< 2 Nyakati 4 >

1 Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini, upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.
Aman adungavai tong somni chule tong somma sang, sum eng maicham phungkhat asemmin ahi.
2 Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini ingeweza kuizunguka.
Chujouvin twitunna kongtong lentah khat asemin, agei langkhatna pat langkhat chan chu tong som ahin, hichu twipi tin aki minsah in; hiche kongtong bellen chu tong nga’n athuh in, tong somthum in akollin ahi.
3 Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja. Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.
Hiche kongtong agei noitah’a chun bongchal lim tobanga kisem golnin akim vellin a kongtong kol lhungkeichun bongchal lim kengkhatna gup gupmin akigolhung keijin chule hiche hochu kongtong kisema chu kisemtha ahitai.
4 Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.
Twipi kisah kongtong lentah chu sum eng bongchal somleni chunga chun akikoi yin, abonchauvin apamlam angaove. Bongchal thum chun solam angai, chule amaho chunga chun kongtong lentah twipi kisah chu akingam in ahi.
5 Unene wake ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.
Twipi kisah kongtong chu khut phang toh kibang in asa’in, ageichin chu khon bangin apaltou in, twikoh pahcha pah tobang ahi. Hiche kongton chun twi tena sangsom sagi le li toh Jani le somnga adollin ahi.
6 Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.
Chujongleh aman pumgo thiltonaa kimang umle bel ho sopna dingin jong kongtong som asem in, kongtong nga chu lhanglama akoiyin nga ma chu sahlama akoiyin ahi. Ahinlah thempuho chun kongtong twipi kiti a chun akisop jiuvin ahi.
7 Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.
Chule aman sana thaomei khom som akiseipeh bang chun, asem in abonchan houin sunga chun atungtai. Thaomei khom nga chu Houin bang jet langa akoi in, nga chu veilanga chun atungin ahi.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.
Chujongleh aman dokhang som asemin, hichelah’a chun dokhang nga chu bang jetlam'a adon, nga ma chu availam achun adotan ahi, chule sana kong jakhat jong asemin ahi.
9 Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.
Ama chun thempu ho veilama thutana ding hongcha, chule indan inchu hongcha asahpeh in ahi. Hongcha hoa lutle potle nading in akotjong atopeh in chule sum eng in atom khumpeh in ahi.
10 Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.
Sum eng kongtong lentah twipi kitipen chu, houin lhunna solam anunga chun akoiyin ahi.
11 Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:
Chujongleh Hiram-abi chun Pathen houna dinga angaicha khoh thil ho sopna kongtong, vutlo chule chakong jong asemin ahi.
12 zile nguzo mbili; yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo, zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;
Hitichun Huram-abi chun Lengpa Solomonin Pathen Houin a dinga ngaicha thilho jouse anganse bangchun asem jouse asemjou soh kei tan ahi. Khompi teni luvuma kijopson konglim kisem alukhuh teni, khon lukhuh teni jephoina dinga kisem lencha pheh banga kipheh ho,
13 yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
khom lukhuh chunga kito lencha chunga kikhai kolbuthei jaliho (Kolbu thei golni cheh chu khompi chunga kitoson khom kiphut jephoina ding chu asemjoutan ahi).
14 vishikio pamoja na masinia yake;
Kongtong to kitomat kangtalai ho,
15 hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;
Twipi kiti kongtong le anoija bongchal ho;
16 pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana. Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.
Vut koina kong ho, vutlo ho; satul ho; chule Houin toh kisamkai thil ho, Haram-abi chun chuche thilho jouse chu sum eng jenga asem ahi. Pakai Houin a dinga Lengpa Solomon in athupeh banga,
17 Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.
lengpa chun thilho jouse chu Jordan phaicham Succoth le Zarethan kikah’a chu alhah jolsoh kei ahi.
18 Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.
Solomon chun chutobang tah’a mantam sum-eng chu amanchah ahin, ageh danjong seijou hoi ahipoi.
19 Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu: madhabahu ya dhahabu; meza za kuweka mikate ya Wonyesho;
Chujongleh Solomon chun Pathen Houin a dinga manchah jouse asemin; Sana maicham, changlhah agol golla koina ding dokhang asem in ahi.
20 vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;
Akisemdoh akisei banga muntheng chungnunga vahding, sana thengsella kisem sana thaomei le thaomei khom ho;
21 maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);
Pahcha kijemhoi ho, thaomei chule chaiche ho chu aboncha sana thengsella kisemcheh ahiuve.
22 mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.
Thaomei thamitna ho, kongtong ho bukong ho chule thilnamtui halkhutna ho, jong aboncha sana thengsella kisem ahi; houin a muntheng chungnung lut le potle na kotcha hole, kotpi ho jong chu sana thengsella kito ahisoh keijin ahi.

< 2 Nyakati 4 >