< 2 Nyakati 30 >

1 Hezekia akatuma ujumbe kuwaita Israeli wote na Yuda, pia akaandika barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili waje hekaluni mwa Bwana huko Yerusalemu kuadhimisha Pasaka kwa Bwana, Mungu wa Israeli.
Hezekiah in Israel leh Judah te jouse chu thu athotnin chuleh Ephraim leh Manasseh tejong lekha athotnin Jerusalem ma Pakai houin na hung na dingleh Israel te Pakai kalchuh kut mang dingin akouvin ahi
2 Mfalme na maafisa wake pamoja na kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili.
Ajeh chu lengpaleh alamkai ho jouse chuleh Jerusalem ma khop pi – a mipiho jouse chu lhani channa tengleh kalchuh kut manding in akinop to taovin ahi
3 Kwa sababu makuhani hawakuwa wamejitakasa idadi ya kutosha na watu wakawa hawajakusanyika huko Yerusalemu, hawakuwa wameweza kuadhimisha Pasaka kwa wakati wake wa kawaida.
Amahon ahi ding bangin anamang thei pouvin ahi, chuleh thempu hojong amale ama kithenso na – a ana lhing jou pouvin ahi. Chuleh mipijong Jerusalem mah ana kikhom kim thei pouvin ahi
4 Mpango huu ukaonekana wafaa kwa mfalme na kusanyiko lote.
Hiche thuhin lengpa leh khoppi chu akipa sah lheh jengun ahi
5 Wakaamua kupeleka tangazo Israeli kote, kuanzia Beer-Sheba hadi Dani, wakiwaita watu waje Yerusalemu kuadhimisha Pasaka ya Bwana, Mungu wa Israeli. Ilikuwa haijaadhimishwa na idadi kubwa ya watu kama hiyo kufuatana na yale yaliyokuwa yameandikwa.
Hitichun amahon Bersheba a patna Dan geija Israel pumpi Jerusalem ma ahung kikhopmu va Israel Pakai Pathen anga sottah ahi ding banga ana manjou tah louvu kalchuh kut man nadingin aphongdoh taovin ahi
6 Kwa amri ya mfalme, matarishi wakapita katika Israeli na Yuda kote wakiwa na barua kutoka kwa mfalme na kutoka kwa maafisa wake zikisema: “Watu wa Israeli, mrudieni Bwana, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Israeli, ili naye awarudie ninyi mliosalia, mlionusurika kutoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.
Hijou chun Judah leh Israel gampumpi a mikouding asollun leng pa le lamkai ho a kon in lekhathot achoijun lengpa thupeh chu asimphongun “Israel chateho Abraham Isaac le Israel Pakai Pathen na hung kile kittaovin chuteng leh Assyria lenghoa konna hungjamdoh amohcheng nangho komma Pakai jong hung kile kit ding ahi
7 Msiwe kama baba zenu na ndugu zenu, ambao hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Mungu wa baba zao, hivyo akawafanya kitu cha kushangaza kama mnavyoona.
Pakai Pathen doumah a chon napu napateo bangin chon hih un nanghon nahet bangun Pathen nin ama ho chu nasahtah in a engbollun ahi
8 Msiwe na shingo ngumu, kama baba zenu walivyokuwa, bali nyenyekeeni kwa Bwana. Njooni mahali patakatifu, alipopatakasa milele. Mtumikieni Bwana Mungu wenu, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nanyi.
Amaho bangin louchal hih un, Pakai thuchu nitjouvin. Jerusalem ma Pakai houinna hungun, hichu na Pakai na Pathennun a imatih channa dinga asuhtheng ahi, hungunlang chibai hungboh un chutileh nachunguvah lung hang taponte
9 Kama mkimrudia Bwana ndipo wale ndugu zenu waliotekwa pamoja na watoto wenu watakapoonewa huruma na wale waliowateka na kuwaachia warudi katika nchi hii, kwa kuwa Bwana Mungu wenu ni mwenye neema na huruma, hatageuzia uso wake mbali nanyi kama ninyi mkimrudia yeye.”
