< 2 Nyakati 6 >

1 Ndipo Solomoni akasema, “Bwana alisema kwamba ataishi katika giza nene.
Chuin Solomon chu ataovin, “O Pakai nangin muthim lhangkhal kiheh lah’a kachenge nanatin,
2 Nimejenga Hekalu zuri kwa ajili yako, mahali pako pa kukaa milele.”
Tun keiman tonsotna nachen nading Houin loupitah khat kasahpeh tai,” ati.
3 Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.
Chuin lengpa chun amasanga ding-Israel mipi lam chu angan ahung kiheidoh in, hitichun Pathen phatheina athumpeh in ahi.
4 Kisha akasema: “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mikono yake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,
“Vahchoiyun Pakai Israel Pathen chu, aman kapa koma akamcheng tah’a akitepna chu asuhbulhit ahitai, kapa jah’a anaseiyin,
5 ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, wala sikumchagua mtu yeyote kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli.
“Kami Israelte Egypt gam'a kahin puidoh nikhoa pat chun, Kamin ki jana ding Houin sahna ding in; Israel phung sunga khopi dang kalhengpoi chule kami Israelte chunga vaihom ding in koima dang kalhengpoi.
6 Lakini sasa nimeuchagua Yerusalemu ili Jina langu lipate kuwamo humo, na nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’
Ahinlah tun Keiman Jerusalem hi kamin kijabolna Houin mun dingin kalheng in, chule kami Israelte chunga leng ding in David hi kalhengtai,” ati.
7 “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
Chuin Solomon chun, “Kapa David lungthimma Pakai Israel Pathen min jabolna ding Houin khat sahdoh nom na aum jing in ahi,” ati.
8 Lakini Bwana akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.
“Ahinlah Pakai chun kapa jah’a kamin jabolna ding Houin khat sahdinga nagel chu apha lheh’e atin ahi.
9 Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea Hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’
Hijongleh nangma hi Houin sading chu nahipoi, ahinlah natahsa le nathisana pengdoh nachapa tah chun, Kamin kijabol na ding Houin chu asahdoh joh ding ahi,” ati.
10 “Bwana ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile Bwana alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
“Chule tun Pakai chun ana kitepna chu asubulhitnin kapa khellin lengpa kahung hitai, chule Pakai kitepna bangchun Israel laltouna a katoutai. Pakai Israel Pathen min jabolna dingin Houin khat kasadohtai.
11 Nimeliweka humo Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la Bwana alilofanya na watu wa Israeli.”
Hiche laimuna chun Pakai in ami Israelte toh akitepna kikoina Pathen thingkong chu kakoitai,” ati.
12 Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya Bwana machoni pa kusanyiko lote la Israeli, naye akakunjua mikono yake.
Chuin Solomon chu Israel pumpi masang Pakai maicham masanga chun ading doh in, akhut teni ajah in ataotan ahi.
13 Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.
Tun Solomon chun Sum-enga kisem thuseina munkhat adung-avai tong nga, chule asan lam tong thum asemmin Houin leitol lailunga chun adotan ahi.
14 Akasema: “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.
Vo Pakai, Israel Pathen van le leiya nangma tobang Pathen dang aumpoi, nangman nakitepna nanit jing in, alungthim pumpia nangma kom hinjonna kipedohte nalungsetna longlou chu nachan jinge.
15 Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.
Nangman nalhachapa kapa David komma nakitepna nanit jinge, “Tun nangman nakam chengtah’a kitepna nasem chu nangma khut tah in nasubulhit tai,” tin Solomon chu ataovin ahi.
16 “Sasa Bwana, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’
Hijeh chun, “Vo Pakai Israel Pathen tun nalhacha kapa David komma kitepna adang nasem ho chu nitjing tan, nangman nabol bang banga na chilhah te jong lamdih’a achonnuva kadan thupeh ho kitahna neitah’a ajuidiu le amaho lah’a khat pen pen chu Israel laltouna a toujing ding ahi,” nati.
17 Sasa, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.
“Vo Pakai, Israel Pathen tuhin nalhacha, David koma nakitepna chu subulhit jengtan,” ati.
18 “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani na wanadamu? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!
Ahinlah, Pathen chu leiset mihemte lah’a hi chengmong ding hinam? Ijeh-inem itileh vanchung sangpen hon jong nangma hi nadol lou ding ahi, chutileh keiman kasah Houin hi iti neova neo ding hitam?
19 Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee Bwana Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.
Chuti chu hijongle kataona leh kathumna hi eina ngaipeh teiyin,
20 Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.
asun ajanin hiche Houin a namin kijabolna dinga naseina mun hi nahin vetjing thei’a, chule nalhachate le namiten hiche mun lam nga-a taona ahin man tengule nahin ngai na din;
21 Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.
keima le nami Israel ten kineosahtah le ngaicha tah’a hiche langmun ngatna kahin ngeh tengule nahin ngaipeh theina dingun, nachenna mun vanna kon in hingaiyin lang najah tengle hin ngaidam in.
