< 2 Nyakati 21 >

1 Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mwanawe Yehoramu akawa mfalme baada yake.
وقتی یهوشافاط مرد، او را در آرامگاه سلطنتی در اورشلیم، شهر داوود، دفن کردند و پسر او یهورام به جای او به سلطنت رسید.
2 Ndugu zake Yehoramu, wana wa Yehoshafati walikuwa: Azaria, Yehieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli na Shefatia. Hawa wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli
برادران او، یعنی سایر پسران یهوشافاط، اینها بودند: عزریا، یحی‌ئیل، زکریا، عزریاهو، میکائیل و شفطیا.
3 Baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu na vitu vya thamani, pamoja na miji yenye ngome huko Yuda, bali ufalme akampa Yehoramu kwa sababu alikuwa mwanawe mzaliwa wa kwanza.
پدرشان به هر یک از آنها هدایایی گرانبها از قبیل نقره و طلا و جواهرات و نیز شهرهای حصاردار در یهودا بخشیده بود. اما سلطنت را به یهورام داد چون پسر ارشدش بود. ولی یهورام وقتی زمام امور را به دست گرفت و بر اوضاع مسلط شد، تمام برادران خود و عدهٔ زیادی از بزرگان اسرائیل را کشت.
4 Baada ya Yehoramu kujiimarisha katika ufalme wa baba yake, akawaua kwa upanga ndugu zake wote pamoja na baadhi ya wakuu wa Israeli.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.
یهورام در سن سی و دو سالگی پادشاه شد و هشت سال در اورشلیم سلطنت کرد،
6 Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa Bwana.
دختر اَخاب زن او بود و او مانند اَخاب و سایر پادشاهان اسرائیل نسبت به خداوند گناه می‌ورزید.
7 Hata hivyo, kwa sababu ya Agano ambalo Bwana alikuwa amefanya na Daudi, Bwana hakuwa radhi kuangamiza nyumba ya Daudi. Mungu alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili yake na wazao wake milele.
اما خداوند نخواست دودمان سلطنت داوود را براندازد، زیرا با داوود عهد بسته بود که همیشه یکی از پسرانش پادشاه باشد.
8 Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.
در دورهٔ سلطنت یهورام، مردم ادوم از فرمان یهودا سرپیچی کردند و پادشاهی برای خود تعیین نمودند.
9 Basi Yehoramu akaenda huko pamoja na maafisa wake na magari yake ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu.
یهورام و فرماندهان سپاه او با تمام ارابه‌های جنگی عازم ادوم شدند. اما ادومی‌ها آنها را محاصره کردند و یهورام شبانه از دست ادومی‌ها گریخت.
10 Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda. Libna pia wakaasi wakati huo huo kwa sababu Yehoramu alikuwa amemwacha Bwana, Mungu wa baba zake.
به این ترتیب ادوم تا به امروز استقلال خود را از یهودا حفظ کرده است. در این هنگام اهالی شهر لبنه نیز شورش نمودند، زیرا یهورام از خداوند، خدای اجدادش برگشته بود.
11 Alikuwa pia ametengeneza mahali pa juu pa kuabudia miungu katika vilima vya Yuda na akawa amewasababisha watu wa Yerusalemu kufanya uzinzi na akawa amewapotosha watu wa Yuda.
او همچنین بر بلندیهای یهودا بتخانه‌ها ساخت و اهالی اورشلیم را به بت‌پرستی کشاند و باعث شد مردم یهودا از خدا دور شوند.
12 Yehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Eliya iliyosema: “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda.
یهورام نامه‌ای از ایلیای نبی با این مضمون دریافت کرد: «خداوند، خدای جد تو داوود، می‌فرماید که چون مثل پدرت یهوشافاط و مانند آسا پادشاه یهودا رفتار نکردی،
13 Lakini umeenenda katika njia za wafalme wa Israeli, nawe umewaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu kuzini, kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya. Pia umewaua ndugu zako mwenyewe, watu wa nyumbani mwa baba yako, watu waliokuwa bora kuliko wewe.
بلکه مثل پادشاهان اسرائیل شرور بوده‌ای و مانند زمان اَخاب پادشاه، مردم یهودا و اورشلیم را به بت‌پرستی کشانده‌ای، و چون برادرانت را که از خودت بهتر بودند به قتل رساندی،
14 Hivyo basi Bwana yu karibu kuwapiga watu wako, wanao, wake zako na kila kitu kilicho chako, kwa pigo zito.
پس خداوند بلای سختی دامنگیر قوم تو و زنان و فرزندانت خواهد کرد؛ و تو هر چه داری از دست خواهی داد.
15 Wewe mwenyewe utaugua sana kwa ugonjwa wa tumbo kwa muda mrefu, hadi ugonjwa utakaposababisha matumbo yako kutoka nje.’”
خودت نیز به مرض روده‌ای سختی مبتلا خواهی شد و این مرض آنقدر طول خواهد کشید تا روده‌هایت از بین برود.»
16 Bwana akaamsha chuki ya Wafilisti na ya Waarabu walioishi karibu na Wakushi dhidi ya Yehoramu.
بنابراین خداوند فلسطینی‌ها و عرب‌هایی را که همسایهٔ حبشی‌ها بودند بر ضد یهورام برانگیخت.
17 Wakaishambulia Yuda, wakaivamia na kuchukua mali zote zilizopatikana katika jumba la mfalme pamoja na wanawe na wake zake. Hakubakiziwa mwana yeyote isipokuwa Ahazia aliyekuwa mdogo wa wote.
آنها به یهودا حمله کرده، آن را گرفتند و تمام اموال کاخ سلطنتی و پسران و زنان یهورام را برداشته، با خود بردند. فقط پسر کوچک او اخزیا جان به در برد.
18 Baada ya mambo haya yote, Bwana akampiga Yehoramu kwa ugonjwa usioponyeka wa matumbo.
پس از آن، خداوند یهورام را به یک مرض علاج‌ناپذیر روده‌ای مبتلا کرد.
19 Ikawa baada ya muda, mwisho wa mwaka wa pili, matumbo yake yakatoka nje kwa sababu ya ugonjwa, naye akafa katika maumivu makali sana. Watu wake hawakuwasha moto kwa heshima yake, kama walivyokuwa wamewafanyia baba zake.
به مرور زمان، بعد از دو سال، روده‌هایش بیرون آمد و او با دردی جانکاه مرد. قومش مراسم مخصوص دفن پادشاهان را برای او انجام ندادند.
20 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipokuwa mfalme, naye akatawala huko Yerusalemu miaka minane. Akafa, bila kusikitikiwa na mtu yeyote, naye akazikwa katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.
یهورام سی و دو سال داشت که پادشاه شد و هشت سال در اورشلیم سلطنت کرد و هنگامی که مرد، کسی برایش عزا نگرفت. یهورام در شهر داوود دفن شد، اما نه در آرامگاه سلطنتی.

< 2 Nyakati 21 >