Pakai komma nahung kileova ahileh na sopite hou galhinga man hochun lungset nale khotona hinnei juntin a in lang uva ahin kile sah diu ahi. Pakai na Pathennu hi mikhoto them ahi nahung kinung leoleh aman nahinsah diu ahi
10 Matarishi wakaenda mji hadi mji katika Efraimu na Manase, wakafika mpaka Zabuloni, lakini watu wakawadharau na kuwadhihaki.
Hiche thupo poleho chu Ephraim leh Manasseh phungho chen na gamhoa acheovin chuleh sahlang Zebulun phungho chenna gamgeijin acheovin ahin la amahon ana nuisatnun ana houseovin ahi
11 Lakini, baadhi ya watu wa Asheri, Manase na Zabuloni, wakajinyenyekeza wakaja Yerusalemu.
Ahijeng vang'in Asher, Manasseh le Zebulun phunghoa kon in mi phabep Jerusalem mah ahungun ahi
12 Pia katika Yuda mkono wa Mungu ulikuwa juu ya watu kuwapa umoja katika kutenda yale ambayo mfalme na maafisa wake waliwaamuru, kulingana na neno la Bwana.
Pathenin Judah mite lah a na anatongin ana kipumkhat sahun ahi. Ajeh chu amahon lengpe leh anoija lamkaiho thu angaijun Pathen lungdei boldingin lunggel dettah in aneiyun ahi
13 Basi umati mkubwa wa watu ukakusanyika huko Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu katika mwezi wa pili.
Lhani chan na in mitamtah Jerusalem mah ahung kikhom mun cholsolou changlhah kutchu amangun ahi
14 Wakajitia kazini kuyaondoa yale madhabahu yaliyokuwa huko Yerusalemu, wakayaondoa pia yale madhabahu ya kufukizia uvumba kwa miungu na kuyatupa Bonde la Kidroni.
Amahon Jerusalem pumgo thiltona le gimnamtwi lhutnam – a ana kimang maicham ho chu aladoh un Kidron phaicham mah aga lehmangun ahi
15 Kisha wakamchinja mwana-kondoo wa Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi waliona aibu, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa katika Hekalu la Bwana.
Hijouchun lhani channa a ni 14 nikhochun kalchuh kut na dingin kelngoi athatnun ahi. Thempu holeh Levi techu daan dung jui'a ana kisuhtheng lou jeh'un ajahchao vin hijeh chun Pakai jah amaho le amaho aga kisutheng un ahileh houinna pumgo thilto kibolna – a akimangcha thei taovin ahi
16 Kisha wakachukua nafasi zao za kawaida kama ilivyoelezwa katika Sheria ya Mose mtu wa Mungu. Makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa na Walawi.
Aman Pathen mipa Mose daan thupeh dung juiyin ama ama panmuncheh akilo taovin ahi. Levi ten gancha kitohdoh thisan chu thempuho khutna apeovin amahon hichu maicham chungah atheovin ahi
17 Kwa kuwa wengi waliokuwa katika lile kusanyiko walikuwa hawajajitakasa, iliwapasa Walawi wachinje wana-kondoo wengine wa Pasaka kwa ajili ya wale watu ambao hawakuwa safi, kwa kufuata taratibu za ibada ili kuwatakasa kwa Bwana.
Mi atamjo chu daan jungjui ja athen lou jeh un kalchuh kutna chun kelngoi athat thei pouvin ahi. Hijeh chun Levi ten amaho khellin athapeh un kelngoi ho chu Pakai jah akatdoh un ahi
18 Ingawa watu wengi miongoni mwa wale waliotoka Efraimu, Manase, Isakari na Zabuloni walikuwa hawajajitakasa, hata hivyo walikula Pasaka kinyume na ilivyoandikwa. Lakini Hezekia akawaombea, akisema, “Bwana, ambaye ni mwema na amsamehe kila mmoja
Hiche chung chonchun Ephraim Manasseh, Issachar leh Zebulun phunghoa konna hungho chun daan dungjuija kisuhtheng nachu abolpouvin hijeh chun amahon kalchuh kutchu kiphalam tah in amangun ahi. Hezekiah lengpan amaho ding chun taona amanpeh in ahi
19 ambaye anauelekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Bwana, Mungu wa baba zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria za mahali patakatifu.”
