< 2 Nyakati 20 >

1 Ikawa baada ya jambo hili, Wamoabu na Waamoni, pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja ili wapigane vita na Yehoshafati.
Kalpasan daytoy, immay a makigubat kenni Jehosafat dagiti tattao ti Moab ken Ammon agraman dagiti kakaduada a Meunita.
2 Watu fulani wakaja wakamwambia Yehoshafati, “Jeshi kubwa linakuja dhidi yako kutoka Edomu tokea ngʼambo ile nyingine ya Bahari. Tayari liko Hasason-Tamari” (yaani En-Gedi).
Ket adda sumagmamano a nangipadamag kenni Jehosafat, a kunada, “Adda dakkel a bunggoy nga um-umay manipud iti ballasiw ti Natay a Baybay, manipud Aram tapno umaydaka rauten. Adtoy, addadan idiay Hazazontamar” (dayta ket, Engedi).
3 Yehoshafati akaogopa, akaazimu kumtafuta Bwana, na akatangaza kwa Yuda wote kufunga.
Nagbuteng ni Jehosafat ket sipapasnek a binirokna ni Yahweh. Imbilinna ti panagayunar iti entero a Juda.
4 Watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili kutafuta msaada kutoka kwa Bwana. Wakaja kutoka kila mji wa Yuda ili kumtafuta.
Naguummong ti Juda tapno dawatenda ti pammagbaga ni Yahweh; immayda manipud kadagiti amin a siudad ti Juda tapno dawatenda ti pammagbaga ni Yahweh.
5 Kisha Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu katika Hekalu la Bwana, mbele ya ua mpya,
Timmakder ni Jehosafat iti taripnong ti Juda ken Jerusalem, iti balay ni Yahweh, iti sangoanan ti baro a paraangan.
6 akasema: “Ee Bwana, Mungu wa baba zetu, si wewe ndiwe uliye Mungu mbinguni? Si wewe ndiwe utawalaye juu ya falme zote za mataifa? Uweza na nguvu viko mkononi mwako, wala hakuna yeyote awezaye kushindana nawe.
Kinunana, “O Yahweh a Dios dagiti kapuonanmi, saan kadi a sika ti Dios ti langit? Ken saan kadi a sika ti mangiturturay kadagiti amin a pagarian kadagiti nasion? Adda kadagita imam ti bileg ken pannakabalin, isu nga awan ti siasinoman a makabael a bumusor kenka.
7 Je, si wewe, Ee Mungu wetu, uliyewafukuza wenyeji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, ukawapa wazao wa Abrahamu, rafiki yako, hata milele?
O Diosmi, saan kadi a pinapanawmo dagiti agnanaed iti daytoy a daga iti sangoanan dagiti tattaom nga Israel, ket intedmo daytoy kadagiti kaputotan ni Abraham iti agnanayon?
8 Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:
Nagnaedda iti daytoy ket nangipatakderda iti nasantoan a lugar para iti naganmo, a kunada,
9 ‘Kama maafa yakitujia, ikiwa ni upanga, hukumu, tauni, au njaa, tutasimama mbele zako, mbele ya Hekalu hili ambalo limeitwa kwa Jina lako na kukulilia katika shida yetu, nawe utatusikia na kutuokoa.’
'No adda didigra nga umay kadakami-ti gubat, wenno sakit, wenno bisin-tumakderkami iti sangoanan daytoy a balay, ken iti sangoanam (ta ti naganmo ket adda iti daytoy a balay), ket umasogkami kenka iti panagrigatmi, ket denggennakami ket isalakannakami.'
10 “Lakini sasa hawa watu wa kutoka Amoni, Moabu na Mlima Seiri, ambao hukuwaruhusu Israeli wazivamie nchi zao wakati walitoka Misri, hivyo wakageukia mbali nao na hawakuwaangamiza,
Kitaem ita, adda ditoy dagiti tattao ti Ammon, Moab, ken Bantay Seir, a saanmo nga impalubos a sakupen ti Israel, idi rimmuarda iti daga ti Egipto; ngem ketdi, naglikaw ti Israel ket saanda ida a dinadael.
