bobogema: ne hiouginana ahoa.
6 tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.
Amola dilia da mae yolesili, Yesu Gelesuma fuligala: musa: ahoabe hou olelesea, ninia fa: no hame fuligala: su hou ba: sea, se dabe iasu imunu.
7 Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo.
Dilia da dabua liligi fawane ba: sa. Dunu afae da Yesu Gelesuma madelagi dagoi dawa: sea, defea, ninia da amo defele Yesu Gelesuma madelagi dagoi.
8 Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya.
Na da hame gogosiabe! Amabela: ? Hina Gode Yesu Gelesu da ninima ouligisu hou iabeba: le, na da fonobahadi gasa fi agoane hamobela: ? Be na da hame gogosiabe. E da amo ouligisu hou dili mae wadela: ma: ne, be fidima: ne, ninima i dagoi.
9 Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.
Na meloa dedene iasi da dili beda: ma: ne dedei, amo dilia dawa: mu na higa: i gala mabu.
10 Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.”
Dunu afae da amane sia: mu, “Bolo da gasa bagade amola ougi bagade, meloa dedene iasisa. Be e da ninima doaga: sea, e da gasa hame ba: sa amola ea sia: da hamedei agoane ba: sa.”
11 Watu kama hao wajue ya kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi.
Ninia dilima hame gilisibiba: le, meloa ganodini dedene iasisa amola ninia da dilia odagiga sia: mu hou da hisu hisu hame be hou afadafa fawane, amo dunu da dawa: mu da defea.
12 Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja au kujilinganisha na hao wanaojitukuza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana. Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana busara.
Be agoai dunu, ilisu da ilia hou da gasa bagade ilia dawa: beba: le, ninia hou da ilia hou defele ninia da hame sia: mu. Ilia da gagaoui. Ilisu ilia hou dawa: ma: ne, ilia da ilegesa.
13 Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi, bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia hata ninyi.
Be ninia hidale gasa fi hou sia: musa: dawa: sea, ninia Gode Ea hawa: hamosu E da ninima ilegei, amo fawane gasawane sia: mu. Gode da dili fidimusa: amola eno dunu fidimusa: , amo hawa: hamosu ninima ilegei.
14 Kwa maana hatukuwa tunavuka mipaka katika kujisifu kwetu, kama vile ambavyo ingekuwa kama hatukuwa tumekuja kwenu. Kwa maana sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kuja kwenu na Injili ya Kristo.
Gode da dilia Golidia dunu fidima: ne hawa: hamosu ninima olelebeba: le, ninia da sia: Ida: iwane Yesu Gelesu Ea hou olelesu liligi amo dilima olelebeba: le, ninia hawa: hamosu ilegei hame baligi.
15 Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi,
Amaiba: le, eno dunu ilia Gode Ea ninima ilegei hawa: hamosu mae dawa: le, baligili hawa: hamobeba: le, ninia da hidale hame sia: sa. Be dilia dafawaneyale dawa: su hou da bu asigilamu amola ninia da dilia fi amo ganodini Gode Ea olelei defele eno hawa: hamomu, amo ninia da hanai. Be Gode Ea ninima ilegei hawa: hamosu fawane.
16 ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine.
Amasea, dilima olelelalu, ninia baligili eno sogega, Gode Sia: Ida: iwane olelesu logo ba: mu. Amaiba: le, ninia gaheabolo soge ganodini olelebeba: le, ninia da eno dunu ea olelei soge amo ganodini hame hawa: hamobeba: le, udigili hame hidale nodomu.
17 Lakini, “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
Be Gode Sia: da amane dedei diala, “Nowa da hidale sia: musa: dawa: sea, e da Hina Gode Hi fawane da amo hawa: hamoi sia: mu da defea.”
18 Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Bwana humsifu.
Dunu da hi hou da ida: iwane hisu dawa: beba: le, Hina Gode da hahawane hame ba: sa. Be Hina Gode da dunu ea hou ida: iwane dawa: sea, E da amo dunu hahawane ba: sa.