< 2 Nyakati 31 >
1 Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao wenyewe na kwenye milki zao.
Lolo nasu dagoloba, Isala: ili fi dunu huluane da Yuda moilai bai bagade huluane amoga asili, ogogosu ‘gode’ma nodoma: ne duni bugi, ogogosu uda ‘gode’ Asila agoai loboga hamoi liligi, ogogosu ‘gode’ nodoma: ne oloda amola sogebi, amo huluane gugunufinisi dagoi. Ilia amo hou defele, Yuda soge, Bediamini, Ifala: ime amola Ma: na: se, amo soge huluane ganodini agoane hamonanu, ilia diasuga buhagi.
2 Hezekia akawapanga makuhani na Walawi katika migawanyo, kila mgawanyo kulingana na wajibu wao, kama ni makuhani au Walawi, ili kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa katika malango ya makao ya Bwana.
Hina bagade Hesigaia da gobele salasu dunu amola Lifai dunu ilia hawa: hamosu ilegesu, amo bu hahamoi. Ilia hawa: hamosu da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu ouligisu hou amola Debolo Diasu ganodini Hina Godema nodone sia: ne gadosu ouligisu hou.
3 Mfalme akatoa matoleo kutoka mali zake mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na za jioni na sadaka za kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana.
Hesigaia da hina: fofoi ohe fi amoga ohe hahabe amola daeya gobele salimusa: , gobele salasu ilia Sa: bade eso hamosu, Oubi Gaheabolo Lolo Nasu gobele salasu amola Lolo Nasu eno amo da Hina Gode Ea Sema ganodini dedei, amo huluane hamomusa: e da i.
4 Akawaagiza watu wanaoishi Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu kutimiza wajibu wao katika Sheria ya Bwana.
Amola, hina bagade da sia: beba: le, Yelusaleme fi dunu da hahawane dogolegele iasu, amo ilia da gobele salasu dunu amola Lifai fi dunuma ima: ne ilegei, amo ilima i. Bai amo da Lifai fi amola gobele salasu dunu ilia osobo bagade liligi mae dawa: le, Hina Gode Ea Sema dedei hou, amo fawane dawa: le hamomusa: logo doasi.
5 Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.
Hina bagade da amo hamoma: ne sia: beba: le, Isala: ili fi dunu da ilia gala: ine noga: idafa, waini hano, olife susuligi, agime hano, ifabia dadami amola fage amola ilia liligi huluanedafa nabuane mogi afae, amo huluane gaguli misi.
6 Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao ya ngʼombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya Bwana Mungu wao na kuvikusanya katika malundo.
Dunu huluane ilia da Yuda moilai bai bagade ganodini esalu, ilia da ilia bulamagau amola sibi nabuane mogi, afae gaguli misi. Amola hahawane dogolegele iasu liligi, ilia Hina Godema modale ligiagale imunusa: gaguli misi.
7 Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.
Ilia da oubi osodaga hahawane dogolegele iasu hemone, amola oubi ageyadu eno amoga liligi bagadedafa iasu.
8 Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu Bwana na kuwabariki watu wake Israeli.
Hina bagade Hesigaia amola eagene ouligisu dunu da amo bagadedafa iasu ba: beba: le, Hina Godema amola Ea Isala: ili dunuma nodoi.
9 Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Hina bagade da gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu, ilima amo hahawane iasu hou gilisili sia: dasu.
10 naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la Bwana tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu Bwana amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”
Gobele salasu dunu ilia ouligisu dunu A: salaia (Sa: idoge egaga fi dunu) da ema amane sia: i, “Dunu da hahawane dogolegele iasu Debolo Diasuga muni gaguli misi amogainini wali, ninia da ha: i moma: ne defele ba: i dagoi. Amola eno hame mai bagade diala. Hina Gode da ninima hahawane dogolegele hamoiba: le, ninia da amo hou ba: sa.”
11 Hezekia akatoa agizo la kutengeneza vyumba vya ghala katika Hekalu la Bwana nalo hili likafanyika.
Hina bagade da hamoma: ne sia: beba: le, ilia da liligi ligisisu sesei Debolo Diasu sogebiga momagei.
