< 2 Nyakati 29 >
1 Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.
Nangrugi nga agturay ni Hezekias a kas ari idi agtawen isuna iti 25; nagturay isuna iti 29 a tawen idiay Jerusalem. Abiha ti nagan ti inana; a putot a babai ni Zacarias.
2 Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana kama Daudi baba yake alivyofanya.
Inaramidna ti nalinteg iti imatang ni Yahweh ket sinurotna dagiti pagulidanan nga inaramid ni David a kapuonanna, iti amin a banag.
3 Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wa alifungua milango ya Hekalu la Bwana, na kuikarabati.
Iti umuna a tawen ti panagturayna, iti umuna a bulan, linukatan ni Hezekias dagiti ridaw ti balay ni Yahweh ket tinarimaanna dagitoy.
4 Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki
Pinastrekna dagiti papadi ken dagiti Levita ket inummongna ida idiay paraangan iti akindaya a paset.
5 na kusema: “Nisikilizeni mimi, enyi Walawi! Jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya Bwana, Mungu wa baba zenu. Ondoeni uchafu wote kutoka mahali patakatifu.
Kinunana kadakuada, “Dumngegkayo kaniak, dakayo a Levita! Ikonsagraryo dagiti bagiyo kenni Yahweh ket ikonsagraryo ti balay ni Yahweh a Dios dagiti kapuonanyo, ket ikkatenyo dagiti banbanag a mangtulaw iti nasantoan a disso.
6 Baba zetu hawakuwa waaminifu, walifanya maovu machoni pa Bwana Mungu wetu na wakamwacha yeye. Wakageuza nyuso zao mbali na Maskani ya Bwana wakamgeuzia visogo vyao.
Ta nagsalungasing dagiti kapuonantayo ket inaramidda ti dakes iti imatang ni Yahweh a Diostayo; linaksidda isuna, binaybay-anda ti lugar a pagnanaedan ni Yahweh ket tinallikudanda daytoy.
7 Pia walifunga milango ya ukumbi wa Hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza uvumba wala kutoa sadaka yoyote ya kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa Mungu wa Israeli.
Inserrada pay dagiti ridaw ti balkon ken ineddepda dagiti pagsilawan; saanda a nagpuor iti insensio wenno kadagiti daton a naan-anay a maipuor idiay nasantoan a disso ti Dios ti Israel.
8 Kwa hiyo, hasira ya Bwana ikashuka juu ya Yuda na Yerusalemu, naye akawa amewafanya kitu cha kutisha, cha kushangaza na kitu cha kufanyia mzaha kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.
Ngarud, nagdissuor ti pungtot ni Yahweh iti Juda ken Jerusalem, ket inaramidna ida a maysa a banag nga um-umsien, pagbutbutngan, ken pakababainan, kas makitayo kadagiti bukodyo a mata.
9 Hii ndiyo sababu baba zetu wameanguka kwa upanga na ndiyo sababu wana wetu na binti zetu, pia wake zetu wamekuwa mateka.
Daytoy ti gapuna a natay dagiti ammatayo iti paggugubatan, ket naipanaw a kas balud dagiti annaktayo, ken dagiti assawatayo gapu iti daytoy.
10 Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kuweka Agano na Bwana, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi.
Ita, adda iti pusok a makitulag kenni Yahweh a Dios ti Israel tapno bumaaw ti napalalo a pungtotna kadatayo.
11 Wanangu, basi msipuuze jambo hili sasa, kwa kuwa Bwana amewachagua ninyi msimame mbele zake na kumtumikia, mkawe watumishi wake na mkamfukizie uvumba.”
Annakko, saankayo ita nga agtaktak ta pinilinakayo ni Yahweh a tumakder iti sangoananna, nga agdayaw kenkuana ken agbalin nga ad-adipenna ken agpuor iti insenso.”
