< 2 Nyakati 35 >
1 Yosia akaadhimisha Pasaka kwa Bwana katika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Og Josias holdt Paaske for Herren i Jerusalem, og de slagtede Paaskelam paa den fjortende Dag i den første Maaned.
2 Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu la Bwana.
Og han beskikkede Præsterne til det, de skulde varetage, og styrkede dem til deres Tjeneste i Herrens Hus.
3 Akawaambia Walawi, waliowafundisha Waisraeli wote na waliokuwa wamejiweka wakfu kwa ajili ya kazi ya Bwana, “Liwekeni hilo Sanduku takatifu katika Hekalu lile alilojenga Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli. Halipaswi kubebwa huku na huko mabegani mwenu. Sasa mtumikieni Bwana Mungu wenu na watu wake Israeli.
Og han sagde til Leviterne, som underviste al Israel om de hellige Ting for Herren: Sætter den hellige Ark i Huset, som Salomo, Davids Søn, Israels Konge, har bygget; I have ingen Byrde at bære paa Skuldre, tjener nu Herren eders Gud og hans Folk Israel,
4 Jiandaeni kwa kufuata jamaa zenu katika migawanyo yenu, kufuatana na maelezo yaliyoandikwa na Daudi mfalme wa Israeli na mwanawe Solomoni.
og bereder eder efter eders Fædrenehuse, efter eders Skifter, som det er foreskrevet af David, Israels Konge, og foreskrevet af Salomo, hans Søn;
5 “Simameni mahali patakatifu kwa kufuata migawanyo ya jamaa za baba zenu kulingana na koo zenu na pawepo Walawi kwa ajili ya kila mgawanyo wa nyumba ya baba zenu.
og staar i Helligdommen efter Afdelingerne af Fædrenehusene iblandt eders Brødre, Folkets Børn, og efter hver Afdeling af Fædrenes Huse iblandt Leviterne;
6 Chinjeni mwana-kondoo wa Pasaka, jitakaseni, nanyi kwa niaba ya koo zenu fanyeni maandalizi, mkitenda sawasawa na neno la Bwana kwa mkono wa Mose.”
og slagter Paaskelam, helliger eder og bereder det for eders Brødre, idet I gøre efter Herrens Ord ved Mose.
7 Ndipo Yosia akawapa watu wote wana-mbuzi waliokuwepo jumla ya kondoo wapatao 30,000 kwa ajili ya sadaka ya Pasaka, pia na ngʼombe 10,000, vyote hivi kutoka mali binafsi ya mfalme.
Og Josias gav Folkets Børn smaat Kvæg, Lam og Kid, alt sammen til Paaske for alle dem, som vare til Stede, efter Tallet tredive Tusinde, og tre Tusinde Øksne; disse bleve givne af Kongens Gods.
8 Pia maafisa wake, wakatoa kwa hiari yao wakawapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, Zekaria na Yehieli, waliokuwa maafisa wakuu wa Hekalu la Mungu, wakawapa makuhani sadaka za Pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi 2,600 na mafahali 300.
Ogsaa gave hans Fyrster en frivillig Gave til Folket, til Præsterne og til Leviterne, nemlig Hilkia og Sakaria og Jehiel, Øverster i Guds Hus, gave Præsterne to Tusinde og seks Hundrede Stykker smaat Kvæg til Paaske og tre Hundrede Øksne.
9 Konania na nduguze wawili, Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli na Yozabadi waliokuwa viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi wana-kondoo na wana-mbuzi 5,000 na mafahali 500, kwa ajili ya sadaka za Pasaka.
Men Kanania og Semaja og Nethaneel, hans Brødre, ligeledes Hasabia og Jehiel og Josabad, Leviternes Øverster, gave fem Tusinde Stykker smaat Kvæg til Paaske og fem Hundrede Øksne.
10 Huduma ilipomalizika kuandaliwa makuhani wakasimama mahali pao na Walawi katika migawanyo yao kama mfalme alivyokuwa ameamuru.
Saa blev Tjenesten beredet; og Præsterne stode paa deres Sted, og Leviterne efter deres Skifter ifølge Kongens Befaling,
11 Wana-kondoo wa Pasaka wakachinjwa, nao makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa, wakati Walawi wakiwa wanawachuna wale wanyama ngozi.
og disse slagtede Paaskelammene, og Præsterne stænkede med Blodet, som de modtoge af deres Hænder, og Leviterne flaaede Lammene.
12 Wakatenga sadaka za kuteketezwa ili waweze kugawia ili migawanyo kwa kufuata jamaa za baba zao ili watoe sadaka kwa Bwana kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose. Wakafanya vivyo hivyo kwa wale mafahali.
Og de skilte Brændofferet derfra, at de kunde give det til Afdelingerne af Fædrenehusene iblandt Folkets Børn for at ofre det til Herren, som der er skrevet i Mose Bog; og ligervis med Øksnene.
13 Wakawaoka wale wanyama wa Pasaka kwenye moto kama ilivyoamriwa, wakachemsha zile sadaka takatifu kwenye vyungu, masufuria makubwa na vikaango na kuwagawia watu wote upesi.
Og de stegte Paaskelammet ved Ilden paa sædvanlig Vis, men det, som var helliget, kogte de i Gryder og i Kedler og i Pander, og de sendte det i Hast til alle Folkets Børn.
14 Hatimaye wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu wale makuhani, yaani, wazao wa Aroni, walikuwa wanatoa sadaka za kuteketezwa pamoja na zile sehemu zilizonona mpaka usiku. Hivyo Walawi wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani wa uzao wa Aroni.
