< 2 Nyakati 33 >

1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na mitano.
Ma: na: se da lalelegele, ode fagoyale esalu, ea Yuda ouligisu bai muni hamoi. E da Yelusaleme moilaiga esala, Yuda fi ode 55 agoanega ouligilalu.
2 Akafanya maovu machoni pa Bwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.
Ma: na: se da Hina Godema wadela: le hamoi. Ga: ina: ne sogega musa: esalebe fi da baligili gogosiasu wadela: i hou hamobeba: le, Isala: ili dunu da Ga: ina: ne soge golili sa: ili, gusuba: i ahoanoba, Hina Gode da Ga: ina: ne fi gadili sefasi. Be Ma: na: se da amo fi ilia wadela: idafa hou amoma fa: no bobogesu.
3 Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake, alikuwa amepabomoa, pia akasimamisha madhabahu za Mabaali na nguzo za Maashera. Akalisujudia jeshi lote la angani na kuliabudu.
E da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi, amo ea ada Hesigaia da wadela: lesi, Ma: na: se da bu buga: le gagui. E da Ba: ilema nodone sia: ne gadomusa: , oloda bagohame gagui. E da Isala: ili hina bagade A: iha: be ea hou defele, ogogosu uda ‘gode’ Asila e agoaila hahamoi. Amola Ma: na: se da gasumunima nodone sia: ne gadoi.
4 Akajenga madhabahu katika Hekalu la Bwana ambamo Bwana alikuwa amesema, “Jina langu litadumu Yerusalemu milele.”
E da ogogosu ‘gode’ ilia oloda Debolo Diasu ganodini gagui. Hina Gode Ea musa: hamoma: ne sia: i, amo da Debolo Diasu ganodini, dunu da Ema fawane nodone sia: ne gadosu hamoma: ne sia: i.
5 Katika nyua zote mbili za Hekalu la Bwana akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la angani.
Debolo Diasu gagoi aduna ganodini, e da oloda amo gasumunima nodone sia: ne gadomusa: gagui.
6 Akawatoa wanawe kuwa kafara kwa kuwapitisha katika moto katika Bonde la Ben-Hinomu, akafanya ulozi, uaguzi na uchawi, akataka ushauri kwa wenye pepo wa utambuzi na wenye kuwasiliana na mizimu. Akafanya maovu mengi machoni pa Bwana, akaichochea hasira yake.
E da Hinome Fago ganodini, egefelali amo ogogosu ‘gode’ma gobele sali. E da wadela: i ba: la: lusu hou hamosu. E da wamuni dawa: su hou hamosu amola gesami dasu ilia fada: i sia: nabalusu. E da Hina Godema bagadewane wadela: le hamobeba: le, Hina Gode Ea ougi da lalu agoane heda: i.
7 Akachukua ile sanamu aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu la Mungu ambalo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.
E da wadela: i uda ‘gode’ Asila agoai loboga hamoi liligi, amo Debolo Diasu ganodini ligisi. Be Hina Gode da musa: Da: ibidi amola, Da: ibidi ea mano Soloumane elama amane sia: i, “Guiguda: Yelusaleme moilai bai bagade ganodini, Na da amo Debolo ganodini sogebi ilegei. Amo sogebiga fawane, Isala: ili fi fagoyale gala da Nama fawane nodone sia: ne gadoma: ne, Na da ilegei.
8 Sitaifanya tena miguu ya Waisraeli iondoke tena katika nchi niliyowapa baba zenu, ikiwa watakuwa waangalifu kufanya kila kitu nilichowaamuru kuhusu sheria zote, maagizo na amri zilizotolewa kwa mkono wa Mose.”
Isala: ili fi dunu da Na hamoma: ne sia: i huluane nabawane hamosea, amola sema amo Na da Na hamosu dunu Mousesegili i, amo huluane ilia nabawane hamosea, Na da ili, amo soge Na da ilia aowalalima i, amoga ili enoga gadili sefasima: ne, logo hamedafa doasimu.”
9 Lakini Manase akawaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu katika upotovu, kiasi kwamba walifanya maovu mengi kuliko mataifa ambayo Bwana aliwaangamiza mbele ya Waisraeli.
Be Yuda fi dunu da Hina Gode Ea sia: nabawane hame hamosu. Amola Ma: na: se da ilia wadela: i hou (amo da musa: Ga: ina: ne fi da bagadewane wadela: le hamobeba: le, Isala: ili dunu da gusuba: i heda: loba, Hina Gode da Ga: ina: ne fi gadili sefasi) amo wadela: i hou baligili hamoma: ne, Ma: na: se da Yuda fi oule asi.
10 Bwana akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.
Hina Gode da Ma: na: se amola ea fi dunuma sisasu sia: i. Be ilia nabimu higa: i.
11 Hivyo Bwana akaleta juu yao majemadari wa jeshi la mfalme wa Ashuru, ambao walimchukua Manase kwenda kifungoni, wakaweka ndoana katika pua yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
Amaiba: le, Hina Gode da logo doasiba: le, Asilia dadi gagui wa: i da Yuda fi doagala: i. Ilia da Ma: na: se gagulaligili, ea mi gelaba ma: go sanawane, sia: inega la: gili, Ba: bilone sogega hiouginana asi.
12 Katika dhiki yake akamsihi Bwana Mungu wake na kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake.
E se bagadewane nababeba: le, ea hou fonoboi. E da ea Hina Godema sinidigili, fidima: ne adole ba: su.
13 Naye alipomwomba, Bwana akaguswa na kule kusihi kwake na akasikiliza kilio chake, kwa hiyo akamrudisha Yerusalemu na kwenye ufalme wake. Ndipo Manase akatambua kwamba Bwana ndiye Mungu.
