< 2 Nyakati 4 >

1 Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini, upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.
Uzunluⱪi yigirmǝ gǝz, kǝngliki yigirmǝ gǝz, egizliki on gǝz kelidiƣan bir mis ⱪurbangaⱨ yasatti.
2 Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini ingeweza kuizunguka.
U mistin «dengiz» yasatti; uning xǝkli dügilǝk bolup, u girwikidin bu girwikigiqǝ on gǝz kelǝtti; egizliki bǝx gǝz, aylanmisi ottuz gǝz idi.
3 Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja. Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.
«Dengiz»ning sirtⱪi asta ⱪismi buⱪining xǝkli bilǝn qɵrüldürüp bezǝlgǝn bolup, buⱪilar ⱨǝrbir gǝzgǝ ondin, ikki ⱪatar ⱪilinip, mis «dengiz» bilǝn tǝng ⱪuyup qiⱪilƣanidi.
4 Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.
Mis «dengiz»ni on ikki mis buⱪa kɵtürüp turatti; uning üqi ximalƣa, üqi ƣǝrbkǝ, üqi jǝnubⱪa, üqi xǝrⱪⱪǝ ⱪarap turatti. «dengiz» buⱪining dümbisigǝ yatⱪuzulƣan bolup, buⱪilarning ⱪuyruⱪi iqi tǝrǝptǝ idi.
5 Unene wake ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.
Mis dengizning ⱪelinliⱪi bir alⱪan bolup, qɵrisi qinining girwikidǝk nilupǝr xǝklidǝ ⱪilinƣan, uningƣa üq ming bat su patatti.
6 Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.
U yǝnǝ on «yuyux desi» yasitip, bǝxini mis dengizning ong tǝripigǝ, bǝxini sol tǝripigǝ ⱪoyƣuzdi; kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪlarƣa ixlitidiƣan buyum-ǝswablirining ⱨǝmmisi xu daslarda yuyulatti; «dengiz» bolsa kaⱨinlarning yuyunuxi üqün ixlitilǝtti.
7 Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.
U yǝnǝ bǝlgilǝngǝn xǝkildǝ on altun qiraƣdan yasitip muⱪǝddǝs jayning iqigǝ ornatti; uning bǝxini ong tǝrǝpkǝ, bǝxini sol tǝrǝpkǝ ⱪoydurdi.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.
Yǝnǝ on xirǝ yasitip muⱪǝddǝs jayning iqigǝ ⱪoyƣuzdi; uning bǝxini ong tǝrǝpkǝ, bǝxini sol tǝrǝpkǝ ⱪoyƣuzdi. U yǝnǝ yüz danǝ altun qinǝ yasatti.
9 Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.
U yǝnǝ «kaⱨinlar ⱨoylisi», qong ⱨoyla wǝ qong ⱨoylining dǝrwazilirini yasatti wǝ dǝrwazilarning ⱨǝmmisini mis bilǝn ⱪaplatti.
10 Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.
U mis «dengiz»ni ibadǝthanining ong tǝripigǝ, yǝni xǝrⱪiy jǝnub tǝripigǝ ⱪoyƣuzdi.
11 Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:
Ⱨuram yǝnǝ ⱪazan, kürǝk wǝ ⱪaqa-ⱪuqilarni ǝtküzdi. Ⱨuram xu tǝriⱪidǝ Sulayman padixaⱨ üqün Hudaning ɵyining barliⱪ ⱪurulux hizmitini püttürdi,
12 zile nguzo mbili; yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo, zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;
Yǝni ikki tüwrük, ikki tüwrükning üstidiki apⱪursiman ikki bax wǝ bu ikki baxni yepip turidiƣan ikki torni yasitip püttürdi.
13 yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
Xu ikki tor üstigǝ ⱪayqilaxturulƣan tɵt yüz anarni yasatti; bir torda ikki ⱪatar anar bolup, tüwrük üstidiki apⱪursiman ikki baxni yepip turatti.
14 vishikio pamoja na masinia yake;
U on das tǝgliki wǝ das tǝglikigǝ ⱪoyulidiƣan on «yuyux desi»ni,
15 hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;
«mis dengiz» wǝ uning astidiki on ikki mis buⱪini yasatⱪuzdi.
16 pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana. Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.
Ⱪazan, kürǝk, wilka-ilmǝklǝr, wǝ munasiwǝtlik barliⱪ ǝswablarni Ⱨuram-Abi Pǝrwǝrdigarning ɵyini dǝp Sulayman padixaⱨⱪa parⱪiraydiƣan mista yasitip bǝrdi.
17 Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.
Padixaⱨ bularni Iordan tüzlǝnglikidǝ, Sukkot bilǝn Zǝrǝdataⱨ otturisida, [xu yǝrdiki] seƣiz layda ⱪelip yasap, ⱪuydurup qiⱪti.
18 Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.
Sulayman yasatⱪuzƣan bu ǝswablarning sani intayin kɵp idi; kǝtkǝn misning eƣirliⱪini ɵlqǝp bolmaytti.
19 Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu: madhabahu ya dhahabu; meza za kuweka mikate ya Wonyesho;
Sulayman yǝnǝ Hudaning ɵyi iqidiki barliⱪ ǝswablarni yasatti — yǝni altun huxbuygaⱨni, «tǝⱪdim nan» ⱪoyulidiƣan xirǝlǝrni
20 vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;
wǝ sap altunda ⱪilinƣan qiraƣdanlar bilǝn qiraƣlirini yasatⱪuzdi; bu qiraƣlar bǝlgilimǝ boyiqǝ iqki «kalamhana» aldida yandurux üqün boldi.
21 maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);
U yǝnǝ qiraƣdanning gülliri, qiraƣ wǝ pilik ⱪayqilirining ⱨǝmmisini altundin ⱪildurdi (ular sap aldundin idi).
22 mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.
U yǝnǝ peqaⱪlar, tawaⱪlar, piyalǝ-ⱪaqa wǝ küldanlarning ⱨǝmmisini sap altundin ⱪildurdi. U ɵyning ixiklirini, yǝni iqidiki ǝng muⱪǝddǝs jayƣa kiridiƣan iqki ⱪatlima ixiklǝr wǝ ɵyning «muⱪǝddǝs jay»ining taxⱪiriⱪi ixiklirini altundin ⱪildurdi.

< 2 Nyakati 4 >