11 tazama jinsi wanavyotulipa kwa kuja kututupa nje ya milki uliyotupa sisi kuwa urithi.
Kitaem no kasano ti panangsupapakda kadakami; um-umayda a mangpapanaw kadakami iti dagam nga intedmo kadakami a tawidenmi.
12 Ee Mungu wetu, je, wewe hutawahukumu? Kwa kuwa sisi hatuna uwezo wa kukabiliana na jeshi hili kubwa linalokuja kutushambulia. Sisi hatujui la kufanya, bali macho yetu yanakutazama wewe.”
O Diosmi, saanmo kadi nga ukomen ida? Ta awan bilegmi a mangsaranget iti daytoy a nakadakdakkel nga armada nga um-umay a mangraut kadakami.” Saanmi nga ammo ti aramidenmi, ngem dumawdawatkami iti tulongmo.”
13 Watu wote wa Yuda pamoja na wake zao, watoto wao na wadogo wao wakasimama pale mbele za Bwana.
Nagtakder ti amin a Juda iti sangoanan ni Yahweh, a kadduada dagiti ubbingda, assawada, ken annakda.
14 Ndipo Roho wa Bwana akaja juu ya mtu mmoja jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, Mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi mzao wa Asafu alipokuwa amesimama katika kusanyiko.
Ket iti tengnga ti taripnong, immay ti Espiritu ni Yahweh kenni Jahaziel a putot a lalaki ni Zacarias a putot a lalaki ni Benaias a putot a lalaki ni Jeiel a putot a lalaki ni Matanaias a Levita, maysa kadagiti putot a lalaki ni Asap.
15 Akasema: “Sikilizeni, enyi Yuda wote nanyi nyote mkaao Yerusalemu, nawe Mfalme Yehoshafati! Hili ndilo Bwana asemalo kwenu, ‘Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya jeshi hili kubwa. Kwa maana vita hivi si vyenu, bali ni vya Mungu.
Kinuna ni Jahaziel, “Dumngegkayo, amin a Juda ken dakayo nga agnanaed iti Jerusalem, ken Ari a Jehosafat: “Kastoy ti kuna ni Yahweh kadakayo: 'Saankayo nga agbuteng; saankayo a maupay gapu iti daytoy a dakkel nga armada. Ta ti gubat ket saan a para kadakayo, ngem iti Dios.
16 Kesho shukeni kukabiliana nao. Watakwea kwa kupandia Genge la Sisi, nanyi mtawakuta mwisho wa bonde, kabla ya Jangwa la Yerueli.
Sumalogkayo a mangsaranget kadakuada inton bigat. Kitaenyo, sumangsang-atda idiay bessang ti Ziz. Masarakanyo ida iti pungto ti tanap, sakbay iti let-ang ti Jeruel.
17 Hamtahitaji kupigana vita hivi. Kaeni kwenye nafasi zenu, simameni imara na mkaone wokovu Bwana atakaowapatia, enyi Yuda na Yerusalemu. Msiogope, wala msifadhaike. Kesho tokeni mwende mkawakabili, naye Bwana atakuwa pamoja nanyi.’”
Saanen a masapul a makirangetkayo iti daytoy a gubat. Agtalinaedkayo iti puestoyo, aguraykayo, ket kitaenyo ti panangispal ni Yahweh kadakayo, Juda ken Jerusalem. Saankayo nga agbuteng wenno maupay. Inkay makigubat kadakuada inton bigat, ta adda ni Yahweh kadakayo.”
18 Yehoshafati akainamisha uso wake chini, nao watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakaanguka chini ili kuabudu mbele za Bwana.
