< 2 Nyakati 4 >

1 Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini, upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.
Rhohum hmueihtuk te a yun dong kul, a daang dong kul, a sang dong rha la a saii.
2 Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini ingeweza kuizunguka.
Tuili te a saii tih a rhai lamloh a rhai hil te dong rha la a hlawn. a kaepvai pumrhuelh te khaw rhui a sen dong nga neh a kaep ah a yen vaengah dong sawmthum lo.
3 Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja. Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.
A hmui ah vaito muei om tih a kaep, kaep ah a vael uh. Te te dong khat dongah pumrha neh a vael. Tuili kaep kah vaito than nit te a hlawnnah neh a hlawn.
4 Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.
Tuli te vaito pum hlai nit soah a pai sak. Pathum te tlangpuei la mael, pathum te tuipuei la mael, pathum te tuithim la mael, pathum te khocuk la mael. Te rhoek dongkah a so ah tuili te om tih a hnuk boeih te a khui la sisukuh.
5 Unene wake ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.
A thah kutsom pakhat lo tih a rhai te boengloeng rhai mueimae bangla om. Rhaiphuelh tuilipai a doeng tih bath thawng thum kun.
6 Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.
Baeldung khaw parha a saii tih bantang ah panga, banvoei ah panga a khueh. A khuiah hmueihhlutnah hnopai a silh uh tih te khuiah te a hoek uh. Tedae tuili kah a khuiah te khosoih rhoek loh tui a hluk uh.
7 Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.
Sui hmaitung parha te amamih kah khosing bangla a saii tih bawkim khuiah te bantang ah panga, banvoei ah panga a khueh.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.
Caboei parha a saii tih bawkim khuikah bantang ah panga, banvoei ah panga a hol. Sui baelcak khaw yakhat a saii.
9 Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.
Khosoih rhoek kah vongup khaw tungkha a len neh thungkha dongkah thohkhaih te a saii tih a thohkhaih te rhohum a ben thil.
10 Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.
Tuili te khaw khothoeng bantang hael kah tuithim imdan ah a khueh.
11 Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia. Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:
Huram loh am neh hmaisoh khaw, baelcak khaw a saii. Huram Khiram loh bitat a saii te a khah coeng. Te te manghai Solomon hamla Pathen im ah a saii pah.
12 zile nguzo mbili; yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo, zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;
Tung panit neh tuidueh khaw, tung soi rhoi kah tungthi khaw, tung soi, tungthi dongkah tuidueh rhoi aka cam sahamlong rhoi khaw,
13 yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
Sahamlong rhoi dongkah hamla tale thaih ya li lo. Sahamlong pakhat dongah tale thaih than nit om tih tung soi tungthi dongkah tuidueh rhoi te a thingcam.
14 vishikio pamoja na masinia yake;
Tungkho khaw a saii tih tungkho soah baeldung a saii.
15 hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;
Tuili pakhat te khaw a hmui ah vaito hlai nit.
16 pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana. Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.
Te phoeiah am neh hmaisoh khaw, ciksum neh hnopai boeih khaw a saii. Te rhoek Huramabi loh manghai Solomon ham neh BOEIPA im ham rhohum met neh a saii.
17 Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.
Te rhoek te Jordan vannaem kah Sukkoth laklo neh Zeredah laklo, lai thah dongah manghai loh a saii.
18 Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.
He hnopai boeih he Solomon loh a cungkuem la muep a saii tih rhohum kah a khiing te khe lek pawh.
19 Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu: madhabahu ya dhahabu; meza za kuweka mikate ya Wonyesho;
Solomon loh Pathen im kah hnopai cungkuem, sui hmueihtuk neh caboei khaw a so kah a hmai buh khaw a saii.
20 vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;
Hmaitung neh a hmaithoi dongkah a a tok ham khaw cangimphu hmai ah a khosing bangla sui cilh neh a saii.
21 maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);
Rhaiphuelh neh hmaithoi khaw, sui paitaeh he khaw sui kak ni.
22 mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.
Te phoeiah paitaeh neh baelcak khaw, yakbu neh baelphaih khaw sui kak ni. Im thohka kah a thohkhaih khaw, hmuencim kah hmuencim khui khaw, sui bawkim kah im thohkhaih khaw a saii.

< 2 Nyakati 4 >