< 2 Nyakati 28 >

1 Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa Bwana.
Agtawen ni Ahaz iti duapulo idi nangrugi isuna nga agturay a kas ari, ket nagturay isuna iti 16 a tawen idiay Jerusalem. Saanna nga inaramid ti nalinteg iti imatang ni Yahweh a kas koma iti inaramid ti kapuonanna a ni David.
2 Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali.
Ngem ketdi, nagbiag isuna kadagiti wagas dagiti ari ti Israel; nangsukog pay isuna kadagiti imahen ni Baal.
3 Akatoa sadaka za kuteketezwa katika Bonde la Ben-Hinomu, na kuwatoa wanawe kafara kwa kuwateketeza kwa moto, akifuata njia za machukizo za yale mataifa Bwana aliyoyafukuza humo mbele ya Waisraeli.
Malaksid iti daytoy, nangpuor isuna iti insenso idiay tanap ti Ben Hinnom ket pinuoranna dagiti annakna a kas daton a maipuor, sinurotna dagiti makarimon nga ugali dagiti bunggoy dagiti tattao a pinapanaw ni Yahweh iti imatang dagiti tattao ti Israel.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.
Nangidaton ken nangpuor isuna iti insenso kadagiti pagdaydayawan, iti tapaw dagiti turturod ken iti sirok ti tunggal nalangto a kayo.
5 Kwa hiyo Bwana Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Aramu. Waaramu wakamshinda, wakachukua watu wake wengi mateka na kuwaleta mpaka Dameski. Tena alitiwa mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi.
Ngarud, impaima isuna ni Yahweh a Dios ni Ahaz iti ari ti Aram. Pinarmek isuna dagiti Arameo ket innalada ti adu kadagiti tattaona a kas balud, impanda ida idiay Damasco. Naiyawat pay ni Ahaz iti ima ti ari ti Israel a nangparmek kenkuana iti napalalo a pannakapapatay dagiti tattao.
6 Kwa siku moja Peka mwana wa Remalia aliwaua askari 120,000 katika Yuda, kwa kuwa Yuda walikuwa wamemwacha Bwana, Mungu wa baba zao.
Ta pinapatay ni Peka a putot a lalaki ni Remalias ti 120, 000 a soldado idiay Juda iti maysa laeng nga aldaw, amin dagitoy ket natutured a lallaki, gapu ta tinallikudanda ni Yahweh a Dios dagiti kapuonanda.
7 Zikri, askari shujaa Mwefraimu, akamuua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu mkuu wa jumba la kifalme na Elikana aliyekuwa wa pili kwa mfalme.
Pinapatay ni Zikri a maysa a nabileg a lalaki manipud iti Efraim da Maaseyas a putot a lalaki ti ari, ni Azrikam nga opisial a mangimatmaton iti palasio ken ni Elkana a sumaruno iti saad ti ari.
8 Waisraeli wakawachukua mateka kutoka ndugu zao, watu wapatao 200,000 hawa wakiwa ni wanawake, watoto wa kiume na wa kike. Wakachukua pia kiasi kikubwa cha nyara, ambazo walirudi nazo Samaria.
Innala ti armada ti Israel a kas balud ti 200, 000 nga assawa a babbai, annak a lallaki ken annak a babbai a kakabagianda. Nakaad-adu pay ti sinamsamda, nga inyawidda idiay Samaria.
9 Lakini kulikuwako huko nabii wa Bwana aliyeitwa Odedi, akaondoka ili kukutana na jeshi liliporejea Samaria. Akawaambia, “Kwa kuwa Bwana, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, aliwatia mikononi mwenu. Lakini mmewachinja kwa hasira ambayo imefika hadi mbinguni.
Ngem adda profeta ni Yahweh ti adda sadiay nga agnagan iti Oded. Rimmuar isuna tapno sabatenna ti armada nga umum-uneg iti Samaria. Kinunana kadakuada, “Gapu ta nakapungtot iti Juda ni Yahweh a Dios dagiti kapuonanyo, impaimana ida kadakayo. Ngem pinapatayyo ida nga addaan iti pungtot a dumanon sadi langit.
10 Nanyi sasa mnakusudia kuwafanya wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu watumwa wenu. Lakini ninyi je, hamna pia hatia ya dhambi mliyotenda dhidi ya Bwana Mungu wenu?
Ket ita, pangpanggepenyo a tagaboen dagiti lallaki ken babbai ti Juda ken Jerusalem. Ngem saan kadi a nagbiddutkayo gapu kadagiti bukodyo a basbasol kenni Yahweh a Diosyo?
11 Basi nisikilizeni! Mkawarudishe mateka mliowachukua kutoka kwa ndugu zenu, kwa kuwa hasira kali ya Bwana iko juu yenu.”
Ita ngarud, dumngegkayo kaniak; pagawidenyo dagiti balud, dagiti innalayo manipud kadagiti bukodyo a kakabsat, ta napalalo ti pungtot ni Yahweh kadakayo.”
12 Ndipo baadhi ya viongozi katika Efraimu, yaani, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi, Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakakubaliana na huyo nabii, hivyo wakawapinga wale waliokuwa wanawasili kutoka vitani.
Ket sumagmamano kadagiti mangidadaulo kadagiti tattao ti Efraim - da Azarias a putot a lalaki ni Johanan, Berekias a putot a lalaki ni Sallum, ken ni Amasa a putot a lalaki ni Hadlai ti nangsupring kadagiti nagsubli manipud iti gubat,
13 Wakamwambia, “Hamna ruhusa kuwaleta hao wafungwa hapa, ama sivyo tutakuwa na hatia mbele za Bwana. Je, mnataka kuongezea dhambi yetu na hatia yetu? Kwa sababu hatia yetu tayari ni kubwa, nayo hasira kali ya Bwana iko juu ya Israeli.”
kinunada kadakuada, “Saanyo nga ipan ditoy dagiti balud ta pinanggepyo ti maysa a banag a mangyeg iti basol kadatayo a maibusor kenni Yahweh, a mainayon kadagiti basbasol ken panagsalungasingtayo; gapu ta dakkel unayen dagiti panagsalungasingtayo ken adda iti napalalo a pungtot iti Israel.”
