< 2 Nyakati 22 >

1 Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
A: la: be fi dunu mogili da eno dunu Yuda fi doagala: musa: oule asili, hina bagade Yihoula: me egefe huluane medole legei. Be afae fawane hame medole legei, amo Yihoula: me ea ufi mano A: ihasaia. Amaiba: le, Yelusaleme fi dunu da Yihoula: me bagia, A:ihasaia hina bagade ilegei.
2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.
3 Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.
E da lalelegele ode 22 agoane esalu, Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode afae fawane Yuda fi ouligilalu. Ea: me da A: dalaia (Isala: ili hina bagade A: iha: be idiwi amola Isala: ili hina bagade Omeli amo ea aowa). A: ihasaia ea ame da hina bagade A: iha: be idiwiba: le, e da A: iha: be ea sosogo fi defele, Hina Godema wadela: le hamoi. Bai A: dalaia amola Omeli da e wadela: i hou hamoma: ne, ema fada: i sia: ne i.
4 Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.
E da Hina Godema wadela: le hamoi. Bai ea ada bogolalu, hina bagade A: iha: be ea fi dunu eno da ea fada: i sia: su dunu hamoi. Amola e da ilia fada: i sia: amoma fa: no bobegeiba: le, dafai dagoi.
5 Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
A: ihasaia da ilia fada: i sia: fa: no bobogeiba: le, e amola Isala: ili hina bagade Youla: me ela da gilisili, Silia hina bagade Ha: sa: ielema gegei. Ilia dadi gagui wa: i da La: imode moilai, Gilia: de soge ganodini, amogai migagadenene gegei. Youla: me da amogai gegenana, gala: i ba: i.
6 Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
E da e gala: i fa: gi bahoma: ne, Yeseliele moilai bai bagadega buhagi. Amola A: ihasaia da amoga e ba: la asi.
7 Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Bwana alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.
Gode da amo sofe mabe ganodini, A:ihasaia ea dafamu ilegei. A: ihasaia da amogawi esaloba, dunu ea dio amo Yihiu (Nimisiai egefe) da Youla: me doagala: i. Hina Gode da Yihiu amo A: iha: be ea wadela: i hina bagade fi gugunufinisimusa: ilegei dagoi.
8 Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.
Yihiu da Gode ema ilegei hawa: hamosu hamonanoba, e da Yuda fi ouligisu dunu amola A: ihasaia ea ayama mogili ba: i dagoi. Ilia da A: ihasaia sigi misi. Yihiu da ili huluane medole legei.
9 Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Bwana kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.
Yihiu ea fidisu dunu da A: ihasaia ea esalebe sogebi hogole, e Samelia soge ganodini wamoaligili esalebe ba: i. Ilia e Yihiuma hiouginana asili, amola e medole legei. Be ilia da ea da: i hodo ulidogonesi. Bai ilia da ea aowa Yihosiafa: de da hanaiwane Hina Gode Ea hawa: hamonanu, amo ilia bu dawa: i galu. A: ihasaia ea fi dunu afae amo Yuda fi ouligimu da hamedafa ba: i.
10 Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.
Hina bagade A: ihasaia ea ame A: dalaia da egefe da medole legei nababeba: le, e da hina bagade ea sosogo fi dunu huluane medole legema: ne sia: si.
11 Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.
A: ihasaia egefe Youa: sie e fawane da hame medole legei ba: i. Ilia da e amola eno sosogo fi dunu fane legemusa: misini, ea awa Yihosiba (hina bagade Yihoula: me idiwi amola A: ihasaia ea dalusi) e da Youa: sie gei. E da Youa: sie amola ea ouligisu uda amo dia ahoasu sesei Debolo ganodini amoga oule asili, amola A: dalaia ea mae ba: ma: ne, ela wamolegei. Amalalu, ilia da Youa: sie hame medole legei.
12 Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
Yihosiba da ode gafeyale agoanega Youa: sie ouligi. A: dalaia da Yuda fi ouligilaloba, Youa: sie da Debolo diasu ganodini wamoaligili esalebe ba: i, amola Yihosiba da e ouligi.

< 2 Nyakati 22 >