22 “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,
Koitobang hamkhatnin aheng akom chunga suhkhel neija themmo akichanteng kathemoe tia akihahselna dinga, hiche Houin maicham masanga ahung tengule,
23 basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimwadhibu yule mwenye hatia kwa kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.
vanna konin hinngai inlang, thu hin tanpeh jengin; asukhel athemmopa chu achan dinga lom chansah inlang, mona neiloupa chu lhadoh jeng in.
24 “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,
Namite Israelte chun nangma dounaa achonset jeh uva, gal aleluva achonset nau akona ahung kiheikit uva; chule nangma angsunga ahung kineosah uva, nangma nahin koukituva ahungtao kit ule;
25 basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.
Vanna konin hin ngaiyin lang, nami Israelte chonsetna chu hin ngaidam in, chule amaho le apu apateu napehsa gam chu lepeh kit tan.
26 “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,
Namite chu nangma dounaa achonset jeh uva vankot akikhaa gotwi ajuh louva chule achonset jeh uva nabol gim teng le, iham tia a chonset nauva konna ahung kinung heikit uva nangma min pan’a hiche Houin lam ngatna ahung tao tengule,
27 basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.
vanna konin hin ngaiyin lang nalhachate nami Israelte chonsetna chu ngaidam in, lamdih ajot thei nadiuvin hil inlang, chule nangman namite chan dinga napehsa gamma chun gotwi chu juhsah kittan.
28 “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,
Iham tia gamsunga kel alhah’a pul alanna, muchi-chivo ho chunga natna achuh a, namite chu galmiten gamsunga ahindel khum uva; akhopihou ahin umkimvel uva amat gotuva chule itobang vangsetna le natpi umjongle,
29 wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu zake na uchungu wake, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili,
nami Israel techun hitobang genthei hahsatna chunga hi akhut ajah uva, Houin lang ngatna ahung tao ule,
30 basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),
Van naumnaa konin hin ngaiyin lang ngaidam in, namite chu athilbol aumchan toh kilomin bolpeh in, ajeh chu nangbouseh in mihem khatcheh lungsung hi nahet ahi.
31 ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.
Chutileh nangman apu-apateu nana pehsa gamsunga achen laiseuva, nangma hi nagin jing diu nangma lampi chu ajot jing diu ahi.
32 “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu na mkono wako wenye nguvu ulionyooshwa, atakapokuja kuomba kuelekea Hekalu hili,
Khonung tengle gampam miho nami Israel hilou ho chun, nangma hina chu ahinjah doh uva nagin diu ahi. Ama hochun naloupina, nathahatna le naban thahat thilbol theina ho chu ahin jahdohuva, gamlatah gamho akonna hungdiu ahi. Chutengle amaho chun hiche Houin lang ngatna ahungtao tengule,
33 basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.
vana naumna mun akon in ataonau hin ngaipeh inlang, athil thum uchu hinsan pehtan; hitia chu nami Israelte banga chu leiset mihem te jousen nangma hi nahin hetdoh diu ahi. Amaho jong chun hiche Houin hi nangma min kijabolna dinga kisadoh ahichu ahin hetdoh diu ahi.
34 “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa Bwana kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
Namite chu galsat dinga nasol dohnauva kona chu nangman nadeilhen khopi lam ngatna, chule nangma min kijabolna dinga kasadoh Houin lam ngatna ahungtao teng ule,
35 basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.
vana konin hin ngaipeh inlang, athum pen uchu hin kithopi tan.
36 “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi iliyo mbali au karibu
Aitih’a chonse ngailou nangma dounaa achonset tengule, nangman amaho chunga nalung hanna; chutengle amaho chu agalmiten jou uvintin, gampam mi anai hijongle agamla hijongle sohchangin kaimang tauhen.
37 na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya utumwa na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa na tumetenda uovu’;
Ahinlah chuche asohchan nau gam achun kisih tah in hung kinung hei kit uhenlang, tao uhenlang eiho ichonse tauve, thilse iboltauve atiuva,
38 kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
asoh channau gamma chu alungthim pumpiu le alhagao pumpia ahung kinung heikit uva, apu apateu nana pehsa gam lam ngatna chule nangman nalhentum khopi lam ahin ngat uva, namin jabolna'a kisadoh Houin lam nga-a ahungtao tengule,
39 basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao. Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako.
van na umna munna konin ataonau le athumnao hin ngaipeh inlang, athum lo na pen bang uchun hin panpi tan.
40 “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa.
O Pathen hiche lai munna konna taona hung kimang jouse hi hin venlang, na nakol hin sung tem in.
41 “Sasa inuka, Ee Bwana Mungu,
Chule vo Pakai, Pathen hung kithoudoh inlang nakichol nading mun nathahatni mel thingkonga hin hunglut temin, vo Pakai Pathen na thempuho chun sochat na ponsil kisil uhen; thudih’a chonna chate chu nangma phatna jallin kipah thanom uhen.
42 Ee Bwana Mungu, usimkatae
Vo Pakai, Pathen thao nanusa Lengpa chu nodoh dan, nalhacha David long louva nalungsetna chu hin geldoh jing jeng in.

< 2 Nyakati 6 >