< 2 Nyakati 24 >

1 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.
Joash leng ahung chanchun kum 7 ahibepmin ahi, chuleh Jerusalemma chun kum somli vai anahomme, anuchu Beersheba khopia konna Zibiah kitinu chu ahi
2 Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana miaka yote ya Yehoyada kuhani.
Aman Jehoiada thempupa ahin laisen Pakai lungdei lam ngen ana bollin ahi
3 Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.
Jehoiada in Joash lengpa chu ji ni apuipeh in ama nin chapa le chanuho ahinpeh lhonin ahi
4 Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Bwana.
Ama leng ahung chan phatchomkhat jouin Pathen Houin chu semphat ding ahin gotaan ahi
5 Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, “Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa.” Lakini Walawi hawakufanya upesi.
Aman thempu holeh Levite chu Judah khopihoa hi cheleova kumlhun seh a houin semphatna dinga mipi hojouse laha sum gadong dingin thupeh aneitaan ahi. Aman gang tah a tohpat jengdiuvin thu anapen ahi, ahivangin Levi miten gangtah in anatong panthei tapouvin ahi
6 Kwa hiyo mfalme akamwita Yehoyada kuhani mkuu na kumwambia, “Kwa nini hukuwaambia Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi iliyowekwa na Mose mtumishi wa Bwana pamoja na kusanyiko la Israeli kwa ajili ya Hema ya Ushuhuda?”
Hijechun Joash lengpan thempulen Jehoiada chu akouvin adongtan ahi, “Ipi dinga kumseh a houin semphatna dinga Pakai lhachapa Mosen mipiholah a sum dong dinga daan anasem dungjui ja thupeh kanei chu Levi ten Judah leh Jerusalemma agadon louvu ham? atin ahi
7 Kwa kuwa wana wa yule mwanamke mwovu Athalia, walikuwa wamevunja na kuingia katika Hekalu la Mungu, nao wakawa wamevitumia hata vile vitu vilivyowekwa wakfu kwa Bwana kwa mabaali.
Ajeh chu miphalou numeinu Athaliah chaten houin chu avohsetnuva Pakai houin sunga thil theng hochu Baal doi houna – ana manna asuhboh ahi
8 Kwa amri ya mfalme, likatengenezwa kasha, nalo likawekwa nje kwenye lango la Hekalu la Bwana.
Hichun lengpa thupeh dungjuijin thingkhong khatchu Pakai Houin kelkot polanga chun akhaijun ahi
9 Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu kwamba inapasa wamletee Bwana kodi ile ambayo Mose, mtumishi wa Bwana alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani.
Amahon Juda gamleh Jerusalem gampumpia thu athotnun Pathen lhacha pa Mose Pathenin gamthipma thu anapeh bang banga apehding chule atohdoh chehdiu ahi
10 Maafisa wote na watu wote wakaleta michango yao kwa furaha, wakaweka kwenye kasha mpaka likajaa.
Hijouchun lamkai hojouseleh mipi hojouse chun kipahleh thanom tah chehin atohdohdiu hochhu thingkhonga chun aga hong dimset jiovin ahi
11 Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.
Nisehleh Levi ten thingkhong chu hiche kinna amanchah lamkai ho khutna chun agapelut jiovin ahi. thingkhong chu adimphat phatleh lengpa secretary leh thempulen thaleng khatnin sum chu alahdoh lhonna thingkhong chu aum na – a alekoikit ji lhon ahi. hitichun amahon sumtamtah akholdoh taovin ahi
12 Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la Bwana. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la Bwana, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la Bwana.
Lengpaleh Jehoiada chun houin semphatnadinga mopohna neiho kommachun apelut jilhonin ahi. amaho chun houin semphatna dinga songkheng them holeh thingthem bolho chuleh thihkheng themho komma apehlutjiuvin ahi
13 Watu walioshughulika na kazi walikuwa wenye bidii, nayo kazi ya kukarabati ikaendelea vizuri mikononi mwao. Wakalitengeneza upya Hekalu la Bwana likarudi katika hali yake ya awali na kuliimarisha.
Natongho chun hatahin atongun houin chu dettah in akisah tilla tobang asodoh sahtaovin ahi
14 Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la Bwana: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada alipokuwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la Bwana.
Asemphat chaiphatnun Sana leh Dangka avalhochu lengpaleh Jehoiada khutna apelutnun amanin Pakai houin na manchahding sana le dangka chu kong le bel semna in amang lhonnin ahi, Jehoiada hin laisen Pakai houin nah pumgo thilto tanglouvin aboljingun ahi
15 Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130.