12 Ndipo Walawi wafuatao wakaanza kazi: Kutoka kwa Wakohathi, Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria; kutoka kwa Wamerari, Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yahaleleli; kutoka kwa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;
Rinugian dagiti Levita ti trabahoda; manipud kadagiti Kohatita ket da Mahat a putot a lalaki ni Amasai, ken Joel a putot a lalaki ni Azarias, ken manipud kadagiti tattao ti Merari ket da Kis a putot a lalaki ni Abdi ken ni Azarias a putot a lalaki ni Jehalelel; ken manipud kadagiti Gersonita ket da Joa a putot a lalaki ni Zimma ken Eden a putot a lalaki ni Joa;
13 kutoka kwa wana wa Elisafani, Shimri na Yeieli; kutoka kwa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;
manipud kadagiti putot a lalaki ni Elizafan ket da Simri ken Jeuel; ken manipud kadagiti putot a lalaki ni Asaf ket da Zacarias ken Mattanias;
14 kutoka kwa wana wa Hemani, Yehieli na Shimei; kutoka kwa wana wa Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.
manipud kadagiti putot a lalaki ni Heman ket da Jehuel ken Simei; ken manipud kadagiti putot a lalaki ni Jedutun ket da Semaias ken Uzziel.
15 Walipomaliza kuwakusanya ndugu zao na kujiweka wakfu, wakaingia ndani ili kutakasa Hekalu la Bwana, kama vile mfalme alivyokuwa ameagiza, kwa kufuata neno la Bwana.
Inummongda dagiti kakabsatda, inkonsagrarda dagiti bagida kenni Yahweh sada simrek a kas imbilin ti ari ken kas panangtungpalda kadagiti sasao ni Yahweh a panangdalus iti balay ni Yahweh.
16 Makuhani wakaingia patakatifu pa Hekalu la Bwana ili kupatakasa. Wakatoa nje penye ua wa Hekalu la Mungu kila kitu kichafu walichokikuta kwenye Hekalu la Bwana. Walawi wakavichukua na kuvipeleka nje katika Bonde la Kidroni.
Immuneg dagiti papadi iti kaunegan a paset ti balay ni Yahweh tapno dalusanda daytoy; inruarda amin a makarurod a nasarakanda iti uneg ti templo ni Yahweh iti paraangan ti balay. Inruar dagiti Levita daytoy ket impanda idiay waig ti Kidron.
17 Walianza kazi ya utakaso siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza na kufikia siku ya nane ya mwezi huo wakawa wamefikia kwenye ukumbi wa Bwana. Kwa siku zingine nane wakalitakasa Hekalu lenyewe la Bwana wakakamilisha katika siku ya kumi na sita ya mwezi huo wa kwanza.
Ita, inrugida ti pannakaikonsagrar ti balay ni Yahweh iti umuna nga aldaw iti umuna a bulan ket iti maikawalo nga aldaw ti bulan nadanonda ti balkon ni Yahweh. Inkonsagrarda ti balay ni Yahweh iti walo nga aldaw. Iti maika-16 nga aldaw iti umuna a bulan ket nalpasda.
18 Kisha wakaingia ndani kwa Mfalme Hezekia kutoa habari na kusema: “Tumelitakasa Hekalu lote la Bwana, madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa pamoja na vyombo vyake vyote, meza ya kupanga mikate iliyowekwa wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.
Kalpasanna, napanda kenni Hezekias nga ari, iti uneg ti palasio ket kinunada, “Nadalusanmin ti entero a balay ni Yahweh, ti altar para iti daton a naan-anay a maipuor agraman ti amin nga alikamen daytoy, ken ti lamisaan a pakaikabilan ti nasagradoan a tinapay agraman ti amin nga alikamen daytoy.
19 Tumeviandaa na kuvitakasa vyombo vyote vile ambavyo Mfalme Ahazi, kwa kukosa uaminifu kwake, aliviondoa wakati alipokuwa mfalme. Sasa viko mbele ya madhabahu ya Bwana.”
Malaksid iti daytoy, insaganami ken indatagmi kenni Yahweh dagiti amin nga alikamen nga imbelleng ni Ari Ahaz idi nangsalungasing isuna bayat ti panagturayna. Adtoy, addada iti sangoanan ti altar ni Yahweh.”