14 Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.
Isu nga imbati dagiti soldado dagiti balud ken dagiti nasamsam iti sangoanan dagiti mangidadaulo ken iti entero a taripnong.
15 Kisha watu waliotajwa kwa majina wakawachukua wale mateka na kutoka zile nyara, wakachukua mavazi wakawavika wale wafungwa wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni mwao wakawapandisha juu ya punda, wakawaleta ndugu zao mpaka Yeriko, ndio Mji wa Mitende, kisha wakarudi Samaria.
Timmakder dagiti lallaki a nadutokan a nainaganan ket innalada dagiti balud, ket nangalada kadagiti kawes kadagiti samsam ket kinawesanda dagiti amin a lamo-lamo. Kinawesanda ida ken inikkanda ida kadagiti sandalias. Inikkanda ida iti makan ken mainom. Inagasanda dagiti sugatda ken insakayda dagiti nakapuy kadagiti asno. Insublida ida kadagiti pampamiliada idiay Jerico, (a maaw-awagan a Siudad dagiti Palma). Kalpasanna, nagsublida idiay Samaria.
16 Wakati ule, Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa mfalme wa Ashuru kuomba msaada.
Iti dayta a tiempo, nangibaon ni Ari Ahaz kadagiti mensahero kadagiti ari ti Asiria tapno dawatenna kadakuada a tulonganda isuna.
17 Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka.
Ta iti maminsan manen ket immay rinaut dagiti Edomita ti Juda, ket nangalada kadagiti balud.
18 Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth-Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo.
Sinakup pay dagiti Filisteo dagiti siudad kadagiti arisadsad ken iti Negev ti Juda. Sinakupda ti Betsemes, Aijalon, Gederot, Soco agraman dagiti barriona, Timna agraman dagiti barriona, ken uray pay ti Gimzo agraman dagiti barriona. Napanda nagnaed kadagidiay a luglugar.
19 Bwana aliishusha Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa kuwa alikuwa ameongeza uovu katika Yuda na kumkosea Bwana mno.
Ta impababa ni Yahweh ti Juda gapu kenni Ahaz nga ari ti Israel; ta nagtignay isuna a sidadangkes idiay Juda ket nadagsen unay ti basolna kenni Yahweh.
20 Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.
Immay ni Tilgat Pileser nga ari ti Asiria ket riniribokna isuna imbes a papigsaenna koma.
21 Ahazi akachukua baadhi ya vitu kutoka Hekalu la Bwana, jumba la kifalme na kutoka kwa wakuu wake na kumpa mfalme wa Ashuru kama ushuru, lakini hilo halikumsaidia.
Ta sinamsaman ni Ahaz ti balay ni Yahweh, dagiti balay ti ari ken dagiti mangidadaulo, tapno itedna dagiti napapateg a banbanag kadagiti ari ti Asiria-ngem saan a nakatulong daytoy kenkuana.
22 Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa Bwana.
Iti tiempo ti panagsagabana, daytoy nga Ari Ahaz ket inyad-addana pay ti nagbasol kenni Yahweh.
23 Akatoa kafara kwa miungu ya Dameski, waliokuwa wamemshinda, kwa kuwa aliwaza, “Kwa kuwa miungu ya mfalme wa Aramu imewasaidia wao, nitaitolea dhabihu ili inisaidie na mimi.” Lakini haya ndiyo yaliyokuwa maangamizi yake na Israeli wote.
Ta nagidaton isuna kadagiti didiosen ti Damasco, dagiti didiosen a nangparmek kenkuana. Kinunana, “Gapu ta tinulongan ida dagiti didiosen dagiti ari ti Siria, agidatonak ngarud kadakuada tapno tulongandak.” Ngem dagitoy ti nakaigapuan ti pannakadadaelna ken iti amin nga Israel.
24 Ahazi akakusanya pamoja vyombo vya nyumba ya Mungu na kuvivunja vipande vipande. Akafunga milango ya Hekalu la Bwana na kusimamisha madhabahu katika kila njia panda ya barabara za Yerusalemu.
Inummong ni Ahaz dagiti alikamen iti balay ti Dios ket binurak-burakna dagitoy. Inserrana dagiti ridaw ti balay ni Yahweh ket nangaramid isuna kadagiti altarna iti amin a suli ti Jerusalem.
25 Katika kila mji wa Yuda akajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu ili kutolea miungu mingine kafara za kuteketezwa na kuchochea hasira ya Bwana, Mungu wa baba zake.
Iti amin a siudad ti Juda, nangaramid isuna kadagiti lugar a padaydayawan a pangipuoran kadagiti daton kadagiti didiosen, ket iti kastoy a wagas, pinaungetna ni Yahweh a Dios dagiti kapuonanna.
26 Matukio mengine ya utawala wake na njia zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Ita, dagiti amin nga inaramidna, manipud iti rugi agingga iti maudi, ket, nakasuratda iti Libro dagiti Ari ti Juda ken Israel.
27 Ahazi akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.
Pimmusay ni Ahaz ket intabonda isuna iti siudad, idiay Jerusalem; ngem saanda nga intanem isuna iti pakaitantaneman dagiti ari ti Israel. Ni Hezekias a putotna a lalaki ti naisaad nga ari a kasukatna.

< 2 Nyakati 28 >