12 Kisha kwa uaminifu wakaleta sadaka zao, mafungu yao ya kumi na vitu vilivyowekwa wakfu. Konania Mlawi, ndiye alikuwa msimamizi wa vitu hivi na Shimei ndugu yake ndiye alikuwa msaidizi wake.
Ilia da amo ganodini, hahawane dogolegele iasu liligi amola liligi nabuane mogili afae iasu, amo huluane lidili legei. Ilia da Lifai fi dunu ea dio Gononaia amo sesei ouligima: ne ilegei. Amola e bagia fidima: ne, ea eya Simiai ilegei.
13 Yehieli, Azazia, Nahathi, Asaheli, Yeremothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaya walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa Hekalu la Mungu.
Elaha hawa: hamoma: ne, ilia da Lifai fi dunu nabuane ilegei. Ilia dio da Yihaiele, A:isasaia, Na: iha: de, A:sahele, Yelimode, Yosaba: de, Ilaiele, Isimagaia, Ma: iha: de amola Bina: ia. Hina bagade Hesigaia amola gobele salasu ouligisu A: salaia, ela hamoma: ne sia: beba: le, amo hou huluane hamosu.
14 Kore mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu, akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa Bwana na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.
Ilia da Gouli (Imina egefe) amo Hina Godema hahawane dogolegele iamabe amo ouligima: ne ilegei. Gouli da Debolo Diasu gusudili logo ga: su sosodo aligisu dunu ilia bisilua esalu, amola e da amo iasu liligi lidili legei, amola eno dunuma bu iasu.
15 Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee kwa vijana sawasawa.
Moilai bai bagade oda amo ganodini gobele salasu dunu esalebe ba: i, amoga Lifai dunu eno da Gouli noga: le fidisu. Ilia dio da Idini, Miniamine, Yesua, Siema: ia, A:malaia amola Sieganaia. Ilia da ha: i manu i, amo momogili, ilia na: iyado Lifai fi dunuma (fi mae dawa: le) ilia hawa: hamosu defele, ilima iasu.
16 Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la Bwana ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.
Ilia da dunu amo da lalelegele, ode30 esalu amola amo baligi, ilia eso huluane Debolo Diasu ganodini hawa: hamonanebe defele, ha: i manu ilima i.
17 Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi ilikuwa kufuatana na huduma zao, kwa migawanyo yao.
Ilia da gobele salasu dunu, ilia sosogo fi afae afae amo defele, ilima hawa: hamosu ilegei. Amola Lifai fi dunu amo da lalelegele, ode20esalu amola amo baligi, ilia da amo dunu hawa: hamosu gilisisu afae afae amoma ili ilegele, hawa: hamosu ilegei.
18 Makuhani waliandikishwa pamoja na watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa walikuwa waaminifu katika kujitakasa.
Ili huluane amola ilia uda amola mano amola fofoi mano, idili dedei dagoi ba: i. Bai ilia da Debolo Diasu ganodini gasia o yoga udigili sema hawa: hamomusa: momagele ouesalumusa: ilegei.
19 Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji yao au katika miji mingine yoyote, watu walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume miongoni mwao na kwa wote waliokuwa katika orodha ya vizazi vya Walawi.
Gobele salasu dunu amo da Elane egaga fi ilia moilai bai bagade ganodini esalu o ohe fofole nasu soge amo gadenene dialu amoga esalu, amo moloi dunu mogili da gobele salasu dunumusu amola Lifai fi dunu amo da fi idisu meloaga dedei, ilima ha: i manu sagosu.
20 Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yuda yote, akifanya lile lililo jema, sawa na la uaminifu mbele za Bwana Mungu wake.
Yuda soge huluane ganodini, hina bagade Hesigaia da ea Hina Gode hahawane ba: ma: ne fawane hamosu.
21 Naye katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika utii kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.
E da ea hawa: hamosu huluane didi hamosu. Bai ea da molole Debolo hawa: hamosu amola Gode Ea Sema amoma fa: no bobogebeba: le, e da ea Hina Godema madelagiwane amola asigiwane hamosu.