< 2 Nyakati 34 >

1 Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja.
Josiah a manghai vaengah kum rhet lo ca pueng tih Jerusalem ah kum sawmthum kum khat manghai.
2 Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.
Tedae BOEIPA mikhmuh ah a thuem a saii phoeiah a napa David kah longpuei ah a pongpa dongah banvoei bantang la phael pawh.
3 Katika mwaka wa nane wa utawala wake, alipokuwa angali bado mdogo, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi baba yake. Katika mwaka wake wa kumi na mbili alianza kusafisha mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Yuda na Yerusalemu, akiondoa nguzo za Ashera, sanamu za kuchonga na vinyago vya kusubu.
A manghai hang vaengah kum rhet lo tih amah camoe pueng dae a napa David kah Pathen te toem hamla a tong. Kum hlai nit vaengah Judah neh Jerusalem te caihcil hamla a tong tih hmuensang neh Asherah, mueidaep neh mueihlawn khaw a khoe.
4 Mbele ya macho yake, wakazibomoa madhabahu za Mabaali, wakazivunja madhabahu za kufukizia uvumba zilizokuwa zimesimama juu yake, wakazivunja nguzo za Ashera, sanamu na vinyago. Hivi alivivunja vipande vipande na kuvisambaza juu ya makaburi ya waliokuwa wamevitolea kafara.
Baal rhoek kah hmueihtuk te anih mikhmuh ah a palet uh tih a so hang kah bunglawn neh Asherah te khaw a top. Mueidaep neh mueihlawn te a dae tih a tip sak. Te phoeiah tah te rhoek taengkah aka nawn rhoek kah phuel hman ah a haeh.
5 Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.
Khosoih rhoek kah a rhuh te khaw amah hmueihtuk, hmueihtuk ah a hoeh tih Judah neh Jerusalem te a caihcil.
6 Katika miji ya Manase, Efraimu na Simeoni, hadi Naftali na kwenye magofu yanayoizunguka,
Manasseh khopuei rhoek neh Ephraim ah khaw, Simeon neh tlang kah Naphtali khaw, a kaepvai kah amih im te a cunghang neh a saii pah.
7 akavunja madhabahu na nguzo za Ashera na kuzipondaponda hizo sanamu hadi zikawa unga na kukata vipande vipande madhabahu zote za kufukizia uvumba katika Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.
Hmueihtuk te a palet uh tih Asherah neh mueidaep te khaw a tip la a phop. Israel khohmuen tom kah bunglawn boeih te a top phoeiah Jerusalem la mael.
8 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yosia, ili kutakasa nchi na Hekalu, akawatuma Shafani, mwana wa Azalia na Maaseya mtawala wa mji, pamoja na Yoa mwana wa Yoahazi, mwandishi ili kukarabati Hekalu la Bwana Mungu wake.
A manghai te kum hlai rhet vaengah tah khohmuen neh im caihcil hamla Azaliah capa Shaphan a tueih. A Pathen BOEIPA im aka duel ham te khocil aka khoem Jehoahaz capa Joah neh khopuei mangpa Maaseiah te a khueh.
9 Wakamwendea Hilkia kuhani mkuu na kumpa fedha ambazo zilikuwa zimeletwa ndani ya Hekalu la Bwana ambazo Walawi waliokuwa mabawabu walikuwa wamezikusanya kutoka kwa watu wa Manase, Efraimu na mabaki wote wa Israeli kutoka kwa watu wote wa Yuda na Benyamini na wakazi wa Yerusalemu.
Te phoeiah khosoih puei Hilkiah taengla cet uh tih Pathen im la aka pawk tangka te a paek uh. Te te cingkhaa aka tawt Levi rhoek loh Manasseh, Ephraim kut lamkah neh Israel kah a meet boeih taeng lamkah, Judah boeih neh Benjamin taeng lamkah ni a coi. Te phoeiah khosa rhoek neh Jerusalem la mael uh.
10 Kisha wakazikabidhi hizo fedha kwa watu waliowekwa ili kusimamia kazi ya Hekalu la Bwana. Hawa watu waliwalipa wafanyakazi waliokarabati na kutengeneza Hekalu lipate kurudi katika hali yake.
Te phoeiah tah BOEIPA im kah bitat saii a khueh kut ah a paek uh. Te te bitat aka saii khaw, BOEIPA im aka saii khaw, im tlaihvong ham neh duel vaengkah ham khaw a paek uh.
11 Wakawapa pia mafundi seremala na waashi fedha ili kununua mawe yaliyochongwa, mbao kwa ajili ya kufungia na boriti kwa ajili ya majengo ambayo wafalme wa Yuda walikuwa wameyaacha yakawa magofu.
