< 2 Nyakati 23 >

1 Katika mwaka wa saba, Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Alifanya agano na wakuu wa vikosi vya mamia: yaani Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
Gobele salasu dunu Yihoida da ode gafeyale ouesalu, A:dalaia fadegamusa: dawa: i. E da dadi gagui ouligisu dunu biyale e fidima: ne ilegei. Ilia dio da A: salaia (Yihoula: me egefe), Isiama: iele (Yihouhaina: ne egefe), A:salaia (Oubede egefe), Ma: iasia (Ada: iya egefe), amola Ilisiafa: de (Sigalai egefe).
2 Wakazunguka katika Yuda yote na kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za Israeli kutoka miji yote. Walipofika Yerusalemu,
Ilia da Yuda moilai bai bagade amoga asili, Lifai fi dunu amola sosogo fi huluane ilia ouligisu dunu amo bu Yelusalemega oule misi.
3 kusanyiko lote likafanya agano na mfalme katika Hekalu la Mungu. Yehoyada akawaambia, “Mwana wa mfalme atatawala, kama Bwana alivyoahidi kuhusu wazao wa Daudi.
Ilia huluane da Debolo Diasu ganodini gilisili, amogawi hina bagade egefe Youa: sie, e hana bagade hawa: hamoma: ne ilegei. Yihoiada da ilima amane sia: i, “Hina bagade bogoi amo ea mano da goea! Hina Gode da hina bagade Da: ibidi egaga fi dunu da hina bagade hamoma: ne ilegele sia: i. Amaiba: le, Youa: sie da hina bagade hamomu.
4 Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni,
Ninia da agoane hamomu. Dilia gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu da Sa: bade eso hawa: hamomusa: masea, mogi udiana amoga afae da Debolo Diasu Logo Ga: su sosodo aligima: ne sia: ma!
5 theluthi yenu mtalinda jumba la kifalme, na theluthi nyingine mtalinda Lango la Msingi. Walinzi wengine wote mwe ndani ya nyua za Hekalu la Bwana.
Mogi udiana afae eno da hina bagade uda ea diasu sosodo aligima: ne sia: ma! Mogi udiana amoga, eno da Debolo Bai Logo Ga: suga sosodo aligima: ne sia: ma! Dunu huluane da Debolo Diasu gagoi ganodini gilisima: ne sia: ma!
6 Hakuna mtu yeyote ataingia katika Hekalu la Bwana isipokuwa makuhani na Walawi walioko kwenye zamu. Wao wanaweza kuingia kwa sababu ni watakatifu, lakini watu wengine wote itawapasa kulinda kile walichoamriwa na Bwana.
Gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo da hawa: hamomusa: misi, ilia fawane da Debolo Diasu ganodini golili sa: imu. Bai ilia fawane da nigima: dodofei. Eno dunu huluane da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, gadili aligima: mu.
7 Walawi watajipanga kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha zake mkononi. Mtu mwingine yeyote aingiaye Hekaluni lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”
Lifai fi dunu da hina bagade sisiga: le leluwane, gegesu gobihei duga: le gadolewane, hina bagade Youa: sie noga: le gema: mu! E da habidili ahoasea, dili e sigi masa. Nowa da Debolo ganodini golili sa: imusa: dawa: sea, amo medole legema!”
8 Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, kwa sababu kuhani Yehoyada hakuruhusu kikosi chochote kiondoke.
Ouligisu dunu ilia da Yihoida ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ilia da ilia dunu, gilisisu amo da Sa: bade esoga helefi amola gilisisu amo da Sa: bade esoga hawa: hamonanu, amo huluane Yihoidama oule asi.
9 Kisha akawapa wakuu wa vikosi vya mamia mikuki na ngao kubwa na ndogo zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu.
Yihoida da musa: hina bagade Da: ibidi ea goge agei amola ludasa: besa: le da: igene ga: su liligi huluane Debolo diasu ganodini modaligi, amo lale, ouligisu dunu ilima i.
10 Akawapanga walinzi wote kumzunguka mfalme, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.
Amola e da dunu ilia gegesu gobihei duga: le gadole, amo hina bagade Youa: sie gemusa: , Debolo diasu midadi sisiga: le dadalema: ne asunasi.
11 Yehoyada na wanawe wakamtoa Yoashi mwana wa mfalme nje na kumvika taji. Wakampa nakala ya agano na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”
Amalalu, Yihoida da Youa: sie amo gadili oule asili, hina bagade habuga ea dialuma da: iya figisili, meloa amo ganodini da hina bagade ilia sema dedei ema i. Amalalu, e da Youa: sie ea dialuma da: iya susuligi sogagala: le, e Yuda hina bagade hamoma: ne mogili gagale ilegei. Dunu huluane da lobo fane, amane wele sia: i, “Hina bagade da sedagili esalumu da defea!”