“Vo Pakai kapu kapateo Pathen naphatna jal in alung thimpum pia nakomma taohohi, daandungjuijin thengjou hih jong leo ataonao sanpeh in” ati
20 Naye Bwana akamsikia Hezekia akawaponya watu.
Pakaiyin Hezekiah taona asangin mipi hochu angaidammin achunguva thilse abol tapon ahi
21 Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa muda wa siku saba, nao Walawi na makuhani walikuwa wakiimba kila siku, wakiwa na ala za uimbaji za kumsifu Bwana.
Nisagi sungin mipi ho chu Jerusalem mah akikhomun cholsolou changlhah kutchu kipahtah le thanom tah in abollun ani anin Levi te le thempu hochun lungnachim tah in Pakai athangvah un ahi
22 Hezekia akazungumza akiwatia moyo Walawi wote, ambao walionyesha ustadi katika kumtumikia Bwana. Hivyo watu wakala chakula cha sikukuu kwa siku saba, wakitoa sadaka za amani na kumshukuru Bwana, Mungu wa baba zao.
Hezekiah in Levi techu Pakai chibai bohna – a alamkai thepjeh un apahchan ahi. Nisagi sunga apu apateo Pakai Pathen thangvah na kikatdoh na maicham apeovin ahi
23 Kisha kusanyiko lote likakubali kuendelea na sikukuu kwa siku saba zaidi, kwa hiyo kwa siku saba nyingine wakaendelea kuiadhimisha kwa furaha.
Amahon abonchaovin ni sagi lopbe kitdingin anomsoh keijun, hitichun kipahtah in alopbe kit nun ahi
24 Hezekia, mfalme wa Yuda akatoa mafahali 1,000, kondoo na mbuzi 7,000 kwa ajili ya kusanyiko, nao maafisa wakatoa mafahali 1,000 pamoja na kondoo na mbuzi 10,000. Idadi kubwa ya makuhani wakajiweka wakfu.
Hezekiah lengpan bongchal 1000 (sangkhat) kelngoichal 7000 (Sang sagi) mipihon akithaova anehdiuvin atohdoh in, chuleh lamkai hon bongchal 1000 (sangkhat) leh kelngoichal 10,000 (sang som) mipiho din atohdoh un, hitichun thempuho tamtah'in daan dungjuija kithensona aneiyun ahi
25 Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na lile kusanyiko lote lililotoka Israeli, pamoja na wale wageni waliotoka Israeli na wale walioishi katika Yuda wakafurahi.
Hitichun Judah mipite leh thempu ho Levi te leh sahlanga konna hung mipite leh gamdang miho Israel te leh Judah te lah a anacheng denjing ho abonchaovin akipah sohkeijun
26 Kulikuwa na furaha kubwa katika Yerusalemu, kwa sababu tangu siku za Mfalme Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli halijakuwepo jambo kama hili katika Yerusalemu.
Jerusalem khopi chu kipana adimset jengin ahi, Ajeh chu David chapa Solomon lengpa nikho apatnin hitobang hi ana shoh khah hih laijin ahi
27 Ndipo makuhani na Walawi wakasimama wakawabariki watu, naye Mungu akawasikia, kwa sababu maombi yao yalifika mbinguni, makao yake matakatifu.
Thempu hole Leve techun mipi phatthei achan na dingun Pakai kommah ataopeh un ahi leh Pathenin atao naochu asanpeh in ahi

< 2 Nyakati 30 >