< 2 Nyakati 32 >
1 Baada ya yale yote aliyokuwa amefanya Hezekia kwa uaminifu mkubwa, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaja na kuvamia Yuda. Akaizunguka miji yenye ngome kwa jeshi, akifikiri kuiteka iwe yake.
Hezekiah lengpa hin kitahna neitah a Pakai lungdeilam ahollai tah in Assyria lengpa Sennacherib hin Judah gam sung ahin bulutan ahi. Aman kulkikai khum khopiho ahin lonvuhtan chuleh asepaite chu kulpi palhochu vochipma khopi sunga lutdingin thu apen ahi
2 Hezekia alipoona kuwa Senakeribu amekuja na kwamba alikusudia kufanya vita juu ya Yerusalemu,
Sennacherib min Jerusalem khopi ahin nokhumtai ti amu phatnin,
3 akafanya shauri na maafisa wake na mashujaa wake juu ya kuzuia maji kutoka chemchemi zilizo nje ya mji, nao wakamsaidia.
Amanam a noija lamkai holeh sepai lamkai hotoh akihoutoh in khopi polamma longdoh twi chu sutang ding tin aki loltaove
4 Umati mkubwa wa watu ukakusanyika na kuzuia chemchemi zote na vijito vilivyotiririka katika nchi yote, wakisema: “Kwa nini wafalme wa Ashuru waje na kukuta maji tele?”
Hitichun mitamtah akikhom doh un twi gamsunga long lutjouse chu asutang gammun hitin aseijuve: “Ipi dinga Assyria lengpa chu hunga twi neng jeng junga amuthei diu ham?” atiove
5 Hezekia akafanya kazi kwa bidii kukarabati sehemu zote zilizokuwa zimebomoka za ukuta na kujenga minara juu yake. Akajenga ukuta mwingine nje ya ule uliokuwepo na kuimarisha Milo katika Mji wa Daudi. Akatengeneza pia silaha nyingi na ngao.
Hitichun aman khopi chim hochu asemphan khopi sunga panmun akisem toh'in akisuh hatnin pal chunga insang hojong atungdoh in chuleh polanga palchom jong asemben, galmanchah holeh ompho hojong neng chetnin asemmin ahi
6 Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
Hiche banna chun aman aman khopi sunga mipi hochu sepai lamkaiho noija akoiyin amahochun khopi kelkot kom mun onglai jachun akhommin hitihin ajah uva chun tilkhou na thu aseijin ahi
7 “Kuweni hodari na wenye moyo mkuu. Msiogope, msifadhaike wala msikate tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na hili jeshi kubwa lililo pamoja naye, kwa kuwa aliye pamoja nasi ni mkuu kuliko aliye pamoja naye.
”Hatnunglang hangun Assyria lengpa leh ahinkilhon pi mihonpi jehkhun kicha hih un, ajeh chu ama umpiho sangin eiho umpi ho atamjouve” ati
8 Kwake uko mkono wa mwili tu, bali kwetu yuko Bwana Mungu wetu kutusaidia na kutupigania vita vyetu.” Nao watu wakatiwa moyo kutokana na maneno aliyowaambia Hezekia mfalme wa Yuda.
Ajeh chu ama umpi hohi tahsaphe muthei sepaiho ahiove amavang eiho ei umpiova chu Pakai Pathen ahin amatah in igallu hi eisat hu pehdiu ahi” ati. Hiti hin Judah lengpa Hezekiah thucheng hohin mipi hochu alung ngamsah in ahan sansah lheh jengtan ahi
9 Hatimaye Senakeribu mfalme wa Ashuru na majeshi yake yote walipokuwa wameuzunguka Lakishi, akawatuma maafisa wake kwenda Yerusalemu wakiwa na ujumbe huu kwa Hezekia mfalme wa Yuda, na kwa watu wote wa Yuda waliokuwako humo, kusema:
Hiche jouhin Assyria lengpa Sennacherib chun asoh teho chu Jerusalem langah asollin, Judah lengpa Hezekiah leh Jerusalem ma um Judah te jouse komma chun aseisah in:
10 “Hili ndilo asemalo Senakeribu mfalme wa Ashuru: Je, mmeweka tumaini lenu wapi, hata mnaendelea kukaa katika Yerusalemu, hali mmezungukwa na jeshi?
Assyria lengpa Sennacherib min hitin aseije ipi kisonpi nanei juva kalonvuh khumsa Jerusalem mahi nahiti um ngamu ham?
11 Hezekia asemapo, ‘Bwana Mungu wetu atatuokoa kutokana na mkono wa mfalme wa Ashuru,’ anawapotosha ninyi, naye atawaacha mfe kwa njaa na kiu.