12 Athalia aliposikia kelele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akawaendea watu katika Hekalu la Bwana.
Hina bagade uda A: dalaia da sosodo aligisu dunu amola gilisi dialu dunu ilia nodosa gugulubi amo nababeba: le, e da hehenaia Debolo diasuga doaga: loba, dunu bagohame amogawi gilisi dialebe ba: i.
13 Athalia akaangalia, tazama alikuwepo mfalme akiwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta na waimbaji wakiwa na vyombo vya uimbaji, walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kupiga kelele, akisema, “Uhaini! Uhaini!”
Amogawi, e da hina bagade gaheabolo, Yuda fi ilia hou defele, duni bugi bagade Debolo Diasu logo holeiga dialu, amo dafulili lelebe ba: i. Ouligisu dunu huluane amola dalabede fulabosu dunu ilia da e sisiga: le lelefulu. Amola dunu huluane da hahawane wele sia: nanebe amola dalabede fulabolalebe ba: i. A: dalaia da bagadewane da: i dioiba: le, ea abula gadelale, ha: giwane amane wele sia: i, “Hohonosu! Hohonosu da doaga: i dagoi.”
14 Kuhani Yehoyada akawatuma majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, na kuwaambia: “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Msimuulie ndani ya Hekalu la Bwana.”
Yihoida da A: dalaia amo Debolo diasu sogebi ganodini medole legei ba: mu higa: i galu. Amaiba: le e da dadi gagui wa: i ouligisu dunu ilima amane hamoma: ne sia: i, “A: dalaia amo sosodo aligisu dunu ilia dadalei dogoa amoga gadili oule masa. Nowa da e gesea, amo medole legema!”
15 Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja vya jumba la mfalme wakamuulia hapo.
Ilia da A: dalaia gagulaligili, hina bagade diasuga gaguli oule asili, Hosi Logo Ga: sua amogai, e medole legei dagoi.
16 Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa Bwana.
Gobele salasu dunu Yihoida da amane hamoma: ne sia: beba: le, hina bagade Youa: sie amola Yuda fi dunu da Hina Godema ilia da Ea fidafa fawane esaloma: ne, dafawane ilegele sia: su hamoi.
17 Kisha watu wote wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu pamoja na sanamu na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu.
Amalalu, dunu huluane da ogogosu ‘gode’ Ba: ile ea debolo diasuga asili, amo mugululi, wadela: lesi. Ilia da oloda amola loboga hamoi ‘gode’ agoai liligi loboga hamoi, amo huluane gugunufinisi. Amola ilia da oloda amo ilia midadi, Ba: ile gobele salasu dunu Ma: da: ne, medole legei dagoi.
18 Kisha Yehoyada akaweka uangalizi wa Hekalu la Bwana mikononi mwa makuhani, waliokuwa Walawi, ambao Mfalme Daudi alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za Bwana kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, kwa kushangilia na kuimba kama Daudi alivyokuwa ameagiza.
Yihoida da gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu amo Debolo Diasu ouligima: ne asunasi. E da ilima ilia da hina bagade Da: ibidi ilima ilegei hawa: hamosu, amola Mousese ea Sema defele, Hina Godema gobele salasu hawa: hamoma: ne sia: i. Amola ilia gesami hea: lala dusu hou amola lolo nasu hou huluane ouligima: ne sia: i.
19 Pia akawaweka mabawabu kwenye malango ya Hekalu la Bwana ili kwamba kwa vyovyote asije akaingia mtu yeyote aliye najisi.
Amola Yihoiada da sosodo aligisu dunu amo Debolo Logo Ga: su ouligima: ne ilegei. Ilia hawa: hamosu da nigima: hamoi dunu Debolo ganodini golili dasa: besa: le, ilia logo ga: musa: ilegei.
20 Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la Bwana. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha enzi,
Amalalu, e amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola hina bagade da: i sosodo aligisu dunu, ilia da hina bagade amo Debolo diasu fisili, hina bagade diasuga oule asi. Dunu huluane da ili bobogei. Youa: sie da Sosodo Aligisu Logo Ga: su amoga hina bagade diasu golili sa: ili, hina bagade fisu amoga fila heda: i.
21 nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga.
Dunu huluane da hahawane bagade ba: i. Moilai bai bagade da olofosu ba: i. Bai A: dalaia da gegesu gobiheiga fane legei dagoi ba: i.

< 2 Nyakati 23 >