Nagrukob ni Jehosafat iti daga. Nagrukob iti sangoanan ni Yahweh ti amin a Juda ken dagiti agnanaed iti Jerusalem, ket nagdaydayawda kenkuana.
19 Ndipo baadhi ya Walawi kutoka kwa Wakohathi na kwa wana wa Kora wakasimama na kumsifu Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sauti kuu sana.
Timmakder dagiti Levita a kaputotan dagiti Koatitas ken Koreitas ket nagdaydayawda kenni Yahweh a Dios ti Israel iti nakapigpigsa a timek.
20 Asubuhi na mapema wakaondoka kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari, Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni, enyi Yuda, na watu wa Yerusalemu! Mwaminini Bwana Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.
Bimmangonda a nasapa iti kabigatanna ket napanda iti let-ang ti Tekoa. Bayat a rumrummuarda, timmakder ni Jehosafat ket kinunana, “Dumngegkayo kaniak, Juda, ken dakayo nga agnanaed iti Jerusalem! Agtalekkayo kenni Yahweh a Diosyo, ket saranayennakayonto. Agtalekkayo kadagiti profetana, ket agballigikayonto.”
21 Alipomaliza kushauriana na watu, Yehoshafati akawaweka watu wa kumwimbia Bwana na kumsifu katika utukufu wa utakatifu wake walipokuwa wametangulia mbele ya jeshi, wakisema: “Mshukuruni Bwana kwa kuwa upendo wake wadumu milele.”
Idi nakiuman isuna kadagiti tattao, dinutokanna dagiti agkanta kadagiti panangidaydayaw kenni Yahweh gapu iti nasantoan a dayagna, bayat a magmagnada iti sangoanan ti armada, kankantaenda, “Agyamankami kenni Yahweh; ta agnanayon ti kinapudnona iti tulagna.”
22 Walipoanza kuimba na kusifu, Bwana akaweka waviziao dhidi ya watu wa Amoni, Moabu na wale wa Mlima Seiri waliokuwa wamekuja kuishambulia Yuda, nao wakashindwa.
Idi rugianda ti agkanta ken agdayaw, pinagririnnanget ni Yahweh dagiti tattao ti Ammon, Moab ken Bantay Seir, nga um-umay a mangraut iti Juda. Naparmekda.
23 Watu wa Amoni na Moabu wakawainukia watu wa Mlima Seiri ili kuwaua na kuwaangamiza kabisa. Baada ya kumaliza kuwachinja watu wa Seiri, wakaangamizana wao kwa wao.
Ta dagiti tattao ti Ammon ken Moab ket nakiranget kadagiti agnanaed iti Bantay Seir, tapno naan-anay a mapapatay ken madadaelda ida. Idi naparmekda dagiti tattao ti Bantay Seir, isudan ti nagraranget.
24 Yuda walipofika katika mnara wa ulinzi wa jangwani, wakaliangalia lile jeshi kubwa, wakaona ni maiti tupu zimetapakaa ardhini, wala hakuna yeyote aliyenusurika.
Idi nakadanon ti Juda iti lugar a matannawaganda ti let-ang, nakitada dagiti armada. Adtoy, nataydan, napasagda iti daga; awan iti nakalasat.
25 Hivyo Yehoshafati na watu wake wakaenda kujitwalia nyara kutoka kwao, nao wakakuta humo wingi wa mifugo, mali, nguo na vitu vya thamani, ambavyo vilikuwa vingi zaidi ya vile walivyoweza kuchukua. Wakakusanya nyara kwa siku tatu kwa sababu zilikuwa nyingi mno.
Idi napan ni Jehosafat ken dagiti tattao tapno agsamsamda, nakasarakda kadagiti nakaad-adu a kinabaknang ken napapateg nga alahas, a sinamsamda para kadagiti bagbagida, ad-adu dagitoy ngem iti kabaelanda nga awiten. Tallo nga aldaw a binunagda dagiti samsam, nakaad-adu unay dagitoy.