Jehoiada chu atehcheh tan kum jakhat le som thum alhingin athitan ahi
16 Wakamzika pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika Israeli kwa ajili ya Mungu na Hekalu lake.
Amachu athiphatnin David khopia lengte kivuina – a avui taovin ahi, ajeh chu amahin Pakai Houin le Pathen dingin chuleh Israel mipite dingin thilpha anabollin ahi
17 Baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu wa Yuda walikuja kumpa mfalme heshima, naye akawasikiliza.
Jehoiada thinunghin Juda lamkaite ahungun lengpa komah chibai ahung bohun ahileh lengpan jong amaho thu angaitaan ahi
18 Wakaacha Hekalu la Bwana, Mungu wa baba zao, wakaabudu nguzo za maashera na sanamu. Kwa sababu ya hatia yao, hasira ya Mungu ikawajia Yuda na Yerusalemu.
Hitichun amahon apu apateo Pakai Pathen chu adalhaovin semthu pathen leh doiho ahouvun hitia hi asuhkhel jeh'un Pathen lunghanna Judah le Jerusalem mite chunga ahung chutaan ahi
19 Ingawa Bwana aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza.
Ahijeng vang'in Pakaiyin athemgao ho asollin amakom langa ahung kile kitnadiuvin gihnathu agasei sah in ahinla amaho ahung kilehei nompon ahi
20 Ndipo Roho wa Bwana akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada kuhani. Akasimama mbele ya watu akasema, “Hili ndilo asemalo Mungu, ‘Kwa nini mnakataa kuzitii amri za Bwana? Hamtafanikiwa kwa kuwa mmemwacha Bwana, yeye naye amewaacha ninyi.’”
Hijouchun Pathen lhagaochu Jehoiada thempupa chapa Zechariah chungah ahung pansan ahileh amajong munsanga adingin hitihin ahin samtaan ahi: Pakai Pathenin hitihin aseije “Pakaiyin hitin aseije, “Nanghon ipi dinga thupeh hi nangai daova nachunguva hamsetna nakiloilut khummuham! nanghon Pathen nada lhahtao vin ahileh amanjong nadalha taove!” ati
21 Lakini wakafanya shauri baya juu yake na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe mpaka akafa katika ukumbi wa Hekalu la Bwana.
Lengpa Joash hin Zechariah dounan mipitoh akihoutohun, hitichun lengpa thupeh dungjuijin mipihon Pakai houin hongcha – a songin aseptaovin ahi
22 Mfalme Yoashi hakukumbuka wema aliotendewa na Yehoyada baba yake Zekaria ila alimuua mwanawe, ambaye alisema wakati akiwa amelala akingojea kufa, “Bwana na alione hili na alipize kisasi.”
Joash lengpan apa Jehoiada in itobang thilpha abolpeh tichu asumilhel jengin achapa chu athat tan ahi, Zechariah chun athikonnin “Pakai eibolnaohohi hinvenlang kaphu neihin lahpeh teijin” atin ahi
23 Mwishoni mwa ule mwaka, jeshi la Waaramu likaja dhidi ya Yoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu na kuwaua viongozi wote wa watu. Wakapeleka nyara zao zote kwa mfalme wao huko Dameski.
Hiche kumchun nipi laijin Syria sepaiten Judah leh Jerusalem mite ahindel khummun alamkai hou athat gammun thiltamtah achomdohun Damascus lengpa agah thotnun ahi
24 Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, Bwana akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha Bwana, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi.
Syria galmichu lhomcha bou ahi, ahinla Pakaiyin amaho sanga gamchenga tamjo Judahte chu ajosahin ahi ajeh chu amipi ten apu apa tao Pakai apathennu chu donlouvin anakoitaovin ahi. Hitichun Joash lengpa chunga chun Pathen thutanna analhung taan ahi
25 Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakafanya hila dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuulia kitandani mwake. Hivyo akafa na wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.
Ama chu nasatah in akisuhkha tan chuleh agalmiten adalhah phat chun asepai lamkai teni akihoutoh lhonin alupna – a agathat lhon taan ahi. Jehoiada thempupa chapa anatha jeh a aphu ana lah lhon ahitai. amachu David khopia anavuijun ahi, ahinlah lengte kivuina mun ana hitapoi
26 Wale waliofanya hila mbaya dhidi yake walikuwa Zabadi, mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, Yehozabadi, mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabu.
Ama douna –a ana kihoutoh teni chu Ammon mi Shimeath chapa Zabad leh Moab mi Shimrith chapa Jehozabad ahi lhonne
27 Kwa habari za wanawe, unabii mwingi kumhusu na kumbukumbu za kutengenezwa upya kwa Hekalu la Mungu, zimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme. Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.
Lengte lekhabu ah Joash chate thusim leh ama douna chung changa themgao thusei dohho chuleh houin ana sahphat thuho thusim ana kijih lut in ahi, ama khellin achapa Amaziah in vai ahin homtaan ahi

< 2 Nyakati 24 >