Kutthai taeng neh im aka sa taengah khaw, lungrhaih lung neh thing aka lai ham khaw, hnarhui neh Judah manghai rhoek loh a phae tangtae im a tung nah ham khaw a paek uh.
12 Watu wakafanya kazi kwa uaminifu. Waliokuwa wamewekwa juu yao ili kuwaelekeza ni Yahathi na Obadia, Walawi wa uzao wa Merari, Zekaria na Meshulamu, waliotoka kwenye uzao wa Kohathi. Walawi wote waliokuwa na ufundi wa kupiga ala za uimbaji,
Hlang rhoek long khaw bitat dongah uepomnah neh a saii uh. Amih soah te Merari koca lamkah Levi Jahath neh Obadiah, aka mawt ham te Kohathi koca lamkah Zekhariah neh Meshullam, lumlaa tumbael aka yakming Levi boeih te khaw a thum sak.
13 wakawa wasimamizi wa vibarua na kuwaongoza wale waliofanya kila aina ya kazi. Baadhi ya Walawi walikuwa waandishi, maafisa na mabawabu.
Hnophuei soah khaw, thothuengnah neh thothuengnah ham bitat aka saii boeih soah aka mawt la om uh. Levi lamkah rhoek tah cadaek, rhoiboei neh thoh tawt la om uh.
14 Wakati walikuwa wakizitoa nje fedha zilizokuwa zimetolewa kwenye Hekalu la Bwana, kuhani Hilkia akakipata kile Kitabu cha Sheria ya Bwana kilichokua kimetolewa kwa mkono wa Mose.
BOEIPA im la aka pawk tangka te a loh uh vaengah khosoih Hilkiah loh Moses kut dong lamkah BOEIPA olkhueng cabu te a hmuh.
15 Hilkia akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la Bwana.” Akampa Shafani kile Kitabu.
Hilkiah loh cadaek Shaphan te a voek tih, “BOEIPA im ah olkhueng cabu ka hmuh,” a ti nah. Te phoeiah Hilkiah loh cabu te Shaphan taengah a paek.
16 Kisha Shafani akakipeleka kile Kitabu kwa mfalme na kumwambia, “Maafisa wako wanafanya kila kitu kama walivyokabidhiwa kufanya.
Shaphan loh cabu te manghai taengla a khuen. Manghai te ol koep a mael tih, “Na sal rhoek kut dongah na paek bangla boeih a saii uh.
17 Wamelipa fedha zilizokuwa katika Hekalu la Bwana na wamewakabidhi wasimamizi na wafanyakazi.”
BOEIPA im ah a hmuh tangka te a khok uh coeng. Te te aka soep kut dong neh bitat aka saii kut ah a paek uh,” a ti nah.
18 Kisha Shafani mwandishi akamwarifu mfalme kuwa, “Kuhani Hilkia amenipa Kitabu.” Naye Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Te phoeiah cadaek Shaphan te manghai taengla puen tih, “Khosoih Hilkiah loh kai taengah cabu m'paek,” a ti nah tih te te Shaphan loh manghai mikhmuh ah a tae.
19 Mfalme aliposikia yale maneno ya Sheria, akayararua mavazi yake.
Tedae manghai loh olkhueng ol te a yaak vaengah a himbai te a phen.
20 Akatoa maagizo haya kwa Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwandishi na Asaya mtumishi wa mfalme,
Te dongah manghai loh Hilkiah neh Shaphan capa Ahikam, Maikah capa Abdon, cadaek Shaphan, manghai kah sal Asaiah te a uen.
21 “Nendeni mkamuulize Bwana kwa ajili yangu na kwa ajili ya mabaki walioko Israeli na Yuda kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya Bwana ni kubwa mno ambayo imemwagwa juu yetu kwa sababu baba zetu hawakulishika neno la Bwana wala hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa katika Kitabu hiki.”
Amih te, “Cet uh, kai ham khaw, Israel khui neh Judah khuikah aka sueng rhoek ham khaw BOEIPA te toem uh. Cabu dongkah aka thoeng ol bangla mamih soah aka bo BOEIPA kah kosi he len coeng. Te khaw he cabu dongkah a daek bang boeih la vai hamla a pa rhoek loh BOEIPA ol he a ngaithuen pawt dongah ni,” a ti nah.
22 Hilkia pamoja na wale wote mfalme aliokuwa amewatuma pamoja naye wakaenda kuzungumza na nabii mke aitwaye Hulda, aliyekuwa mke wa Shalumu mwana wa Tokhathi, mwana wa Hasra mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu, katika Mtaa wa Pili.
