< 2 Nyakati 31 >

1 Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao wenyewe na kwenye milki zao.
Da alt det var til ende, drog alle de Israeliter, som var til stede, ud til Judas Byer, og de sønderbrød Stenstøtterne, omhuggede Asjerastøtterne og nedrev Offerhøjene og Altrene i hele Juda og Benjamin og i Efraim og Manasse, så der ikke blev Spor tilhage; så vendte alle Israeliterne hjem, hver til sin Ejendom i deres Byer.
2 Hezekia akawapanga makuhani na Walawi katika migawanyo, kila mgawanyo kulingana na wajibu wao, kama ni makuhani au Walawi, ili kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa katika malango ya makao ya Bwana.
Så ordnede Ezekias Præsternes og Leviternes Skifter, Skifte for Skifte, så at hver enkelt Præst og Levit fik sin særlige Gerning med at ofre Brændofre og Takofre og med af gøre Tjeneste og love og prise i HERRENs Lejrs Porte.
3 Mfalme akatoa matoleo kutoka mali zake mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na za jioni na sadaka za kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana.
Hvad Kongen gav af sit Gods, var til Brændofrene, Morgen- og Aftenbrændofrene og Brændofrene på Sabbaterne, Nymånerne og Højtiderne, som det er foreskrevet i HERRENs Lov.
4 Akawaagiza watu wanaoishi Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu kutimiza wajibu wao katika Sheria ya Bwana.
Og han bød Folket, dem, der boede i Jerusalem, at afgive, hvad der tilkom Præsterne og Leviterne, for at de kunde holde fast ved HERRENs Lov.
5 Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.
Så snart det Bud kom ud, bragte Israeliterne i rigelig Mængde Førstegrøde af Korn, Most, Olie og Honning og al Markens Afgrøde, og de gav Tiende af alt i rigeligt Mål;
6 Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao ya ngʼombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya Bwana Mungu wao na kuvikusanya katika malundo.
også de Israeliter, der boede i Judas Byer, gav Tiende af Hornkvæg og Småkvæg, og de bragte Helliggaverne, der var belliget HERREN deres Gud, og lagde dem Bunke for Bunke.
7 Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.
I den tredje Måned begyndte de at ophobe Bunkerne, og i den syvende Måned var de færdige.
8 Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu Bwana na kuwabariki watu wake Israeli.
Ezekias og Øversterne kom så og synede Bunkerne, og de priste HERREN og hans Folk Israel.
9 Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Da Ezekias spurgfe sig for hos Præsterne og Leviterne om Bunkerne,
10 naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la Bwana tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu Bwana amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”
svarede Ypperstepræsten Azarja af Zadoks Hus: "Siden man begyndte at bringe Offerydelsen til HERRENs Hus, har vi spist os mætte og fået rigelig tilovers, thi HERREN har velsignet sit Folk, så at vi har fået al den Rigdom her tilovers!"
11 Hezekia akatoa agizo la kutengeneza vyumba vya ghala katika Hekalu la Bwana nalo hili likafanyika.
Ezekias gav da Befaling til at indrette Kamre i HERRENs Hus; og det gjorde man.
12 Kisha kwa uaminifu wakaleta sadaka zao, mafungu yao ya kumi na vitu vilivyowekwa wakfu. Konania Mlawi, ndiye alikuwa msimamizi wa vitu hivi na Shimei ndugu yake ndiye alikuwa msaidizi wake.
Så bragte man samvittighedsfuldt Offerydelsen, Tienden og Helliggaverne derind. Den øverste Opsynsmand derover var Leviten Konanja, den næstøverste hans Broder Sjim'i;
13 Yehieli, Azazia, Nahathi, Asaheli, Yeremothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaya walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa Hekalu la Mungu.
og Jehiel, Azarja, Nahat, Asa'el Jerimot, Jazabad, Eliel, Jismakjahu, Mahat og Benaja var Opsynsmænd underKonanja oghans Broder Sjim'i efter den Ordning, som var truffet af Ezekias og Azarja, Øversten i Guds Hus.
14 Kore mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu, akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa Bwana na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.
Leviten Kore, Jimnas Søn, der var Dørvogter på Østsiden, havde Tilsyn med de frivillige Gaver til Gud og skulde uddele HERRENs Offerydelse og de højhellige Gaver;
15 Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee kwa vijana sawasawa.
under ham sattes Eden, Minjamin, Jesua, Sjemaja, Amarja og Sjekanja i Præstebyerne til samvittighedsfuldt attorestå Uddelingen til deres Brødre i Skitterne, både store og små,
16 Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la Bwana ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.
dem af Mandkøn, der var indført i Fortegnelserne fra Treårsalderen og opefter. Undtaget var alle, der kom til HERRENs Hus for efter de enkelte Dages Krav at udføre deres Embedsgerning efter deres Skifter.
17 Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi ilikuwa kufuatana na huduma zao, kwa migawanyo yao.
Præsterne indførtes i Fortegnelserne efter deres Fædrenehuse, Leviterne fra Tyveårsalderen og opefter efter deres Embedspligter, efter deres Skifter,
18 Makuhani waliandikishwa pamoja na watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa walikuwa waaminifu katika kujitakasa.
Og de indførtes i Fortegnelserne med hele deres Familie, deres Hustruer, Sønner og Døtre, hele Standen, thi de tog sig samvittighedsfuldt af det hellige.
19 Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji yao au katika miji mingine yoyote, watu walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume miongoni mwao na kwa wote waliokuwa katika orodha ya vizazi vya Walawi.
Arons Sønner, Præsterne, som boede på Græsmarkerne omkring deres Byer, havde i hver By nogle navngivne Mænd til at uddele, hvad der tilkom alle af Mandkøn blandt Præsterne og de i Fortegnelserne indførte Leviter.
20 Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yuda yote, akifanya lile lililo jema, sawa na la uaminifu mbele za Bwana Mungu wake.
Således gik Ezekias frem i hele Juda, og han gjorde, hvad der var godt, ret og sandt for HERREN hans Guds Åsyn.
21 Naye katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika utii kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.
Alt, hvad han tog fat på vedrørende Tjenesten i Guds Hus eller Loven eller Budet for således at søge sin Gud, det gjorde han af hele sit Hjerte, og det lykkedes for ham.

< 2 Nyakati 31 >