< 2 Nyakati 25 >

1 Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu.
A: masaia da lalelegele ode 25 agoane esalu, e da muni Yuda hina bagade hamoi, amola e da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode 29 agoanega Yuda fi ouligilalu. Ea eme da Yelusaleme fi uda ea dio amo Yihoua: da: ne.
2 Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, lakini sio kwa moyo wake wote.
E da Hina Gode hahawane ba: ma: ne hamoi. Be e da ea aowa, hina bagade Da: ibidi defele, hame hamoi.
3 Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake.
A: masaia da ea ouligisu hou gasawane lai dagoloba, e da eagene ouligisu dunu ilia da musa: ea ada medole legei, amo dabele huluane medole lelegei.
4 Hata hivyo hakuwaua watoto wao, lakini akafanya sawasawa na ilivyoandikwa katika Sheria, katika Kitabu cha Mose, ambako Bwana aliamuru: “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
Be e da ilia manolali hame medole lelegei. E da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i, Mousese ea Sema ganodini amane dedei, “Manolali da wadela: i hou hamosea, ilia ada amola ame mae medole legema. Amola, edalali da wadela: i hou hamosea, manolali mae medole legema. Dunu da hi wadela: i hou hamoiba: le fawane, medole legei dagoi ba: ma: mu!”, amo dawa: beba: le, eagene ouligisu dunu ilia manolali hame medole lelegei.
5 Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja, akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao katika Yuda yote na Benyamini. Kisha akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume 300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao.
Hina bagade A: masaia da Yuda amola Bediamini fi dunu huluane gilisili, ilia sosogo fi defele momogili, mogi idi 1000 agoane amola 100 agoane amoga ouligisu dunu ilegei. Ea dadi gagui wa: i da dunu huluane amo da lalelegele ode 20 esalu amola ode 20 baligi. Huluane idi da300,000agoane ba: i. Ilia da ilegei dunu fawane, amola ilia da goge agei amola da: igene ga: su amoga gegemusa: , medenegi dunu agoai ba: i.
6 Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka Israeli kwa talanta 100 za fedha.
Amola e da Isala: ili dadi gagui dunu eno 100,000 agoane, silifa osodayale ‘danese’ amowali iawane, e fidima: ne hiougi.
7 Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe kwa kuwa Bwana hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu.
Be balofede dunu afae da hina bagade ema asili, amane sia: i, “Amo Isala: ili dadi gagui dunu maedafa oule masa! Hina Gode da amo ga (north) Isala: ili fi dunuma gai hame.
8 Hata kama ukienda na kupigana kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuangusha.”
Ilia da dia gegesu noga: le fidima: beyale dia dawa: sa. Be Gode Hi fawane da di hasalasimu o hame hasalasimu hamosa. E da dia ha lai amoea di hasalima: ne, logo doasimu.”
9 Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta 100 za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?” Yule mtu wa Mungu akajibu, “Bwana aweza kukupa zaidi sana ya hizo.”
A: masaia da balofede dunuma amane adole ba: i, “Be na da ili hiougimusa: , silifa bidi bagohame i dagoi.” Balofede dunu da bu adole i, “Mae dawa: ma! Hina Gode da dima amo baligiliwane imunusa: dawa:”
10 Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirikia sana Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira kali.
Amaiba: le, A:masaia da hiougi dadi gagui dunu ilia diasua buhagima: ne sia: i. Ilia da Yuda fi dunuma bagade ougiliwane, ili diasua buhagima: ne asi.
11 Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri.
12 Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.
A: masaia da hi dogo denesili, ea dadi gagui wa: i amo Deme Fagoga oule asi. Amogawi, ilia da gegene, Idome fi dadi gagui dunu 10,000 agoane medole legei amola eno 10,000 agoane gagulaligi. Ilia da amo dunu gafulu amo da Sila moilai bai bagade gadenene gala, amoga hiouginana asili, ili huluane bogoma: ne gafulua fulisasali.
13 Wakati huo yale majeshi Amazia aliyoyarudisha na ambayo hakuyaruhusu kushiriki katika vita, yalivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria hata Beth-Horoni. Yakawaua watu 3,000 na kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka.
Amogaluwane, Isala: ili fi dadi gagui dunu amo A: masaia da mae gegena misa: ne sia: i, ilia da Yuda soge moilai bai bagade Samelia amola Bede Houlane dogoa fifi lai amo huluane doagala: le, dunu 3,000 agoane medole legei amola liligi bagohame susugui.
14 Amazia aliporudi kutoka kuwachinja Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu yake mwenyewe, akaisujudia na kuitolea kafara za kuteketezwa.
A: masaia da Idome fi dunu hasalasili, buhagisia, e da Idome dunu ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi gaguli misi. E da amo liligi bugili, ilima nodone sia: ne gadoi amola ilima gabusiga: manoma gobele sali.