20 Ndipo Mfalme Hezekia akainuka asubuhi na mapema, akakusanya pamoja maafisa wa mji wakakwea hekaluni mwa Bwana.
Ket iti kinabigatanna, bimmangon a nasapa ni Hezekias nga ari ket inummongna dagiti mangidadaulo iti siudad; simmang-at isuna iti balay ni Yahweh.
21 Wakaleta mafahali saba, kondoo dume saba, wana-kondoo dume saba na mabeberu saba kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili ya mahali patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Mfalme akawaamuru makuhani, wazao wa Aroni, kuvitoa vitu hivyo sadaka katika madhabahu ya Bwana.
Nangiyegda iti pito a toro a baka, pito a karnero, pito nga urbon a karnero ken pito a kalakian a kalding a kas daton para iti pakapakawanan ti basol ti pagarian, ti Juda, ken iti santuario. Binilinna dagiti papadi a putot a lallaki ni Aaron nga idatonda dagitoy iti rabaw ti altar ni Yahweh.
22 Hivyo wakachinja wale mafahali, nao makuhani wakachukua ile damu na kuinyunyiza kwenye madhabahu, halafu wakawachinja wale kondoo dume saba na kunyunyiza hiyo damu yao kwenye madhabahu, kisha wakawachinja wale wana-kondoo dume na kunyunyiza damu yao kwenye madhabahu.
Isu a pinartida dagiti toro a baka, ket inwarsi dagiti papadi ti dara dagitoy iti altar. Pinartida dagiti karnero ket inwarsida ti dara dagitoy iti altar; pinartida pay dagiti urbon a karnero ket inwarsida ti dara dagitoy iti altar.
23 Wale mabeberu waliokuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi wakaletwa mbele ya mfalme na kusanyiko nao wakaweka mikono yao juu hao mabeberu.
Impanda dagiti kalakian a kalding iti sangoanan ti ari ken iti gimong ket impatayda dagiti imada kadagitoy a kas daton a gapu iti basol.
24 Ndipo makuhani wakawachinja hao mabeberu na kuweka damu yao kwenye madhabahu kwa ajili ya sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote, kwa sababu mfalme alikuwa ameamuru hiyo sadaka ya kuteketezwa na hiyo sadaka ya dhambi kwa ajili ya Israeli yote.
Pinarti dagiti papadi dagitoy ket imbukbokda dagiti dara iti altar a kas daton a pangikkat kadagiti amin a basol dagiti tattao ti Israel; ta imbilin ti ari a maidaton ti daton a maipuor ken dagiti daton gapu iti basol a maipaay iti entero nga Israel.
25 Akawaweka Walawi kwenye Hekalu la Bwana wakiwa na matoazi, vinubi na zeze kama ilivyoagizwa na Daudi na Gadi mwonaji wa mfalme pamoja na nabii Nathani kwani hili lilikuwa limeamriwa na Bwana kupitia manabii wake.
Impuesto ni Hezekias dagiti Levita iti balay ni Yahweh nga agtokar kadagiti piangpiang, kadagiti arpa ken kadagiti lira, impuestona ida segun iti bilin da David, Gad a mammadto ti ari, ken Natan a profeta; ta ti bilin ket nagtaud kenni Yahweh babaen kadagiti profetana.
26 Hivyo Walawi wakasimama tayari wakiwa na ala za uimbaji za Daudi na makuhani walikuwa na tarumbeta zao.
Timmakder dagiti Levita nga iggemda dagiti instrumento ni David, ken dagiti papadi a siiigem kadagiti trumpeta.
27 Hezekia akatoa amri ya kutoa sadaka ya kuteketezwa madhabahuni. Walipoanza kutoa sadaka, wakaanza pia kumwimbia Bwana pamoja na tarumbeta na zile ala za uimbaji za Daudi mfalme wa Israeli.
Binilin ida ni Hezekias nga idatonda ti daton a maipuor iti rabaw ti altar. Idi mangrugi ti panagidaton iti daton a maipuor, nagkanta metten dagiti tattao iti pagdaydayaw kenni Yahweh a nadanggayan kadagiti trumpeta agraman kadagiti instrumento ni David nga ari ti Israel.