26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Beraka kwa maana huko ndiko walikomsifu Bwana. Ndiyo sababu linaitwa Bonde la Beraka mpaka leo.
Iti maika-uppat nga aldaw, naguummongda iti tanap ti Beraca. Indaydayawda sadiay ni Yahweh, isu a ti nagan dayta a lugar ket ti “tanap ti Beraca” agingga kadagitoy nga aldaw.
27 Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kwa kuwa Bwana alikuwa amewasababisha wafurahi juu ya adui zao.
Kalpasanna ket indauloan ida ni Jehosafat nga agsubli idiay Jerusalem nga addaan rag-o; ta pinagrag-o ida ni Yahweh kadagiti kabusorda.
28 Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa Bwana wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta.
Simmangpetda idiay Jerusalem ket napanda iti balay ni Yahweh a nabuyogan iti uni dagiti lira, arpa ken trumpeta.
29 Hofu ya Mungu ikazipata falme zote za nchi waliposikia jinsi Bwana alivyokuwa amepigana dhidi ya adui za Israeli.
Nagbuteng iti Dios dagiti amin a pagarian kadagiti nasion idi nadamagda a nakiranget ni Yahweh kadagiti kabusor ti Israel.
30 Ufalme wa Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu wake alikuwa amemstarehesha pande zote.
Natalna ngarud ti pagarian ni Jehosafat, ta inikkan ti Diosna isuna iti kappia iti aglawlawna.
31 Hivyo Yehoshafati akatawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala katika Yerusalemu kwa miaka ishirini na mitano. Mama yake aliitwa Azuba binti Shilhi.
Nagturay ni Jehosafat iti entero a Juda: agtawen isuna iti 35 idi nangrugi nga agturay, ket nagturay isuna idiay Jerusalem iti 25 a tawen. Azuba ti nagan ti inana, a putot a babai ni Silhi.
32 Alienenda katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa Bwana.
Sinurotna dagiti wagas ni Asa nga amana; saanna a tinallikudan dagitoy; inaramidna ti ummo iti imatang ni Yahweh.
33 Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa, na watu wakawa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa baba zao.
Nupay kasta, saan pay a naikkat dagiti lugar a pagdaydayawan, saan pay met a pimmasnek dagiti tattao iti panagdaydayawda iti Dios dagiti kapuonanda.
34 Matukio mengine ya utawala wa Yehoshafati, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Yehu mwana wa Hanani, ambazo zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli.
Dagiti dadduma a banbanag maipanggep kenni Jehosafat, manipud iti rugi agingga iti maudi, ket naisurat iti pakasaritaan ni Jehu a putot a lalaki ni Hanani, a nailanad iti Libro dagiti Ar-ari ti Israel.
35 Hatimaye Yehoshafati mfalme wa Yuda akafanya urafiki na Ahazia mfalme wa Israeli ambaye alifanya maovu sana.
Kalpasan daytoy, nakitulag ni Jehosafat nga ari ti Juda kenni Ahazias nga ari ti Israel, nga adu a kinadakes ti inaramidna.
36 Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi, nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.
Nakitulag isuna kenkuana nga agaramidda kadagiti barko nga aglayag iti taaw. Inaramidda dagiti barko idiay Eziongeber.
37 Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii dhidi ya Yehoshafati, akasema, “Kwa kuwa umeungana na Ahazia, Bwana ataangamiza vile mlivyotengeneza.” Zile meli zikavunjika na hazikuweza kungʼoa nanga ili kwenda Tarshishi.
Ket nangipadto ni Eliezer a putot a lalaki ni Dodavahu a taga-Maresias, iti maibusor kenni Jehosafat; kinunana, “Gapu ta nakitulagka kenni Ahazias, dinadael ni Yahweh dagiti inaramidyo.” Nadadael dagiti barko tapno saanda a makapaglayag.

< 2 Nyakati 20 >