Te phoeiah Hilkiah neh manghai taengkah rhoek te Himbai aka khoem Hasrah koca Tikvah capa Shallum yuu, tonghmanu Huldah taengla cet. Anih te Jerusalem kah a hnukthoi ah kho a sak tih tahae kah bangla amah taengah a thui uh.
23 Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,
Te vaengah amih te, “Israel Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Kai taengla nangmih aka tueih hlang taengah khaw thui uh.
24 ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, laana zote zilizoandikwa ndani ya hicho kitabu ambazo zimesomwa mbele ya mfalme wa Yuda.
BOEIPA loh he ni a thui. Kai loh he hmuen so neh a khuikah khosa rhoek soah Judah manghai mikhmuh ah a tae bangla cabu khuikah a daek thaephoeinah cungkuem neh yoethaenah ka thoeng sak coeng.
25 Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine na kunighadhibisha kwa kazi yote ya mikono yao, hivyo hasira yangu itamwagwa juu ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’
Kai n'hnawt uh tih a phum khaw a kut dongkah khoboe cungkuem neh kai veet hamla pathen tloe rhoek taengah a phum uh. Te dongah ka kosi loh he hmuen he a bo thil vetih daeh mahpawh.
26 Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza Bwana, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli kuhusu maneno uliyoyasikia:
BOEIPA toem hamla nangmih aka tueih Judah manghai te khaw amah taengah he he thui pah. Israel Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Tekah ol te na yaak coeng.
27 Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Mungu uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake na kwa sababu ulijinyenyekeza mbele zangu na uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema Bwana.
Na thinko phoena tih Pathen mikhmuh ah na kunyun coeng. Amah ol te he hmuen ham neh amah khosa rhoek ham na yaak. Te vaengah ka mikhmuh ah khaw na kunyun. Na himbai te na phen tih ka mikhmuh ah na rhah vaengah khaw ka yaak. He tah BOEIPA kah olphong ni.
28 Basi nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa na juu ya wote wanaoishi hapa.’” Kwa hiyo wakampelekea mfalme jibu lake.
Kai loh nang te na pa rhoek taengla kang khoem sak vetih namah phuel ah ngaimong la n'up uh bitni ne. He hmuen so neh amah khosa rhoek soah yoethae cungkuem ka khuen te na mik loh hmu mahpawh,” a ti nah. Te dongah manghai te ol a mael uh.
29 Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Te phoeiah manghai loh Judah neh Jerusalem kah a hamca boeih te a tah tih a coi.
30 Akapanda kwenda hekaluni mwa Bwana pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na Walawi, watu wote, wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la Bwana.
Manghai neh Judah hlang boeih khaw, Jerusalem kah khosa rhoek khaw, khosoih rhoek neh Levi rhoek khaw, pilnam boeih khaw a kangham lamloh tanoe hil khaw BOEIPA im la cet. Te phoeiah tah amih hna ah BOEIPA im kah a hmuh paipi cabu dongkah ol boeih te a tae pah.
31 Mfalme akasimama karibu na nguzo yake na kufanya upya Agano mbele za Bwana ili kumfuata Bwana na kuzishika amri zake, maagizo na sheria kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote na ili kuyatii maneno ya Agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Manghai te amah paihmuen ah pai tih BOEIPA hnukah pongpa ham neh a olpaek neh a olphong khaw, a oltlueh te a thinko boeih neh, a hinglu boeih neh ngaithuen ham, te cabu dongah a daek paipi ol te vai hamla BOEIPA mikhmuh ah paipi te a saii.
32 Ndipo akamtaka kila mmoja katika Yerusalemu na Benyamini kuweka ahadi zao wenyewe kwa hilo Agano, watu wa Yerusalemu wakafanya hivyo kwa kufuata Agano la Bwana, Mungu wa baba zao.
Jerusalem neh Benjamin kah a hmuh boeih taengah khaw a cak sak. Te dongah Jerusalem kah khosa rhoek long khaw a napa rhoek kah Pathen taengah Pathen kah paipi bangla a saii uh.
33 Yosia akaondoa machukizo yote ya sanamu kutoka nchi yote iliyokuwa mali ya Waisraeli na akawataka wale wote waliokuwako katika Israeli wamtumikie Bwana Mungu wao. Kwa muda wote alioishi, hawakushindwa kumfuata Bwana, Mungu wa baba zao.
Josiah loh tueilaehkoi boeih te tah Israel ca rhoek kah khohmuen tom lamloh a khoe. Israel kah aka phoe boeih te khaw amamih kah Pathen BOEIPA taengah thothueng sak ham tho a thueng. Anih tue khuiah tah a napa rhoek kah Pathen BOEIPA hnuk lamloh nong uh pawh.

< 2 Nyakati 34 >