< 2 Nyakati 6 >

1 Ndipo Solomoni akasema, “Bwana alisema kwamba ataishi katika giza nene.
آنگاه سلیمان پادشاه اینطور دعا کرد: «خداوندا، تو فرموده‌ای که در ابر غلیظ و تاریک ساکن می‌شوی. ولی من برای تو خانه‌ای ساخته‌ام تا همیشه در آن منزل کنی!»
2 Nimejenga Hekalu zuri kwa ajili yako, mahali pako pa kukaa milele.”
3 Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.
سپس پادشاه رو به جماعتی که ایستاده بودند کرد و ایشان را برکت داده، گفت: «سپاس بر خداوند، خدای اسرائیل که آنچه را شخصاً به پدرم داوود وعده داده بود، امروز با دست خود بجا آورده است.
4 Kisha akasema: “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mikono yake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,
5 ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, wala sikumchagua mtu yeyote kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli.
او به پدرم فرمود:”از زمانی که قوم خود را از مصر بیرون آوردم تاکنون در هیچ جای سرزمین اسرائیل هرگز شهری را انتخاب نکرده‌ام تا در آنجا خانه‌ای برای حرمت نام من بنا شود و نیز کسی را برنگزیده‌ام تا رهبر قوم من اسرائیل شود.
6 Lakini sasa nimeuchagua Yerusalemu ili Jina langu lipate kuwamo humo, na nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’
اما اکنون اورشلیم را برای حرمت نام خود انتخاب کرده‌ام و داوود را برگزیده‌ام تا بر قوم من حکومت کند.“
7 “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
«پدرم داوود می‌خواست این خانه را برای نام یهوه، خدای اسرائیل بسازد.
8 Lakini Bwana akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.
ولی خداوند به پدرم داوود فرمود:”قصد و نیت تو خوب است،
9 Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea Hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’
اما کسی که باید خانهٔ خدا را بسازد تو نیستی. پسر تو خانهٔ مرا بنا خواهد کرد.“
10 “Bwana ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile Bwana alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
حال، خداوند به وعدهٔ خود وفا کرده است. زیرا من به جای پدرم داوود بر تخت سلطنت اسرائیل نشسته‌ام و این خانه را برای عبادت خداوند، خدای اسرائیل ساخته‌ام.
11 Nimeliweka humo Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la Bwana alilofanya na watu wa Israeli.”
صندوق عهد را در آنجا گذاشته‌ام، آن عهدی که خداوند با قوم اسرائیل بست.»
12 Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya Bwana machoni pa kusanyiko lote la Israeli, naye akakunjua mikono yake.
آنگاه سلیمان در حضور جماعت اسرائیل، روبروی مذبح خداوند، روی سکوی وسط حیاط بیرونی ایستاد. این سکوی چهارگوش از مفرغ ساخته شده و طول هر ضلع آن پنج ذراع و بلندیش سه ذراع بود. سپس سلیمان زانو زده، دستهای خود را به طرف آسمان بلند نمود و اینطور دعا کرد:
13 Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.
14 Akasema: “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.
«ای خداوند، خدای بنی‌اسرائیل، در تمام زمین و آسمان خدایی همانند تو وجود ندارد. تو خدایی هستی که عهد پر از رحمت خود را با کسانی که با تمام جان و دل احکام تو را اطاعت می‌کنند، نگاه می‌داری.
15 Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.
تو به وعده‌ای که به بندهٔ خود، پدرم داوود، دادی امروز وفا کرده‌ای.
16 “Sasa Bwana, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’
پس ای خداوند، خدای اسرائیل، اینک به این وعده نیز که به پدرم داوود که خدمتگزارت بود دادی وفا کن که فرمودی:”اگر فرزندان تو مثل خودت مطیع دستورهای من باشند همیشه یک نفر از نسل تو بر اسرائیل پادشاهی خواهد کرد.“
17 Sasa, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.
الان ای خداوند، خدای اسرائیل، از تو خواستارم که آنچه به خدمتگزارت داوود وعده دادی انجام بشود.
18 “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani na wanadamu? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!
«ولی آیا ممکن است که خدا واقعاً روی زمین در میان آدمیان ساکن شود؟ ای خداوند، حتی آسمانها گنجایش تو را ندارند، چه رسد به این خانه‌ای که من ساخته‌ام!
19 Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee Bwana Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.
با وجود این، ای خداوند، خدای من، تو دعای مرا بشنو و آن را مستجاب فرما.
20 Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.
چشمان تو شبانه روز بر این خانه باشد که درباره‌اش فرمودی نام خود را در آن خواهی نهاد. هر وقت در این مکان دعا می‌کنم، دعای مرا بشنو و اجابت فرما.
21 Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.
نه تنها من، بلکه هر وقت قوم تو اسرائیل نیز در اینجا دعا کنند، تو دعای آنها را اجابت فرما و از آسمان که محل سکونت توست، استغاثهٔ ایشان را بشنو و گناهانشان را ببخش.
22 “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,
«هرگاه کسی متهم به جرمی شده باشد و از او بخواهند پیش این مذبح سوگند یاد کند که بی‌گناه است،
23 basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimwadhibu yule mwenye hatia kwa kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.