28 Kusanyiko lote wakaabudu kwa kusujudu, wakati waimbaji wakiwa wanaimba na wenye tarumbeta wakipiga tarumbeta zao. Yote haya yaliendelea mpaka walipomaliza kutoa ile dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa.
Nagdaydayaw ti amin a taripnong, ket nagtuloy ti panagkanta dagiti kumakanta, ken panagtukar dagiti trumutrumpeta; nagtultuloy amin dagitoy agingga a nalpas ti pannakaidaton ti daton a maipuor.
29 Kutoa sadaka kulipomalizika, mfalme na kila mtu aliyekuwepo pamoja naye wakapiga magoti na kuabudu.
Idi nalpas ti panagidatonda, nagparintumeng ket nagdaydayaw ti ari ken amin nga adda sadiay.
30 Mfalme Hezekia na maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu Bwana kwa maneno ya Daudi na ya Asafu mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.
Maysa pay, imbaga ni Hezekias nga ari ken dagiti mangidadaulo nga agkanta dagiti Levita iti pagdaydayaw kenni Yahweh nga insurat ni David ken ni Asaf a mammadto. Sirarag-o a nagkantada kadagiti pagdaydayaw, ket nagparintumeng ken nagdaydayawda iti Dios.
31 Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu kwa Bwana. Njooni mlete dhabihu na sadaka za shukrani Hekaluni mwa Bwana.” Hivyo kusanyiko likaleta dhabihu na sadaka za shukrani, nao wote waliokuwa na mioyo ya hiari wakaleta sadaka za kuteketezwa.
Ket kinuna ni Hezekias, “Ita ta naikonsagraryon dagiti bagiyo kenni Yahweh. Umaykayo ditoy ket mangitugotkayo kadagiti daton ken kadagiti sagutyo a pagyaman kenni Yahweh.” Nangiyeg ti taripnong kadagiti datdaton ken sagsagut a pagyaman; amin a nagboluntario ket nangiyegda kadagiti daton a maipuor.
32 Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo dume 100 na wana-kondoo dume 200. Wote hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Bwana.
Ti bilang dagiti daton a maipuor nga inyeg ti taripnong ket 70 a toro a baka, 100 a karnero ken 200 nga urbon a karnero. Amin dagitoy ket maipuor a daton kenni Yahweh.
33 Wanyama waliowekwa wakfu kwa sadaka ya kuteketezwa walikuwa mafahali 600, pamoja na kondoo na mbuzi 3,000.
Dagiti ayup a naidatag kenni Yahweh ket 600 a baka ken 3, 000 a karnero.
34 Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuweza kuchuna wale wanyama wote wa sadaka za kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ile ikakamilika na mpaka makuhani wengine walipowekwa wakfu, kwa kuwa Walawi walikuwa makini kujiweka wakfu kuliko walivyokuwa makuhani.
Ngem sumagmamano laeng dagiti papadi a manglalat kadagiti amin daton a maipuor, isu a tinulongan ida dagiti kakabsatda a Levita agingga a nalpas ti trabaho, ken agingga a naikonsagrar dagiti papadi ti bagida kenni Yahweh; ta ad-adda ti panangikalikagum dagiti Levita iti pannakakonsagrarda ngem kadagiti papadi.
35 Kulikuwa na sadaka nyingi za kuteketezwa, pamoja na mafuta ya wanyama ya sadaka za amani na sadaka za kinywaji ambazo ziliambatana na sadaka za kuteketezwa. Kwa hiyo huduma ya Hekalu la Bwana ikarudishwa kwa upya.
Malaksid iti nakaad-adu unay a daton a maipuor, naidaton dagitoy a napakuyogan iti taba dagiti sagut a pakikappia, ken adda sagut nga arak iti tunggal daton a maipuor. Isu a ti panagdaydayaw iti balay ni Yahweh ket nairugi manen.
36 Hezekia pamoja na watu wote wakafurahi kwa sababu ya lile Mungu alilolifanya kwa ajili ya watu wake, kwa kuwa lilitendeka papo hapo.
Naragsakan ni Hezekias, ken dagiti amin a tattao gapu iti insagana ti Dios para kadagiti tattao; ta apagbiit a nalpas ti trabaho.