Nalengpao Hezekiah in Pakai na Pathenun keiho lengpa a konna nahuh diuva asei chu najou lhepmu ahin, gilkel le dangchah a nathisah gamgot nu ahibouve
12 Je, si Hezekia mwenyewe aliyeondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake, akiwaambia Yuda wa Yerusalemu, ‘Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu moja na kuteketeza dhabihu juu yake’?
Ama hilouham houdang maicham leh halnam ho susea Judah te Jerusalem mipi te jah a houkhat seh leh maicham khatsehbou neiding tia chu Hezekiah hilouham?
13 “Je, hamjui yale mimi na baba zangu tuliyoyafanya kwa mataifa yote ya nchi zingine? Je, miungu ya mataifa hayo iliweza kuokoa nchi zao kutoka mkononi mwangu?
Kapu kapateo leh keiman nam dang ho chunga katohnaohi nahet lou uham? Namdnagho pathen hon Assyria lengpa – a konna amite ahuhhing jou mong mong ngam?
14 Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya mataifa haya ambayo baba zangu waliyaangamiza ameweza kuwaokoa watu wake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Mungu wenu kuwaokoa mkononi mwangu?
Itih monga gamdang pathen nin agammi keihoa konna ahuhdoh jou beh am? Ahileh tua chu iti nangai touva na Pathennu chun keihoa konna nahuhdoh joudiuva chu ipin nakinepsah uham?
15 Sasa basi, msikubali Hezekia awadanganye na kuwapotosha namna hii. Msimwamini, kwa kuwa hakuna mungu wa taifa lolote wala wa ufalme wowote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu au mkononi mwa baba zangu. Sembuse huyo mungu wenu atawaokoaje kutoka mkononi mwangu!”
Phatah in kingai touvin Hezekiah chu hitichun ki lheplhah sah hih un, Tahsan hih un koimacha nam pathen nin Assyria lengpa – a kon in amite ahuhdoh jou pon ahi. Tahbeh in nangho Pathen nin jong kei hoa konna nang ho nahuhdoh joubeh dingham?
16 Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya Bwana aliye Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia.
Assyria lamkai hochun Pakai Pathen leh Pathen sohpa Hezekiah demna chu thilthang hoi tah tahjong aseijun ahi
17 Mfalme pia aliandika barua akimtukana Bwana, Mungu wa Israeli na kusema haya dhidi yake: “Kama vile miungu ya mataifa ya nchi nyingine ilivyoshindwa kuwaokoa watu wao mkononi mwangu, vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hataweza kuwaokoa watu wake kutoka mkononi mwangu.”
Assyria lengpan athot lekha chun Israel Pakai Pathen chu aha dem lheh jengin ahi. Hichun aseije: “Namdnag ho pathenin katha nein a – a kon in amiteo ahuhdoh jou pouvin ahi, Hezekiah Pathennin jong keija kon in amite huhdoh joupon te” atin ahi
18 Kisha wakawaita kwa Kiebrania watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta ili kuwatisha na kuwatia hofu ili waweze kuuteka mji.
Amahon mipi hetding chun Hebrew paovin Jerusalem mipiho leh palchunga umho jahdinga ahet thei dingu chuleh lungneosah ding hitia chu bailamtah a jothei nading atio ahi
19 Wakanena juu ya Mungu wa Yerusalemu kama vile walivyonena juu ya miungu ya mataifa mengine ya dunia ambayo ni kazi ya mikono ya wanadamu.
Judate Pathen chu nam dang dangho semthu pathen toh kibanga aseikhum jengu ahi
20 Mfalme Hezekia na nabii Isaya mwana wa Amozi wakalilia mbingu katika maombi kuhusu jambo hili.
Tun Hezekiah lengpa leh Isaiah Amoz chapa chu Pathen hengah kaple pengin ataolhon tan ahi
21 Naye Bwana akamtuma malaika ambaye aliangamiza wanajeshi wote, na viongozi na maafisa katika kambi ya mfalme wa Ashuru. Kwa hiyo, mfalme wa Ashuru akarudi nchini mwake kwa aibu. Naye alipokwenda katika hekalu la mungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua kwa upanga.
Hijouchun avantil khat ahin sollin hiche vantil chun mihang mihat, lamkai Assyria lengpa sepai hojouse chu athat gamhel tan ahi. Hichun ama jahchatah leh jumtah in agamma akile tan ahi. Hichun aman asemthu Pathen houinna aum sungin achate alut un chemjam min asat lih taovin ahi
22 Hivyo Bwana akamwokoa Hezekia na watu wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru na kutoka mikononi mwa wengine wote. Bwana akawastarehesha kila upande.
Hitichun Pakaiyin Hezekiah lengpa leh Jerusalem mipi techu Assyria lengpa leh galmi danghoa kon in ahuhdoh tan ahi. Hitichun Pathenin amite chu avelluva cheng gamsung mihoa kon in jong chamna alensah taan ahi
23 Watu wengi wakaleta sadaka Yerusalemu kwa ajili ya Bwana na zawadi za thamani kwa ajili ya Hezekia mfalme wa Yuda. Tangu hapo na kuendelea, Hezekia aliheshimiwa sana na mataifa yote.
