< 2 Nyakati 32 >

1 Baada ya yale yote aliyokuwa amefanya Hezekia kwa uaminifu mkubwa, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaja na kuvamia Yuda. Akaizunguka miji yenye ngome kwa jeshi, akifikiri kuiteka iwe yake.
Tukun ouiya wo su Tokosra Hezekiah el oru ke kulansap oaru lal nu sin LEUM GOD, Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, el utyak mweuni acn Judah. El kuhlusya siti ma akkeyeyukla, ac sap nu sin mwet mweun lal in fokolak pot uh ac utyak nu in siti uh.
2 Hezekia alipoona kuwa Senakeribu amekuja na kwamba alikusudia kufanya vita juu ya Yerusalemu,
Ke Hezekiah el akilen lah Sennacherib el akoo in mweuni pac acn Jerusalem,
3 akafanya shauri na maafisa wake na mashujaa wake juu ya kuzuia maji kutoka chemchemi zilizo nje ya mji, nao wakamsaidia.
na el sramsram yurin mwet pwapa lal ac mwet mweun watwen lal, tuh elos in kunausla unon in kof ma oan likin siti uh. Na elos kasrel ke pwapa sac.
4 Umati mkubwa wa watu ukakusanyika na kuzuia chemchemi zote na vijito vilivyotiririka katika nchi yote, wakisema: “Kwa nini wafalme wa Ashuru waje na kukuta maji tele?”
Mwet puspis fahsreni, ac elos tulokinya unon in kof ac sungan infacl srisrik ma oasr in acn sac. Elos fahk, “Lela in wanginna kof nu sin mwet Assyria elos fin sun acn inge.”
5 Hezekia akafanya kazi kwa bidii kukarabati sehemu zote zilizokuwa zimebomoka za ukuta na kujenga minara juu yake. Akajenga ukuta mwingine nje ya ule uliokuwepo na kuimarisha Milo katika Mji wa Daudi. Akatengeneza pia silaha nyingi na ngao.
Ac tokosra el akkeyala ma loangeyen siti uh ke el akwoyela pot we, ac musaela tower fin pot uh, ac musaela sie pac pot nu likin pot uh. Sayen ma inge el aksasuyela pac acn ma musaiyuk ke acn se ma koaneyukla layen nu kutulap in Siti sel David. El oayapa sap in orekla osra in fakfuk ac mwe loeyuk pukanten.
6 Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
El oakiya mwet nukewa in siti uh ye kolyuk lun captain lun mwet mweun, ac sap elos in tukeni ke nien tukeni se ke mutunpot lun siti uh. Ac el fahk nu selos,
7 “Kuweni hodari na wenye moyo mkuu. Msiogope, msifadhaike wala msikate tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na hili jeshi kubwa lililo pamoja naye, kwa kuwa aliye pamoja nasi ni mkuu kuliko aliye pamoja naye.
“Kowos in ku ac pulaik na. Nikmet sangeng sin Tokosra Fulat lun Assyria ac mwet mweun pus lal. Oasr ku yorosr lukel.
8 Kwake uko mkono wa mwili tu, bali kwetu yuko Bwana Mungu wetu kutusaidia na kutupigania vita vyetu.” Nao watu wakatiwa moyo kutokana na maneno aliyowaambia Hezekia mfalme wa Yuda.
El kukin ku lun mwet, a LEUM GOD pa wi kut ac kasrekut ke mweun lasr.” Ac mwet uh pulaikla ke kas lun tokosra lalos.
9 Hatimaye Senakeribu mfalme wa Ashuru na majeshi yake yote walipokuwa wameuzunguka Lakishi, akawatuma maafisa wake kwenda Yerusalemu wakiwa na ujumbe huu kwa Hezekia mfalme wa Yuda, na kwa watu wote wa Yuda waliokuwako humo, kusema:
In kutu pacl tok, ke Sennacherib ac mwet mweun lal srakna oasr Lachish, el supwala kas inge nu sel Hezekiah ac mwet Judah su welul muta Jerusalem:
10 “Hili ndilo asemalo Senakeribu mfalme wa Ashuru: Je, mmeweka tumaini lenu wapi, hata mnaendelea kukaa katika Yerusalemu, hali mmezungukwa na jeshi?
“Nga, Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, siyuk lah mea kowos lulalfongi pwanang kowos mutana Jerusalem, ke nga akola in mweuni kowos uh?
11 Hezekia asemapo, ‘Bwana Mungu wetu atatuokoa kutokana na mkono wa mfalme wa Ashuru,’ anawapotosha ninyi, naye atawaacha mfe kwa njaa na kiu.
Hezekiah el fahk mu LEUM GOD lowos El ac molikowosla liki ku lasr, tusruktu Hezekiah el kiapwekowos. El ac oru kowos in misa ke masrinsral ac malu.
