< 2 Nyakati 3 >

1 Ndipo Solomoni akaanza kujenga Hekalu la Bwana katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, pale ambapo Bwana alikuwa amemtokea Daudi baba yake. Ilikuwa katika kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi, mahali palipotolewa na Daudi.
Kalpasanna, rinugian ni Solomon nga ipatakder ti balay ni Yahweh idiay Jerusalem iti Bantay Moria, a nagparangan ni Yahweh kenni David nga amana. Insaganana ti disso a pinanggep ni David para iti daytoy, iti pagir-irikan ni Ornan a Jebuseo.
2 Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.
Nangrugi ti panangipatakderna iti maikadua nga aldaw iti maikadua a bulan, iti maikapat a tawen ti panagturayna.
3 Msingi aliouweka Solomoni kwa ajili ya kulijenga Hekalu la Mungu ulikuwa urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa ishirini.
Ita, dagitoy dagiti rukod ti pundasion nga inkabil ni Solomon para iti balay ti Dios. Iti panangusar ti daan nga estilo ti kubit, innem a pulo a kubit ti kaatiddogna ken duapulo a kubit ti kaakabana.
4 Ukumbi wa mbele wa Hekalu ulikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, yaani, kuanzia upande mmoja hadi upande mwingine wa upana wa nyumba hiyo na kimo chake dhiraa thelathini. Akaufunika ndani kwa dhahabu safi.
Ti kaatiddog ti balkon iti sango ti balay ket duapulo a kubit, maiyannurot iti kaakaba ti pasdek. Duapulo a kubit met ti kangatona, ken kinalupkopan ni Solomon ti uneg daytoy iti puro a balitok.
5 Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo.
Inaramidna ti bubida ti kadakkelan a siled babaen iti saleng a kinalupkopanna iti kasayaatan a balitok, a kinitikitanna kadagiti sinan kayo ti palma ken kadagiti sinan kawar.
6 Alilipamba Hekalu kwa vito vya thamani. Hiyo dhahabu aliyotumia ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.
Inarkosanna ti balay kadagiti napapateg a bato; ti balitok ket balitok a naggapu iti Parvaim.
7 Akazifunika boriti za dari, miimo na vizingiti vya milango, kuta na milango ya Hekalu kwa dhahabu, naye akatia nakshi ya makerubi kwenye kuta.
Kinalupkopanna pay iti balitok dagiti aoanan, dagiti hamba, dagiti diding ken dagiti ruangan; ken inkitikitna dagiti imahen dagiti kerubim kadagiti didingna.
8 Akajenga Patakatifu pa Patakatifu, urefu na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini, sawasawa na upana wa Hekalu. Alifunika ndani kwa talanta 120 za dhahabu safi.
Impatakderna ti kasasantoan a disso. Maiyannurot ti kaatiddogna iti kaakaba ti balay, duapulo a kubit, ken ti kaakabana ket duapulo a kubit met laeng. Kinalupkopanna daytoy iti kasayaatan a balitok nga aggatad iti innem a gasut a talento.
9 Misumari ya dhahabu ilikuwa na uzito wa shekeli hamsini. Alivifunika pia vyumba vya juu kwa dhahabu.
Limapulo a siklo a balitok ti kadagsen dagiti lansa. Kinalupkopanna iti balitok dagiti akin-ngato a siled.
10 Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu akafanyiza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa na kuyafunika kwa dhahabu.
Nangaramid isuna iti dua a sinan-kerubim a para iti kasasantoan a disso; kinalupkopan dagitoy dagiti kumukorte iti balitok.
11 Urefu wa mabawa ya hao makerubi ulikuwa jumla ya dhiraa ishirini. Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano, nalo liligusa ukuta wa Hekalu, bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano, ambalo liligusa bawa la kerubi lingine.
Duapulo a kubit ti kaatiddog dagiti amin a payak dagiti kerubim; lima a kubit ti kaatiddog ti payak ti maysa a kerubim, a dumanon iti diding ti siled; kasta met a lima a kubit ti maysa pay a payak, a dumanon ti payak iti maysa pay a kerubim.
12 Vivyo hivyo bawa moja la kerubi wa pili lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na liligusa ukuta mwingine wa pili wa Hekalu na bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano nalo liligusa bawa la kerubi wa kwanza.
Lima a kubit met ti payak ti maysa pay a kerubim, a dumanon iti diding ti siled; lima a kubit met ti maysa pay a payak daytoy, a sumagsagsagid iti payak ti umuna a kerubim.
13 Mabawa ya makerubi hawa yalitanda dhiraa ishirini. Walisimama kwa miguu yao, nyuso zao zikielekea ukumbi mkubwa.
Nakaukrad dagiti payak dagiti kerubim nga agdagup a duapulo a kubit. Nakatakder dagiti kerubim a nakasango dagiti rupada iti kadakkelan a siled.
14 Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.
Inaramidna dagiti kurtina nga asul, maris ube ken nalabaga a de lana ken kasayaatan a lino, ken imburdana dagiti sinan-kerubim iti daytoy.
15 Mbele ya Hekalu Solomoni akatengeneza nguzo mbili, ambazo kwa pamoja zilikuwa na dhiraa thelathini na tano kwenda juu kwake, na urefu wa kila moja ilikuwa na taji juu yake yenye dhiraa tano.
Nangaramid pay ni Solomon iti dua nga adigi, tallopulo ket lima a kubit ti kangato dagitoy, para iti sangoanan ti balay; lima a kubit ti kangato ti paratok nga adda kadagiti tuktok dagitoy.
16 Akatengeneza minyororo iliyosokotwa, na kuiweka juu ya zile nguzo. Pia akatengeneza makomamanga 100, na kuyashikamanisha kwenye minyororo.
Nangaramid isuna kadagiti kawar a para kadagiti adigi ket inkabilna dagitoy kadagiti tuktok dagiti adigi; nangaramid pay isuna iti sangagasut a sinan-granada ket inkapetna dagitoy kadagiti kawar.
17 Akazisimamisha hizo nguzo mbele ya Hekalu, moja upande wa kusini na nyingine upande wa kaskazini. Ile moja ya upande wa kusini akaiita Yakini, na ya upande wa kaskazini akaiita Boazi.
Impatakderna dagiti adigi iti sangoanan ti templo, maysa iti makannawan nga ima, ken ti sabali iti makannigid; pinanagananna iti Jakin ti adigi iti makannawan, ken Boas ti adigi iti makannigid.

< 2 Nyakati 3 >