Mitamtah in Jerusalem Pakai jadingin kiphaldohna thilpeh ahin choijun chuleh Judah lengpa Hezekiah dingin kipa thilpeh ahung peovin hichea konhin Hezekiah chu namtin lah a choisangin a um taan ahi
24 Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Akamwomba Bwana, ambaye alimjibu na kumpa ishara.
Hichephat laisung hin Hezekiah chu ahung dammotan athi kon ahitaan, Pathen komma ataovin ahileh Pathenin nadamdoh ding ahinai atin melchih nakhat apen ahi
25 Lakini moyo wa Hezekia ukajaa majivuno na hakuonyesha itikio kwa wema aliotendewa, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana ikawa juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.
Ahinlah Hezekiah chu Pakaiyin Judah leh Jerusalem chuleh amachunga thilpha abolpeh ho chunga kipathu seithei loukhop min ahung kiletsah taan hijechun amachung leh Judah le Jerusalem chunga chun Pathen lunghan na ahung chu tan ahi.
26 Ndipo Hezekia akatubu kwa ajili ya kiburi cha moyo wake, kama walivyofanya watu wa Yerusalemu, kwa hiyo ghadhabu ya Bwana haikuja juu yao katika siku za Hezekia.
Hiphat chun amaleh Judah te leh Jerusalem miteho nasatah in akisunem mun ahileh Hezekiah hinlai sungin achung'uva hunglhung ding hochu asoh tapon ahi
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima, naye akajifanyia hazina kwa ajili ya fedha yake na dhahabu na kwa ajili ya vito vyake vya thamani, vikolezi, ngao na aina zote za vyombo vya thamani.
Hezekiah chun neilegou ahaolheh jengtaan jana lentah jong achangin ahi. Aman sana le dangka chuleh song mantam, namtwi ho, ompho holeh thilman tamtah ho koinading dankhat jong asaovin ahi
28 Akajenga pia maghala ya kuhifadhi mavuno ya nafaka, divai mpya na mafuta. Akatengeneza mabanda kwa ajili ya aina mbalimbali za mifugo, na mazizi kwa ajili ya kondoo na mbuzi.
Hiche chung chonnin jong chang le mim, lengpitwi chuleh Olive thao le ganchaho koitup na ding chuleh kelngoi chalho inding akikolkhum agetpeh in ahi
29 Akajenga vijiji na kujipatia idadi kubwa ya kondoo na mbuzi, pamoja na ngʼombe kwa kuwa Mungu alikuwa amempa utajiri mwingi sana.
Hicheho banna hin Pathennin kelngoi gancha jatchom chom tamtah leh neile gou tamtah anapen khopi tamtah jong anatun dohsah in ahi
30 Ilikuwa ni Hezekia aliyeziba njia za kutolea maji za chemchemi za juu za Gihoni na kuyaelekeza maji kutiririkia upande wa magharibi wa Mji wa Daudi. Akafanikiwa katika kila kitu alichofanya.
Hichu Hezekiah hin Gihon vadung twilondoh na achungnungjo jongchu ana ting tangin David khopi nilhum lang ngin asuh lonsah in ahi. Hiche Hezekiah hi atoh na lam lammah akhangtou lheh jengin ahi
31 Lakini wakati wajumbe walipotumwa na watawala wa Babeli kumuuliza juu ya ishara ambayo ilitokea katika nchi, Mungu alimwacha ili kumjaribu na kujua kila kitu kilichokuwa moyoni mwake.
Babylon khopi lhalheng hon hiche gamsunga thil kidang tah tah sohdoh ho kholtoh dinga ahung u chun Pathennin apatepmin achanglha tan ahi
32 Matukio mengine ya utawala wa Hezekia na matendo yake ya kujitoa kwa moyo yameandikwa katika maono ya nabii Isaya mwana wa Amozi kwenye kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Hezekiah lengpan athil bol jouse leh Pakaija akipeh na ho jouse chu Amos chapa Isaiah gaothilmu hotoh Judah leh Israel lengte thusim kijih na lekhabu a akijih lutsoh keijin ahi
33 Hezekia akalala na baba zake na akazikwa kwenye kilima mahali yalipo makaburi ya wazao wa Daudi. Yuda wote na watu wa Yerusalemu wakamheshimu alipofariki. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.
Hezekiah athiphatnin lengte kivuina na lhaan achungnung pa achun avuijun ahi. Judah holeh Jerusalem mipiten athichun jana nasatah anapeovin ahi, Hitichun achapa Manasseh in lengmun alo taan ahi