< 2 Nyakati 2 >
1 Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
Hina bagade Soloumane da dunu ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadoma: ne, Debolo Diasu gagumusa: ilegei. Amola hi amoga esaloma: ne, hi diasu gagumusa: ilegei.
2 Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
Soloumane da 80,000 dunu enowane agolo sogega magufu damusu hawa: hamoma: ne asunasi. Amola dunu eno 70,000 agoane ilia da amo magufu damui gisima: ne asunasi. Amola ilia hawa: hamosu amo ouligima: ne, e da sesesu dunu 3,300 agoane asunasi.
3 Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro: “Unitumie magogo ya mierezi kama ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake la kifalme la kuishi.
Soloumane da Daia Soge hina bagade Haila: mema amane sia: si, “Di da na ada hina bagade Da: ibidima ea hina bagade diasu gaguma: ne, ema dolo ifa bidi lai. Wali, nama bidi lasu hamoma.
4 Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za Bwana Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.
Wali na da na Hina Godema nodone sia: ne gadosu Debolo diasu gagumusa: ilegei dagoi Amo Debolo Diasu da hadigidafa diasu ba: mu. Amola amo ganodini, na amola na fi dunu da Ema nodomusa: , gabusiga: manoma gobele salimu, hadigi agi Ema imunu, amola hahabe, daeya, Sa: bade eso, Oubi Gaheabolo Lolo Nasu eso, amola eno Hina Godema nodone sia: ne gadosu eso huluane, amoha Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu hou hamomu.
5 “Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa, kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.
Na da Debolo Diasu noga: idafa gagumusa: ilegesa. Bai ninia Gode da bagadedafa. E da eno ‘gode’ liligi bagadewane baligisa.
6 Lakini ni nani awezaye kumjengea Hekalu, maadamu mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kumtosha? Mimi ni nani basi hata nimjengee Hekalu, isipokuwa liwe tu mahali pa kutolea dhabihu za kuteketezwa mbele zake?
Be osobo bagade dunu da dafawane Godema debolo gagumu hamedei ba: sa. Bai E da bagadedafaba: le mu bagadedafa da Ema fonobahadi agoai ba: sa. Amaiba: le, na da E amo ganodini esaloma: ne, habodane Debolo Diasu gaguma: bela: ? Na gagumu liligi da Ema gabusiga: gobele salasu diasu fawane ba: mu gala.
7 “Hivyo basi nitumie mtu mwenye ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi za rangi ya zambarau, nyekundu na buluu, mwenye uzoefu wa kutia nakshi, ili afanye kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu wenye ustadi, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.
Defea! Wali di dunu amo da gouli, silifa, balase, amola gula amoga dedesu hou noga: le dawa: , amola haisewe, oga: iyei, amola yoi abula amunasu hou noga: le dawa: - amo dunu nama asunasima. E amola Yuda amola Yelusaleme hawa: hamosu dunu amo na ada Da: ibidi ilegei, ilia da gilisili hawa: hamomu.
8 “Pia nitumie magogo ya mierezi, miberoshi na misandali kutoka Lebanoni kwa maana najua kwamba watu wako wanao ujuzi wa kupasua mbao huko. Watu wangu watafanya kazi pamoja na watu wako
Na dawa: Dia dunu ilia ifa abusa: su bagade dawa: Amaiba: le, dolo, saibalase amola yunibe ifa Lebanone sogega abusale, nama iasima. Na da na hawa: hamosu dunu, dia fi dunuma fidima: ne asunasimu.
9 ili wanipatie mbao kwa wingi kwa sababu Hekalu nitakalojenga lazima liwe kubwa na zuri kabisa.
Ninia da ifa bagohame momagela: di. Bai Debolo Diasu na gagumu ilegei da bagade amola noga: idafa ba: mu.
10 Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,000 za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,000 za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.”
Na da widi gala: ine 2,000 danese, bali gala: ine 2,000 ‘danese’ agoane, waini hano 400,000 lida agoane, amola olife susuligi noga: idafa 400,000 lida agoane, dia hawa: hamosu dunu ili moma: ne, dima iasimu.”
11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Solomoni kwa barua: “Kwa sababu Bwana anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.”
12 Naye Hiramu akaongeza kusema: “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
Hina bagade Haila: me da Soloumanema meloa agoane dedene iasi, “Wali eso, Hina Gode, mu amola osobo bagade Hahamosu Dunu, Ema nodoma! Bai E da Da: ibidima bagade dawa: su mano i dagoi. Amola e da wali Hina Gode Ea Debolo Diasu amola hina bagade diasu gagumusa: ilegei dagoi.
13 “Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi,
Na da bagade dawa: su hawa: hamosu dunu ea dio amo Hiula: me, amo dima asunasimu.
14 ambaye mama yake alitoka Dani na baba yake alitoka Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya zambarau, buluu, nyekundu na nguo za kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza mchoro wowote wa kazi anayopewa. Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa bwana wangu, Daudi baba yako.
Ea ame da Da: ne fi uda amola ea ada da Daia sogega esalu dunu. E da gouli, silifa, balase, amola gula amoga dedesu hou noga: le dawa: , amola haisewe, oga: iyei, amola yoi abula amunasu hou noga: le dawa: Dia da ema sia: sea, e da dia sia: i defele, amo liligiga hawa: hamomu. E amola dia medenegi hawa: hamosu dunu amo ilia dia ada Da: ibidi olelei, ilia gilisili hawa: hamomu da defea.
15 “Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi,
Amaiba: le, widi, bali, waini hano, amola olife susuligi, di ninima imunusa: ilegele sia: i liligi, amo ninima iasima.
16 nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji kutoka Lebanoni nasi tutayafunga pamoja na kuyaweka yaelee baharini mpaka Yafa. Kisha utaweza kuyachukua mpaka Yerusalemu.”
Ninia da Lebanone goumi sogeganini, dolo ifa dia hanai defele abusa: le, hano wayabo bagade amogudu hiougilala dafia: le, simi amunawene, amalu hanoba: le sua: sa sa: ili, hano bega: moilai Yoba amogawi doaga: mu. Amogawi, na dunu ilia da liligi simiga fadegale, dia dunu ilia da amo ifa Yelusalemega gaguli masunu.”
17 Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600.
Hina bagade Soloumane da ea ada Da: ibidi ea musa: hamoi defele, ga fi dunu Isala: ili soge ganodini esalu, amo ilia dio idili dedei. Ilia idi da 153,600 agoane.
18 Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.
E da amo dunu mogili, hawa: hamosu ilima agoane ilegei: - E da dunu 70,000 agoane da ifa amola eno liligi gaguli masa: ne ilegei. E da dunu 80,000 agoane da agolo sogega, magufu damusu hawa: hamoma: ne ilegei. Amola ilia hawa: hamosu amo noga: le ouligima: ne, e da sesesu dunu 3,300 agoane ilegei.