< 2 Nyakati 8 >

1 Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alilijenga Hekalu la Bwana na jumba lake mwenyewe la kifalme,
Solomon el musai Tempul ac lohm sin tokosra ke yac longoul.
2 Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.
El oayapa sifil musaela siti su Tokosra Hiram el sang lal, ac el supwala mwet Israel in tuh muta we.
3 Kisha Solomoni akaenda Hamath-Soba na kuuteka.
El mweun ac sruokya acn Hamath ac Zobah,
4 Pia akajenga mji wa Tadmori katika jangwa na miji yote ya kuhifadhia vitu katika Hamathi.
ac el kuhlasak Palmyra, sie siti in acn mwesis. El sifil musaela siti nukewa in acn Hamath, su pa nien filma lalos.
5 Akajenga tena Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, miji yenye ngome, kuta, malango na makomeo.
Solomon el oayapa sifil musaela Beth Horon Lucng ac Beth Horon Ten (siti luo inge oasr kalkal we, ac mutunpot we ku in kauli),
6 Solomoni pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.
oayapa siti se pangpang Baalath, ac siti nukewa su ma lalos oan we, ac siti ma horse ac chariot natulos oan we. El aksafyela oakwuk nukewa lal nu ke acn Jerusalem ac Lebanon ac in acn nukewa ma el leum fac.
7 Watu wote waliosalia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya mataifa hayakuwa Waisraeli),
Mwet lula nukewa sin tulik nutin mwet Hit, mwet Amor, mwet Periz, mwet Hiv ac mwet Jebus, su tia mwet Israel.
8 yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.
Solomon el akkohsyelos nukewa su mwet Israel elos tia uniya, ac elos srakna mwet kohs nwe in pacl inge.
9 Lakini Solomoni hakuwafanya Waisraeli watumwa kwa ajili ya kazi yake, bali walikuwa wapiganaji, majemadari, maafisa wake, majemadari wa magari yake ya vita na waendesha magari ya vita.
Tusruktu el tiana akkohsye mwet Israel, a el sang tuh elos in mwet mweun, mwet pwapa, mwet kol fin mwet kasrusr ke chariot, ac mwet kasrusr fin horse.
10 Pia walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia watu.
Oasr mwet kol luofoko lumngaul su Tokosra Solomon el sang in liyaung kutena kain in musa.
11 Solomoni akampandisha mke wake binti Farao kutoka Mji wa Daudi na kumleta jumba la kifalme alilokuwa amemjengea, kwa kuwa alisema, “Mke wangu hataishi katika jumba la kifalme la Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu mahali ambapo Sanduku la Bwana limefika ni patakatifu.”
Solomon el srakla mutan se kial su acn natul tokosra Egypt, liki Siti sel David nu ke lohm se el musaela sel, ac el fahk, “Mutan se inge ac fah tia muta in lohm sel Tokosra David lun Israel, mweyen kutena acn Tuptup in Wuleang oan we, acn mutal.”
12 Mfalme Solomoni akamtolea Bwana dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana ambayo alikuwa ameijenga mbele ya ukumbi,
Solomon el kisakin mwe kisa nu sin LEUM GOD fin loang se el tuh orala ke mutun Tempul ah.
13 kulingana na mahitaji ya kila siku kwa ajili ya sadaka zilizoamriwa na Mose kwa ajili ya Sabato, Mwezi Mwandamo na sikukuu nyingine tatu za mwaka, yaani, Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma na Sikukuu ya Vibanda.
El kisakin mwe kisa firir, fal nu ke ma sap Moses el oakiya nu ke kais sie len fulat inge: len Sabbath, Kufwen Malem Sasu, oayapa len in kufwa tolu in yac nukewa, su Kufwen Bread Tia Akpulol, Kufwen Kosrani, ac Kufwen Iwen Aktuktuk.
14 Kwa kushika maagizo ya Daudi baba yake, aliweka migawanyo ya makuhani kwa ajili ya kazi zao, nao Walawi kuongoza kusifu na kusaidia makuhani kufuatana na mahitaji ya kila siku. Pia akaweka mabawabu katika migawanyo kwa ajili ya malango mbalimbali, kwa sababu hili ndilo Daudi mtu wa Mungu alilokuwa ameagiza.
El oakiya orekma kunen mwet tol ke kais sie len, oana ma David, papa tumal, el sapkin, oayapa ma kunen mwet Levi su kasru mwet tol ke on ac orekma pac saya lalos. El oayapa oakiya un mwet karingin kais sie nien utyak nu ke Tempul, fal nu ke ma David, mwet lun God, el sapkin.
15 Nao hawakuziacha amri za mfalme alizoamuru makuhani au Walawi katika jambo lolote, ikiwa ni pamoja na zile za hazina.
Oakwuk nukewa ma David el tuh sang nu sin mwet tol ac mwet Levi nu ke lohm in filma ac kutena ma saya, orekla nufon oana ma sapkinyuk.
16 Kazi yote ya Mfalme Solomoni ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la Bwana ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la Bwana likamalizika kujengwa.
Ke ma inge, safla orekma nukewa ma Solomon el orala, mutawauk ke oakiyen pwelung nu ke Tempul lun LEUM GOD, nwe ke safla musa sac, ac ma nukewa wona.
17 Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.
Na Solomon el som nu Eziongeber ac Elath, nien oai sisken Meoa Srusra in facl Edom.
18 Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.
Tokosra Hiram el supwala kutu oak nu yorol, wi mwet fulat lal sifacna ac mwet su yohk etu la ke kalkal. Elos wi mwet fulat lal Solomon oayak ac kal nu in acn Ophir, ac elos use akuran tolngoul luo tausin paun in gold ac sang nu sel Solomon.

< 2 Nyakati 8 >