آنگاه از آسمان بشنو و داوری کن. اگر به دروغ سوگند یاد نموده و مقصر باشد وی را به سزای عملش برسان، در غیر این صورت بی‌گناهی او را ثابت و اعلام کن.
24 “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,
«وقتی قوم تو اسرائیل گناه ورزند و در نتیجه مغلوب دشمن شوند ولی بعد به سوی تو روی آورند و اعتراف نمایند و در این خانه به حضور تو دعا کنند،
25 basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.
آنگاه از آسمان ایشان را اجابت فرما و گناه قوم خود را بیامرز و بار دیگر آنان را به این سرزمینی که به ایشان و اجدادشان بخشیده‌ای، بازگردان.
26 “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,
«وقتی قوم تو گناه کنند و آسمان به خاطر گناهشان بسته شود و دیگر باران نبارد ولی بعد آنها از گناهشان بازگشت نموده، اعتراف نمایند و به سوی این خانه دعا کنند،
27 basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.
آنگاه از آسمان ایشان را اجابت فرما و گناه بندگان خود را بیامرز، و راه راست را به ایشان نشان بده و بر زمینی که به قوم خود به ملکیت داده‌ای باران بفرست.
28 “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,
«هرگاه این سرزمین دچار قحطی یا طاعون شود، یا محصول آن در اثر بادهای سوزان و هجوم ملخ از بین برود، یا دشمن، قوم تو را در شهر محاصره کند و یا هر بلا و مرض دیگر پیش آید،
29 wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu zake na uchungu wake, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili,
و قوم تو، هر یک دستهای خود را به سوی این خانه دراز کرده، دعا کنند، آنگاه تو ناله‌های ایشان را
30 basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),
از آسمان که محل سکونت توست، بشنو و گناهانشان را ببخش. ای خدا، تو که تنها عارف قلوب مردمی، هر کس را برحسب کارهایش جزا بده.
31 ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.
آنگاه آنها در تمام عمر خود در این سرزمین که به اجدادمان بخشیده‌ای همواره از تو خواهند ترسید و تو را اطاعت خواهند کرد.
32 “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu na mkono wako wenye nguvu ulionyooshwa, atakapokuja kuomba kuelekea Hekalu hili,
«در آینده بیگانگانی که از قوم تو اسرائیل نیستند، دربارۀ تو خواهند شنید. وقتی آنان دربارۀ نام عظیمت و بازوی قدرتمندت بشنوند از سرزمینهای دور به اینجا خواهند آمد. هرگاه آنان به سوی این خانه دعا کنند،
33 basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.
آنگاه از آسمان که محل سکونت توست، دعای آنها را بشنو و هر چه می‌خواهند به آنها ببخش تا تمام اقوام روی زمین تو را بشناسند و مانند قوم خودت اسرائیل از تو ترسیده، بدانند که نام تو بر این خانه‌ای است که من ساخته‌ام.
34 “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa Bwana kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
«اگر قوم تو به فرمان تو به جنگ دشمن بروند، و از میدان جنگ به سوی این شهر برگزیدهٔ تو و این خانه‌ای که من به اسم تو ساخته‌ام به درگاه تو دعا کنند،
35 basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.
آنگاه از آسمان دعای ایشان را اجابت فرما و آنها را در جنگ پیروز گردان.
36 “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi iliyo mbali au karibu
«اگر قوم تو نسبت به تو گناه کنند و کیست که گناه نکند؟ و تو بر آنها خشمگین شوی و اجازه دهی دشمن آنها را به سرزمین خود، خواه دور، خواه نزدیک، به اسارت ببرد،
37 na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya utumwa na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa na tumetenda uovu’;
هرگاه در آن کشور بیگانه به خود آیند و توبه کرده، به تو پناه آورند و دعا نموده، بگویند:”خداوندا ما به راه خطا رفته‌ایم و مرتکب گناه شده‌ایم.“
38 kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
اگر آنان واقعاً از گناهان خود دست بکشند و به طرف این سرزمین که به اجداد ایشان بخشیدی و این شهر برگزیدهٔ تو و این خانه‌ای که به اسم تو ساخته‌ام، دعا کنند؛
39 basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao. Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako.
آنگاه از آسمان که محل سکونت توست دعاها و ناله‌های ایشان را بشنو و به داد آنان برس و قوم خود را که به تو گناه کرده‌اند ببخش.
40 “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa.
بله، ای خدای من، بر ما نظر کن و تمام دعاهایی را که در این مکان به حضور تو کرده می‌شود، بشنو!
41 “Sasa inuka, Ee Bwana Mungu,
حال ای خداوند، برخیز و با صندوق عهد خویش که مظهر قوت توست به این خانه وارد شو و در آن بمان. خداوندا، کاهنان تو به لباس نجات آراسته شوند و مقدّسان تو به سبب اعمال نیکوی تو شادی کنند.
42 Ee Bwana Mungu, usimkatae
ای خداوند، روی خود را از من که برگزیدهٔ تو هستم برنگردان. محبت و رحمت خود را در حق داوود به یاد آور.»

< 2 Nyakati 6 >