< 2 Nyakati 22 >

1 Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
Os habitantes de Jerusalém fizeram de Acazias seu filho mais novo rei em seu lugar, porque o bando de homens que veio com os árabes ao acampamento havia matado todos os mais velhos. Assim, Acazias, filho de Jeorão, rei de Judá, reinou.
2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.
Acazias tinha 42 anos de idade quando começou a reinar, e reinou um ano em Jerusalém. O nome de sua mãe era Atalia, filha de Onri.
3 Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.
Ele também andou nos caminhos da casa de Acabe, porque sua mãe era sua conselheira em agir perversamente.
4 Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.
Ele fez o que era mau aos olhos de Javé, assim como a casa de Acabe, pois eles foram seus conselheiros após a morte de seu pai, até sua destruição.
5 Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Ele também seguiu seus conselhos, e foi com Jeorão, filho de Acabe, rei de Israel, à guerra contra Hazael, rei da Síria, em Ramoth Gilead; e os sírios feriram Jorão.
6 Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
Ele voltou para ser curado em Jezreel das feridas que lhe haviam feito em Ramah, quando lutou contra Hazael, rei da Síria. Azarias, filho de Jeorão, rei de Judá, desceu para ver Jeorão, filho de Acabe, em Jezreel, porque estava doente.
7 Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Bwana alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.
Agora a destruição de Acazias foi de Deus, pois ele foi para Jorão; pois quando chegou, saiu com Jorão contra Jeú, filho de Nimshi, a quem Javé havia ungido para cortar a casa de Ahab.
8 Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.
Quando Jeú estava executando o julgamento da casa de Acabe, ele encontrou os príncipes de Judá e os filhos dos irmãos de Acazias servindo Acazias, e os matou.
9 Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Bwana kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.
Ele procurou Acazias, e eles o pegaram (agora ele estava escondido em Samaria), e o trouxeram a Jeú e o mataram; e o enterraram, pois disseram: “Ele é o filho de Jeosafá, que procurou Yahweh de todo o coração”. A casa de Acazias não tinha poder para manter o reino.
10 Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.
Agora, quando Atalia, mãe de Acazias, viu que seu filho estava morto, levantou-se e destruiu toda a descendência real da casa de Judá.
11 Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.
Mas Jeoshabeá, filha do rei, levou Joás, filho de Acazias, e o resgatou furtivamente dentre os filhos do rei que foram mortos, e o colocou com sua enfermeira no quarto de dormir. Então Jehoshabeath, a filha do rei Jeorão, a esposa do sacerdote Jeoiada (pois ela era a irmã de Acazias), escondeu-o de Atalia, para que ela não o matasse.
12 Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
Ele esteve com eles escondido na casa de Deus seis anos, enquanto Atalia reinou sobre a terra.

< 2 Nyakati 22 >