15 Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”
E da agoane hamobeba; le, Hina Gode da ougi ba: i. E da balofede dunu afae A: masaiama asunasi. Balofede dunu da ema ha: giwane amane adole ba: i, “Di da abuliba: le ga fi ilia ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadobela: ? Di da dia fidafa wadela: sa. Amola amo ogogosu ‘gode’ da dia fidafa fi amo wadela: su hou amoga gaga: mu hamedei.”
16 Wakati nabii alipokuwa angali anazungumza, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekuchagua kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini uuawe?” Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema, “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza shauri langu.”
E sia: nanobawane, A:masaia da ea sia: dedebole, amane sia: i, “Di da hina bagade ea fada: i sia: su dunu hamobela: ? Sia: yolema! Hame yolesea, na da di fane legema: ne sia: mu!” Balofede dunu da sia: ouiya: i. Be hidadea, e amane sia: i, “Na da wali dawa: ! Gode da di gugunufinisimusa: ilegei dagoi. Bai di da amo hou hamoi amola na fada: i sia: nabimu higa: i.”
17 Baada ya Amazia mfalme wa Yuda kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo tukabiliane uso kwa uso.”
Hina bagade A: masaia amola ea fada: i sia: su dunu da Isala: ili fi ilima gegemusa: ilegei. Amalu, A:masaia da Isala: ili hina bagade Yihoua: se (Yihouaha: se egefe amola Yihiu ea aowa) ema molole gegena misa: ne sia: si.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti.
Be hina bagade Yihoua: se da ema bu dabe amane adosi, “Eso afaega aya: gaga: nomei ifa Lebanone Goumia dialu da dolo ifa amoma amane sia: si, ‘Didiwi amo nagofe igili lama: ne ima’. Be sigua ohe da baligili ahoanoba, aya: gaga: nomei ifa osa: la heda: le lologei.
19 Wewe unasema moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”
Defea! A: masaia! Di da Idome dunu hasali dagoiba: le, disu da gasa fi amo di hidale dawa: sa. Dunu da dima nodone dawa: beba: le, di eno gegemusa: mae dawa: le, dia sogedafa amoga hahawane esalumu da defea. Di da bidi hamosea, di amola dia fi dunu da gugunufinisisu ba: mu.”
20 Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu ya Edomu.
Be A: masaia da Yihoua: se ea sia: nabimu higa: i. Gode Ea hanai da Yihoua: sie da A: masaia hasalimu. Bai A: masaia da Idome loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu.
21 Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.
Amaiba: le, Isala: ili hina bagade Youa: sie amola ea dadi gagui dunu huluane da gadili mogodigili asili, Yuda soge ganodini Bede Simese moilaiga, A:masaiama gegei.
22 Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.
Isala: ili hina bagade Yihoua: se da A: masaia ea dadi gagui wa: i hasalabeba: le, ea dadi gagui dunu da ilila: diasua hobeale afia: i.
23 Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.
Yihoua: se da A: masaia gagulaligili, e Yelusalemega hiouginana asi. E da Yelusaleme moilai bai bagade doagala: musa: wa: i asili, gagoi amo da Ifala: ime Logo Ga: sua amoganini asili, Hegomai Logo Ga: sua doaga: le amo ea sedade defei 200 mida gadenene agoai, amo huluane mugululi sali.
24 Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.
E da silifa amola gouli amola Debolo Diasu ganodini hawa: hamosu liligi (Oubede Idome egaga dunu da amo liligi sosodo aligisu) amola hina bagade diasu ganodini modai liligi amo huluane lale, Samelia moilai bai bagadega gaguli asi. Amola Yuda fi da ema bu mae doagala: ma: ne, e da Yuda dunu oda gagulaligili, Samelia sogega oule asi. Amo da Yuda fi ilima sisasu. Ilia da bu doagala: sea, e da amo gagulaligi dunu medole legema: ne sia: i. (hostages)
25 Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.
Isala: ili hina bagade Yihoua: se da bogoloba, Yuda hina bagade A: masaia da ode15eno agoane bu esalu, bogoi.
26 Kwa habari ya matukio mengine katika utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na wa Israeli?
A: masaia ea hou eno huluane, ea muni ouligisu hou amola dagosu ouligisu hou, amo da “Yuda hina bagade amola Isala: ili hina bagade Ilia Hawa: Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
27 Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata Bwana walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko.
A: masaia da Hina Godema odoga: i amola amogalu Yelusaleme dunu mogili da A: masaia medole legemusa: wamo sia: sa: i. Amo sia: nababeba: le, A:masaia da La: igisi moilai bai bagadega hobea: i. Be ema ha lai dunu da ema fa: no bobogele, amola amogawi e medole legei.
28 Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.
Ea fi dunu ea da: i hodo hosi da: iya ligisili, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asili, hina bagade gele gelabo sogebi Da: ibidi Moilai bai bagadega amo ganodini sali.

< 2 Nyakati 25 >