12 Je, si Hezekia mwenyewe aliyeondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake, akiwaambia Yuda wa Yerusalemu, ‘Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu moja na kuteketeza dhabihu juu yake’?
El pa kunausla nien alu ac loang lun LEUM GOD, ac fahk nu sin mwet Judah ac Jerusalem mu elos in alu ac akosak mwe keng ke loang sefanna.
13 “Je, hamjui yale mimi na baba zangu tuliyoyafanya kwa mataifa yote ya nchi zingine? Je, miungu ya mataifa hayo iliweza kuokoa nchi zao kutoka mkononi mwangu?
Mea, kowos tia etu ma nga ac papa tumuk oru nu sin mwet in mutunfacl saya? Ya god lun mutunfacl saya molela mwet lalos liki Tokosra Fulat lun Assyria?
14 Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya mataifa haya ambayo baba zangu waliyaangamiza ameweza kuwaokoa watu wake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Mungu wenu kuwaokoa mkononi mwangu?
Nu oasr pacl god lun mutunfacl saya molelosla liki kut? Na mea se oru kowos nunku mu god lowos el ac ku in molikowosla kac?
15 Sasa basi, msikubali Hezekia awadanganye na kuwapotosha namna hii. Msimwamini, kwa kuwa hakuna mungu wa taifa lolote wala wa ufalme wowote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu au mkononi mwa baba zangu. Sembuse huyo mungu wenu atawaokoaje kutoka mkononi mwangu!”
Nimet lela Hezekiah elan kiapwekowos ac aktafongyekowosla. Nimet lulalfongel! Wangin sie god lun kutena mutunfacl ku in molela mwet lal liki Tokosra Fulat lun Assyria. Kalem na lah god lowos el tia pac ku in molikowosla!”
16 Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya Bwana aliye Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia.
Mwet pwapa lun mwet Assyria elos fahk ma koluk na yohk ke LEUM GOD ac kacl Hezekiah, mwet kulansap lun LEUM GOD.
17 Mfalme pia aliandika barua akimtukana Bwana, Mungu wa Israeli na kusema haya dhidi yake: “Kama vile miungu ya mataifa ya nchi nyingine ilivyoshindwa kuwaokoa watu wao mkononi mwangu, vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hataweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu.”
Tokosra Fulat lun Assyria el supwala leta se su arulana akkolukye LEUM GOD lun Israel. Pa inge kas ke leta sac: “God lun mutunfacl saya tiana molela mwet lalos liki ku luk. Ouinge, god lal Hezekiah el tia pac ku in molela mwet lal likiyu.”
18 Kisha wakawaita kwa Kiebrania watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta ili kuwatisha na kuwatia hofu ili waweze kuuteka mji.
Mwet pwapa lal elos wowoyak ke fahkyen kas inge in kas Hebrew, in aksangengye mwet ma muta fin pot lun siti uh elos in sepulaikla, na ac fisrasr in sruhu siti sac.
19 Wakanena juu ya Mungu wa Yerusalemu kama vile walivyonena juu ya miungu ya mataifa mengine ya dunia ambayo ni kazi ya mikono ya wanadamu.
Elos kaskas ke God lun Jerusalem oana ke elos kaskas ke god lun mutunfacl saya, su ma sruloala orekla ke poun mwet.
20 Mfalme Hezekia na nabii Isaya mwana wa Amozi wakalilia mbingu katika maombi kuhusu jambo hili.
Na Tokosra Hezekiah ac mwet palu Isaiah, wen natul Amoz, eltal pre nu sin God ac pang in suk kasre sel.
21 Naye Bwana akamtuma malaika ambaye aliangamiza wanajeshi wote, na viongozi na maafisa katika kambi ya mfalme wa Ashuru. Kwa hiyo, mfalme wa Ashuru akarudi nchini mwake kwa aibu. Naye alipokwenda katika hekalu la mungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua kwa upanga.
LEUM GOD El supwala sie lipufan su uniya mwet mweun Assyria oayapa mwet kol lalos. Na Tokosra Fulat sac mwekinla ac folokla nu Assyria. Sie len ah, ke el muta in tempul lun god lal, kutu sin wen natul elos unilya ke cutlass natulos.
22 Hivyo Bwana akamwokoa Hezekia na watu wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru na kutoka mikononi mwa wengine wote. Bwana akawastarehesha kila upande.
Ouinge LEUM GOD El molella Tokosra Hezekiah ac mwet Jerusalem liki ku lal Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, oayapa liki mwet lokoalok lalos saya. El oru in oasr misla inmasrlon mwet Judah ac mutunfacl nukewa su raunelosla.
