< 2 Nyakati 31 >

1 Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao wenyewe na kwenye milki zao.
Tukun safla kufwa uh, mwet Israel nukewa som nu in kais sie siti lun Judah, ac fukulya sru eot, ac kunausla ma sruloala ma orekla in luman god mutan Asherah, oayapa loang ac acn in alu lun mwet pegan. Elos oru ouinge in acn nukewa saya lun Judah, ac in acn lun Benjamin, Ephraim, ac Manasseh. Na elos nukewa folokla nu yen selos.
2 Hezekia akawapanga makuhani na Walawi katika migawanyo, kila mgawanyo kulingana na wajibu wao, kama ni makuhani au Walawi, ili kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa katika malango ya makao ya Bwana.
Tokosra Hezekiah el sifilpa nawu oakwuk lun mwet tol ac mwet Levi, fal nu ke orekma kunen kais sie u lalos. Ma kunalos inge pa: in kisakin mwe kisa firir ac mwe kisa in akinsewowo, in oru ip kunalos ke alu in Tempul, ac fahkak kaksak ac kulo ke kais sie acn in Tempul.
3 Mfalme akatoa matoleo kutoka mali zake mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na za jioni na sadaka za kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana.
Tokosra Hezekiah el use sheep ac cow mukul natul sifacna tuh in mwe kisa firir ke lotutang ac eku nukewa, oayapa nu ke ma kisakinyuk ke len Sabbath ac ke Kufwen Malem Sasu, ac ke kufwa saya ma eneneyuk in orek fal nu ke Ma Sap lun LEUM GOD.
4 Akawaagiza watu wanaoishi Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu kutimiza wajibu wao katika Sheria ya Bwana.
Sayen ma inge, tokosra el sap mwet in acn Jerusalem in use pac mwe kite lalos nu sin mwet tol ac mwet Levi fal nu ke ma oakwuk, tuh elos in ku in sang pacl lalos nufon in akfalye orekma nukewa ma akkalemyeyuk ke Ma Sap lun LEUM GOD.
5 Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.
Tukunna sapkinyuk ma inge, na mwet Israel elos use fahko se meet ke fokin ima lalos, wain, oil in olive, honey, ac kutu pac fokin sacn sunalos, oayapa sie tafu singoul ke ma lalos nukewa.
6 Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao ya ngʼombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya Bwana Mungu wao na kuvikusanya katika malundo.
Mwet Israel ac mwet Judah nukewa su muta in siti lun Judah elos use sie tafu singoul ke cow ac sheep natulos, ac elos oayapa use mwe sang puspis su elos srela tuh in ma lun LEUM GOD lalos.
7 Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.
Elos mutawauk in orani mwe sang inge ke malem se aktolu, na elos sifilpa elosak ma utukeni nwe ke malem akosr pac toko.
8 Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu Bwana na kuwabariki watu wake Israeli.
Ke Tokosra Hezekiah ac mwet pwapa lal elos liye lupan ma orekeni inge, elos kaksakin LEUM GOD ac kaksakin mwet lal, mwet Israel.
9 Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Tokosra el sramsramkin mwe kite inge nu sin mwet tol ac mwet Levi,
10 naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la Bwana tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu Bwana amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”
na Azariah, mwet Tol Fulat su ma in sou lal Zadok, el fahk nu sel, “Ke pacl se na mwet uh mutawauk in usani mwe sang lalos nu in Tempul, arulana yohk mwe mongo nasr. Kalem lah LEUM GOD El akinsewowoye mwet lal, pwanang yolyak pac ma oan inge.”
11 Hezekia akatoa agizo la kutengeneza vyumba vya ghala katika Hekalu la Bwana nalo hili likafanyika.
Na Tokosra Hezekiah el sap elos in akoela kutu nien filma in Tempul, ac elos oru,
12 Kisha kwa uaminifu wakaleta sadaka zao, mafungu yao ya kumi na vitu vilivyowekwa wakfu. Konania Mlawi, ndiye alikuwa msimamizi wa vitu hivi na Shimei ndugu yake ndiye alikuwa msaidizi wake.
ac likiya mwe sang ac sie tafu singoul nukewa in karinginyuk we. Elos sulela mwet Levi se pangpang Conaniah in karingin ma inge, ac Shimei, tamulel se lal, in mwet kasru lal.
13 Yehieli, Azazia, Nahathi, Asaheli, Yeremothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaya walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa Hekalu la Mungu.
Mwet Levi singoul srisrngiyuki in orekma yoroltal, ac pa inge inelos: Jehiel, Azaziah, Nahath, Asahel, Jerimoth, Jozabad, Eliel, Ismachiah, Mahath, ac Benaiah. Ma inge nukewa orekla ke sap lal Tokosra Hezekiah ac Azariah, Mwet Tol Fulat.
14 Kore mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu, akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa Bwana na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.
Ma kunal Kore wen natul Imnah, sie mwet Levi su sifen mwet topang su taran Mutunpot Kutulap ke Tempul, in eisani mwe sang ma orekeni nu sin LEUM GOD, ac kitalik nu sin mwet tol ac mwet Levi.
15 Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee kwa vijana sawasawa.
In siti saya, yen oasr mwet tol muta we, mwet Levi inge pa mwet kasru lal Kore: Eden, Miniamin, Jeshua, Shemaiah, Amariah, ac Shecaniah. Elos arulana oaru in kitalik mwe mongo nu sin mwet Levi wialos, ke lupa ma fal nu ke orekma kunalos,
16 Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la Bwana ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.
ac tia ke sou. Elos sang ma nun mukul nukewa yac toluyak, su oasr orekma kunalos ke kais sie len in Tempul, fal nu ke ma kuneyuk elos nu kac.
17 Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi ilikuwa kufuatana na huduma zao, kwa migawanyo yao.
Mwet tol uh itukyang orekma kunalos fal nu ke sou lalos, ac mwet Levi su yac longoulyak, itukyang ma kunalos fal nu ke u in orekma lalos.
18 Makuhani waliandikishwa pamoja na watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa walikuwa waaminifu katika kujitakasa.
Simla inelos nukewa wi mutan kialos ac tulik natulos ac mwet saya su muta ye karinginyuk lalos, mweyen elos enenu na in akola pacl nukewa in oru orekma mutal kunalos.
19 Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji yao au katika miji mingine yoyote, watu walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume miongoni mwao na kwa wote waliokuwa katika orodha ya vizazi vya Walawi.
Inmasrlon mwet tol su muta in siti ma itukyang nu sin sou lal Aaron, ku mwet su muta ke acn in tohf kosro lun siti ingan, oasr mwet oaru ma kuneyuki in kitalik mwe mongo nu sin mukul nukewa in sou lun mwet tol, ac nu sin mwet nukewa su simla inelos ke sou lun mwet Levi.
20 Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yuda yote, akifanya lile lililo jema, sawa na la uaminifu mbele za Bwana Mungu wake.
In acn Judah nufon, Tokosra Hezekiah el oru ma suwohs ac ma LEUM GOD lal insewowo kac.
21 Naye katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika utii kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.
El kapkapak mweyen ma nukewa el oru nu ke Tempul, ku akosten lal nu ke Ma Sap, el oru ke inse pwaye ac ke lungse pwaye lal nu sin God lal.

< 2 Nyakati 31 >