< 2 Nyakati 25 >

1 Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu.
Amaziah hi leng ahung chan chun kum somni le nga alhingtaan ahi, amahin Jerusalemma kum somni le ko sungin vai anahomme. Anu chu Jerusalemma konna Jehoaddan ahi
2 Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, lakini sio kwa moyo wake wote.
Amahin Pathen lunglhai na lamjeng anabollin ahinlah alungthim pumpi anapepon ahi
3 Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake.
Amahin athaneina ahin kisuhdet phatnin apa anathat sepai lamkai teni chu anathat nin ahi
4 Hata hivyo hakuwaua watoto wao, lakini akafanya sawasawa na ilivyoandikwa katika Sheria, katika Kitabu cha Mose, ambako Bwana aliamuru: “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
Ahinlah achateo ana thapehpoi, aman Mose daanna kisei Pathenin Mose daanna kiseichu anajuijin ahi. Hicheachun achate thilse boljeh a apate kithat louding chuleh pate thilse boljeh a achate kithat louding daan chu anajui ahi, michu amatahin thilse abol jeh a bou kithat ding ahi
5 Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja, akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao katika Yuda yote na Benyamini. Kisha akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume 300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao.
Lengpa Amaziah in Judah leh Benjamin phungsung asemtoh in aphung dungjuijin galsat thei sepai hochu sangkhat chunga vaihom jakhat chunga vaihom akoi jin ana gongtoh in ahi. Hiche hochu kum somni leh achung langho abonchaovin sang jathum (Lakh thum) alhing un ahi. Hiche hochu tengcha leh ompho mangcha – a galsatje themcheh lhentum hochu ahiove.
6 Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka Israeli kwa talanta 100 za fedha.
Hiche chungchon chun aman sepai sang jakhat (Lakh khat), dangka K. g 3400 (Sangthum le Jali) in Israel sepaiho achodoh in ahi.
7 Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe kwa kuwa Bwana hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu.
Ahinlah themgaokhat ache in lengpa kommah “Hiche Israel sepai hohi kilhonpi hihin agatin ahi. Sahlam leng gamma konna hunghohi Pathenin amangcha pouve agatin ahi.
8 Hata kama ukienda na kupigana kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuangusha.”
Nangin amahochu kimangcha leh galla kihatjepmin te nati ding ahin, ahinlah galjo leh gallel nahi Pathen khutna um ahibouvin aman nagalmite najopeh ding ahinai” atipeh in ahi.
9 Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta 100 za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?” Yule mtu wa Mungu akajibu, “Bwana aweza kukupa zaidi sana ya hizo.”
Amaziah chun themgaopa kommachun ‘Ahileh kasumpeh hochu itiding hitam?” atin ahileh Pakaiyin hiche sanga tamjo chu nahin lepehthei ahinai!” atipeh e.
10 Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirikia sana Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira kali.
Hijeh chun Amaziah in a sepai chohsah hochu a inlang uva alesoltan ahileh amaho Juda mipiho chungah lunghang tahin a inlang nguvah akile taovin ahi.
11 Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri.
Amaziah amale ama akihan lhon Chikhuh phaicham machun a sepaite apuilutnin Edom sepaite chu akisatpin sangsom athatnin ahi.
12 Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.
Chuleh adang sangsom jong galhingin amannin ahi. Agal hing amatnu chu Sela khopi kaldoh na – a apuitouvin aseplhaovin ahileh abonchaovin anoilanga song pi chunga achuovin abonnun athigam taovin ahi.
13 Wakati huo yale majeshi Amazia aliyoyarudisha na ambayo hakuyaruhusu kushiriki katika vita, yalivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria hata Beth-Horoni. Yakawaua watu 3,000 na kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka.
Alangkhatnah Israel sepaite Amaziah in galla akonpi nomlou anungsol houchun Samaria leh Ben Horon kikah a um Judah khopi hochu adekhummun mi 3000 lang athatnun thiltamtah jong achomdoh un ahi
14 Amazia aliporudi kutoka kuwachinja Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu yake mwenyewe, akaisujudia na kuitolea kafara za kuteketezwa.