Og derefter tilberedte de for sig og for Præsterne; thi Præsterne, Arons Børn, havde Brændofferet og Fedtstykkerne at ofre indtil Natten; derfor tilberedte Leviterne for sig og for Præsterne, Arons Børn.
15 Waimbaji, wazao wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagizwa na Mfalme Daudi, Asafu, Hemani na Yeduthuni mwonaji wa Mfalme. Mabawabu katika kila lango hawakuhitaji kuacha nafasi zao kwa sababu Walawi wenzao walifanya maandalizi kwa ajili yao.
Og Sangerne, Asafs Børn, stode paa deres Sted efter Davids og Asafs og Hemans og Jeduthuns, Kongens Seeres, Bud og Portnerne ved hver Port; de maatte ikke vige fra deres Tjeneste, thi deres Brødre Leviterne tilberedte for dem.
16 Kwa hiyo wakati ule huduma yote ya Bwana ilifanyika katika kuadhimisha Pasaka, kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana kama alivyoamuru Mfalme Yosia.
Saa blev al Herrens Tjeneste beskikket paa samme Dag med at holde Paaske og at ofre Brændofre paa Herrens Alter efter Kong Josias Befaling.
17 Waisraeli waliokuwepo wakaadhimisha Pasaka wakati huo na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa siku saba.
Saa holdt Israels Børn, som vare til Stede, Paasken paa den samme Tid og de usyrede Brøds Højtid syv Dage.
18 Kulikuwa hakujafanyika Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii Samweli wala hakukuwa na mfalme yeyote wa Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na makuhani, Walawi na watu wote wa Yuda na watu wa Israeli waliokuwepo huko, pamoja na watu wa Yerusalemu.
Og der var ikke holdt Paaske som denne i Israel fra Profeten Samuels Dage af, og ingen Konge i Israel havde holdt saadan Paaske, som Josias holdt med Præsterne og Leviterne og hele Juda og Israel, som vare til Stede, og Indbyggerne i Jerusalem.
19 Pasaka iliadhimishwa katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia.
I det attende Josias's Regerings Aar blev denne Paaske holdt.
20 Baada ya haya yote, Yosia alipomaliza kulitengeneza vizuri Hekalu, Neko mfalme wa Misri, akapanda ili kupigana huko Karkemishi katika Mto Frati, naye Yosia akatoka kwenda kupigana naye.
Efter alt dette, da Josias havde istandsat Huset, drog Neko, Kongen af Ægypten, op at stride ved Karkemis ved Frat, og Josias drog ud imod ham.
21 Lakini Neko akamtumia wajumbe kusema, “Kuna ugomvi gani kati yangu mimi na wewe, Ee Mfalme wa Yuda? Si wewe ninayekushambulia wakati huu, bali ile nyumba ambayo nina vita nayo, Mungu ameniambia niharakishe, kwa hivyo acha kumpinga Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”
Da sendte han Bud til ham og lod sige: Hvad har jeg at gøre med dig, Judas Konge? imod dig kommer jeg ikke paa denne Dag, men imod det Hus, som har Krig med mig, og Gud har sagt, at jeg skulde haste; hold op med at være imod Gud, som er med mig, at han ikke lægger dig øde!
22 Lakini hata hivyo, Yosia hakukubali kumwacha, bali alijibadilisha ili kupigana naye vita. Hakusikiliza yale Neko aliyokuwa amemwambia kwa agizo la Mungu bali alikwenda kupigana naye katika tambarare ya Megido.
Dog vendte Josias ikke sit Ansigt bort fra ham, men forklædte sig for at stride imod ham og lød ikke Nekos Ord, som vare fra Guds Mund, men han kom at stride i Megiddo Dal.
23 Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”
Og Skytterne skøde paa Kong Josias; da sagde Kongen til sine Tjenere: Fører mig bort, thi jeg er svarlig saaret.
24 Kwa hiyo wakamshusha kutoka kwenye gari lake la farasi, wakamweka kwenye gari lingine alilokuwa nalo na kumleta Yerusalemu, ambako alifia. Akazikwa katika makaburi ya baba zake, nayo Yuda yote na Yerusalemu wakamwombolezea Yosia.
Og hans Tjenere førte ham bort fra Vognen og lode ham køre bort paa den anden Vogn, som han havde, og førte ham til Jerusalem, og han døde og blev begraven i sine Fædres Grave; og hele Juda og Jerusalem sørgede over Josias.
25 Nabii Yeremia akatunga maombolezo kwa ajili ya kifo chake, nao waimbaji wote, wanaume kwa wanawake, hufanya ukumbusho wa Yosia katika maombolezo hadi leo. Haya yakafanywa desturi katika Israeli, nayo yameandikwa katika Maombolezo.
Og Jeremias sang en Klagesang over Josias, i lige Maade talte alle Sangerne og Sangerskerne i deres Klagesange om Josias indtil denne Dag, og de gjorde en Skik deraf i Israel; og se, de ere opskrevne iblandt Klagesangene.
26 Matukio mengine ya utawala wa Yosia na matendo yake mema, kulingana na yale yaliyoandikwa katika sheria ya Bwana:
Men det øvrige at Josias's Handeler, og hans fromme Gerninger, eftersom skrevet er i Herrens Lov,
27 matukio yote, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
ja hans Handeler, de første og de sidste, se, de ere skrevne i Israels og Judas Kongers Bog.