Gode da Ma: na: se ea sia: ne gadobe nabalu, e Yuda fi bu ouligima: ne, bu Yelusalemega asunasi. Amo hou ba: beba: le, Ma: na: se da Hina Gode da Godedafa dafawaneyale dawa: i.
14 Baadaye akajenga ukuta wa nje wa Mji wa Daudi, magharibi mwa chemchemi ya Gihoni katika bonde, hadi kufikia ingilio la Lango la Samaki na akakizunguka kilima cha Ofeli, pia akaufanya kuwa mrefu zaidi. Akawaweka majemadari katika miji yote ya Yuda iliyokuwa imejengewa ngome.
Amalu fa: no, Ma: na: se da gadili dobea Da: ibidi Moilai bai bagadega gusudili dialu amo da fago Gihone Gu Hano gadenene dialu, amoga asili, Menabo Logo Ga: su amola moilai sogebi ea dio Oufele, amoga doaga: su, bu sedagili gagagula heda: i. Amola e da dadi gagui ouligisu dunu, amo da Yuda soge gagili sali moilai bai bagade afae afae ouligima: ne, ilegei dagoi.
15 Akaondolea mbali miungu ya kigeni na kuondoa sanamu kutoka Hekalu la Bwana pamoja na madhabahu zote alizozijenga katika kile kilima kilichojengwa Hekalu na katika Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.
E da ga fi ogogosu ‘gode’ amola loboga hamoi ‘gode’ agoaila liligi amo e da musa: ligisi, amo Debolo Diasuga gadili fadegai. Amo amola ogogosu ‘gode’ma gobele salimusa: oloda amo da Debolo Diasu agolo dabua amola Yelusaleme sogebi enoga dialebe ba: i, amo huluane moilai hamega gadili gaguli asili, ha: digi dagoi.
16 Kisha akarudisha madhabahu ya Bwana na kutolea juu yake dhabihu za sadaka za amani pamoja na sadaka za shukrani, naye akawaamuru Yuda wamtumikie Bwana, Mungu wa Israeli.
Amola e da oloda amoga ilia musa: Hina Godema nodone sia: ne gadosu, amo bu dodoa: i. Amola e da amoga Hahawane Gilisili Olofole Iasu amola Godema Nodosu Iasu, amo gobele sali. E da Yuda fi dunu huluane, ilia Isala: ili Hina Godema nodone sia: ne gadoma: ne sia: i.
17 Lakini hata hivyo watu wakaendelea kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia miungu, lakini wakimtolea Bwana Mungu wao peke yake.
Yuda dunu da sogebi higagaia gebewane gobele salalasu. Be ilia da Hina Gode Ema fawane gobele salasu.
18 Matukio mengine ya utawala wa Manase, maombi yake kwa Mungu wake na maneno aliyoambiwa na waonaji walionena naye kwa jina la Bwana, Mungu wa Israeli, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
Ma: na: se ea hawa: hamonanu eno, ea Godema sia: ne gadosu amola balofede dunu amo da Isala: ili Hina Gode Ea Dioba: le ema sia: i, ilia sia: ne iasu, amo huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hawa: Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
19 Maombi yake, pamoja na jinsi Mungu alivyoguswa na kusihi kwake, pia dhambi zake zote na kukosa kwake uaminifu pamoja na sehemu alizojenga mahali pa juu pa kuabudia miungu, kule kusimamisha nguzo za Ashera na sanamu kabla ya kujinyenyekeza kwake, yote yameandikwa katika kumbukumbu za waonaji.
Hina bagade ea sia: ne gadosu, ema Gode Ea dabe iasu, ea Godema hame sinidigi esoga wadela: i hou hamoi, ea ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi, amola wadela: i uda ‘gode’ Asila agoai e da loboga hamoi, amo huluane da “Balofede Dunu ilia Hamonanu Meloa” ganodini dedene legei.
20 Manase akalala pamoja na baba zake akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.
Ma: na: se da bogole, hina bagade diasua uli dogonesali. Egefe A: imone da e bagia, Yuda hina bagade hamoi.
21 Amoni alikuwa na miaka ishirini na miwili, alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka miwili.
A: imone da lalelegele, ode 22 agoane esalu, bai muni Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esala, ode aduna fawane, Yuda fi ouligilalu
22 Akatenda maovu machoni mwa Bwana, kama baba yake Manase alivyofanya. Amoni akaabudu na kutoa dhabihu kwa sanamu zote alizokuwa ametengeneza Manase.
A: imone da ea ada Mana: se defele, Hina Godema wadela: i hou hamosu. E da ea ada ea hou amoma fa: no bobogele, loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima ea ada nodone sia: ne gadoi, e amolawane ilima nodone sia: ne gadosu.
23 Lakini tofauti na Manase baba yake, hakujinyenyekeza mbele za Bwana, badala yake Amoni aliongeza hatia zaidi na zaidi.
Be ea ada da ea hou fonobone, Hina Godema sinidigi. Be A: imone da agoane hame hamoi. E da ea ada ea wadela: i hou amo baligi dagoi.
24 Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.
A: imone eagene ouligisu dunu ilia da e medoma: ne, wamo sia: dasu. Amola ilia da hina bagade diasu ganodini, e medole legei dagoi.
25 Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote waliokuwa wamefanya hila dhidi ya Mfalme Amoni. Wakamfanya Yosia mwanawe kuwa mfalme mahali pake.
Yuda fi dunu da A: imone fasu dunu medole legei. Amola ilia da ea mano Yousaia, e bagia hina bagade ilegei.

< 2 Nyakati 33 >