23 Watu wengi wakaleta sadaka Yerusalemu kwa ajili ya Bwana na zawadi za thamani kwa ajili ya Hezekia mfalme wa Yuda. Tangu hapo na kuendelea, Hezekia aliheshimiwa sana na mataifa yote.
Mwet puspis tuku nu Jerusalem, ac use mwe sang lalos nu sin LEUM GOD, ac mwe lung nu sel Hezekiah. Ouinge ke pacl se inge fahla, mutunfacl nukewa akfulatyal Hezekiah.
24 Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Akamwomba Bwana, ambaye alimjibu na kumpa ishara.
In pacl se inge Tokosra Hezekiah el masak ac el apkuran in misa. El pre, ac LEUM GOD El sang sie mwe akul nu sel lah el ac kwela.
25 Lakini moyo wa Hezekia ukajaa majivuno na hakuonyesha itikio kwa wema aliotendewa, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana ikawa juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.
Tusruktu Hezekiah el inse fulatak ac tia lungse akkalemye srui lal ke ma LEUM GOD El oru nu sel, pwanang acn Judah ac Jerusalem akkeokyeyuk kac.
26 Ndipo Hezekia akatubu kwa ajili ya kiburi cha moyo wake, kama walivyofanya watu wa Yerusalemu, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana haikuja juu yao katika siku za Hezekia.
Na tok, Hezekiah ac mwet Jerusalem elos sifacna akpusiselyalos, ouinge LEUM GOD El tia kalyaelos nwe ke na Hezekiah el misa.
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima, naye akajifanyia hazina kwa ajili ya fedha yake na dhahabu na kwa ajili ya vito vyake vya thamani, vikolezi, ngao na aina zote za vyombo vya thamani.
Tokosra Hezekiah el arulana kasrupi, ac mwet nukewa akfulatyal. El sap in orekla nien filma nu ke gold, silver, eot saok, mwe akyuye mongo, mwe loeyuk, ac kutu pac ma saok.
28 Akajenga pia maghala ya kuhifadhi mavuno ya nafaka, divai mpya na mafuta. Akatengeneza mabanda kwa ajili ya aina mbalimbali za mifugo, na mazizi kwa ajili ya kondoo na mbuzi.
El sap pac in musaiyuk lohm in neinyuk fokin ima, wain, oil in olive, oayapa lohm sin cow, ac kalkal in sheep.
29 Akajenga vijiji na kujipatia idadi kubwa ya kondoo na mbuzi, pamoja na ngʼombe kwa kuwa Mungu alikuwa amempa utajiri mwingi sana.
Sayen ma inge nukewa, God El sang pukanten sheep ac cow natul, wi pac mwe kasrup lulap, pwanang el musaela siti na pukanten.
30 Ilikuwa ni Hezekia aliyeziba njia za kutolea maji za chemchemi za juu za Gihoni na kuyaelekeza maji kutiririkia upande wa magharibi wa Mji wa Daudi. Akafanikiwa katika kila kitu alichofanya.
Tokosra Hezekiah pa kosrala Unon in Kof Gihon, ac orala laf soko tuh kof uh in ut ye pot uh yak nu in siti Jerusalem. Hezekiah el kapkapak in ma nukewa el oru.
31 Lakini wakati wajumbe walipotumwa na watawala wa Babeli kumuuliza juu ya ishara ambayo ilitokea katika nchi, Mungu alimwacha ili kumjaribu na kujua kila kitu kilichokuwa moyoni mwake.
Finne ke pacl se mwet roso sin leum lun Babylonia elos tuku in lolngok ke ouiya usrnguk se ma tuh sikyak in facl sac, God El lela nu sel Hezekiah in fahsrna ke sulela lal sifacna, tuh Elan srikal ac etu lah fuka ouiyen nunak na pwaye lal.
32 Matukio mengine ya utawala wa Hezekia na matendo yake ya kujitoa kwa moyo yameandikwa katika maono ya nabii Isaya mwana wa Amozi kwenye kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Ma nukewa saya ma Tokosra Hezekiah el orala, ac lungse lal nu sin LEUM GOD, simla in book se pangpang [Aruruma Lun Mwet Palu Isaiah, Wen Natul Amoz], oayapa ke [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Judah Ac Israel].
33 Hezekia akalala na baba zake na akazikwa kwenye kilima mahali yalipo makaburi ya wazao wa Daudi. Yuda wote na watu wa Yerusalemu wakamheshimu alipofariki. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.
Hezekiah el misa ac pukpuki ke ipin acn se oan lucng ke kulyuk lun mwet leum. Mwet nukewa lun Judah ac Jerusalem arulana akfulatyal ke pacl se el misa, ac Manasseh, wen natul, el aolul in tokosra.

< 2 Nyakati 32 >