Amaziah in Edom mite agajo a ahung kileochun adoibom houchu ahin polutnun akitunun gim namtwi alhutnammun Pathen houvin ahou taovin ahi.
15 Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”
Hiche athilbol hin Pathen asulung hanglheh tan hijeh chun aman a themgaopao chu Amaziah kommah asollin hitin agaseije “Nang thaneina a kon jengajong amite huhdoh joulou pathen ho chu nangin ibola nahou ham?” agatisah in ahi
16 Wakati nabii alipokuwa angali anazungumza, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekuchagua kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini uuawe?” Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema, “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza shauri langu.”
Amaziah chun themgaopa thusei chu asutangin lunghantah in ahin donbutnin “Nanghi itih a chu lengpa thuhil dinga naki pansah be hem?” thipmin achuti louleh nanghi kahin thatei ding nahi! atin ahi. Hichun themgaopa chu athiptai, ahinlah gihna thuhohi aseidoh mannin ahi, “Nangin kahilna ho jouse chu na nahsah loujeh in Pathenin nanghi nasuhmang got ahitai tihi kahetai” ati
17 Baada ya Amazia mfalme wa Yuda kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo tukabiliane uso kwa uso.”
Judahte lengpa Amaziah in ama thuhilla pangho thu chu alaan Israel tetoh kisat dingin tohgon ahin neitai. hitichun, aman Israel lengpa Jehoahaz chapa chuleh Jehu tupa Jehoash komma chun thu ahin thottan kisat tou hite tin ahin chouvin ahi
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti.
Jehoash chun Amaziah kommah adonbutnin alethotnin “Khatvei hi Lebanon Molhoa kon in lingthing phung khatnin Cedar thingphung kommah “Kachapa jidingin nachanu chu neihin pen atin ahileh gamsakhat ahungvah len lingphung chu ahung pal bongtaan ahi
19 Wewe unasema moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”
Tun Amaziah nangin Edom mite najomannin nakilet sah tai ahinlah na in na nakitou thimbeh dinga kaseipeh nahi. nangman na mite manthahna dingbep ma mi nachouham?
20 Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu ya Edomu.
Ahinlah Amaziah chun mithusei angaipon ahi Edom mite doihou hochu aman jong ahin houphat na Pathenin amachu gal alelsah got ahi
21 Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.
Hitichun Israel lengpa Jehoash chu Judah lengpa Amaziah toh kisat dingin ahung kondoh tan ahi. Amaho chu Judah gamma Beth – Shemesh munnah akimai touvin ahi
22 Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.
Judah Sepaiten alellun a inlanguvah ajam gamtaovin ahi
23 Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.
Jehoash in Amaziah chu amannin Jerusalem langah akaitaan ahi. Hichun aman Jerusalem kulpi palchu Ephraim kelkot phunga pat kulpi ning kelkot phung geijin tong jali jen avochimtai
24 Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.
Aman Pathen Houin sunga kon in Sana le dangka chuleh thiljouse chu abonchan akichomdoh in, angahpa Obed – Edom jongchu amat than chuleh lengpa in na thilgun hojouse jong achommin chuleh ahingin miphabep jong Samaria langah akai taovin ahi
25 Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.
Judah lengpa Joash chapa Amaziah Israel lengpa Jehoahaz chapa Joash thijouvin kum 15 ahing nalaijjin ahi
26 Kwa habari ya matukio mengine katika utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na wa Israeli?
Amaziah vaihom akipatna pat akichai geija anatoh athilbol hojouse chu Judah le Israel lengte thusim kijih lutna lekha bua chun aumsoh keijin ahi
27 Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata Bwana walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko.
Amaziah Pakaija konna ahung kiheimanga kon in Jerusalem ama dounan tohgon ahung umtaan ahileh ama Lachish lamma ajam taan ahi ahinlah amahon Lachish lamma mi asollun hichea chun ahin that taovin ahi
28 Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.
Hichun amahon sakol lah ahin pouvin Judah khopi ah apu apa te kivuina – a avui taove

< 2 Nyakati 25 >