< 2 Nyakati 19 >

1 Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.
Hina bagade Yihosiafa: de da se mae nabawane, ea Yelusaleme diasua hahawane buhagi.
2 Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia Bwana? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya Bwana iko juu yako.
Balofede dunu ea dio amo Yihiu, da e ba: musa: asili, ema amane sia: i, “Di adi dawa: bela: ? Di da wadela: i hamosu dunu fidimu amola dunu amo da Hina Gode higasa, amo ilima gamu da defeala: ? Dia hamobeba: le, Hina Gode da dima ougisa.
3 Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”
Be dia hou amo ganodini da fonobahadi noga: i hou gala. Bai di da uda ogogosu ‘gode’ Asila ema sia: ne gadoma: ne loboga hamoi liligi huluane gugunufinisi dagoi. Amola di da Gode Ea hanai hou amo fa: no bobogemusa: logo hogosu.”
4 Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
Yihosiafa: de da Yelusalemega esalu. Be e da eso bagohame amoga Yuda soge ganodini, ea fi dunu ba: musa: sofe ahoasu. Ea soge da ga (south) Biasiba moilai bai bagade asili Ifala: ime soge ga (north) gala. E da ea fi dunu ilia aowalalia Hina Godema bu sinidigima: ne ilima sia: i.
5 Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
E da Yuda gagili sali moilai bai bagade afae afae amo ganodini fofada: su dunu ilegei.
6 Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Bwana ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
E da ilima amane hamoma: ne sia: i, “Dilia gebewane amola dawa: iwane fofada: su hou hamoma. Dilia da osobo bagade dunu ilegeiba: le, hame fofada: sa. Be dilia da Hina Gode Ea ilegeiba: le, fofada: sa. Amola dilia da fofada: sea, Hina Gode da dili esala.
7 Basi sasa hofu ya Bwana na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa Bwana Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”
Hina Godema nodoma amola dawa: iwane hamoma! Bai ninia Hina Gode da ogogosu hou amola hano suligi hou amola hina: fima baligili asigi hou, amo huluane Gode Ea higa: i hodosa.”
8 Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya Bwana na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.
Yihosiafa: de da Yelusaleme ganodini fofada: su hawa: hamoma: ne, Lifai fi dunu, gobele salasu dunu amola eno mimogo dunu, ilegei. Yuda dunu da Hina Gode Ea Sema wadela: beba: le o soge sia: ga gegeiba: le, amo dunu da fofada: su hou hamosu.
9 Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha Bwana.
Yihosiafa: de da ilima amane hamoma: ne sia: i, “Dilia Hina Godema nodonewane hawa: hamoma. Dilia hawa: hamosu huluane amo ganodini, Ea hamoma: ne sia: i noga: le fa: no bobogema.
10 Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya Bwana, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
Dilia fi dunu da medole legesu hou o eno Gode Ea Sema giadofasu hou dilima fofada: musa: masea, ilia Hina Godema wadela: le hamosa: besa: le, ilia fofada: su ganodini hou noga: idafa hamoma: ne, ilima olelema. Dilia agoane hame hamosea, Hina Gode Ea ougidafa hou ba: mu. Be dilia hawa: dawa: iwane hamosea, se hame nabimu.
11 “Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu Bwana naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye Bwana atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”
Gobele salasu ouligisudafa, A:malaia da Godema sia: ne gadosu fofada: su amola Gode Ea Sema amoma fofada: su amo huluane ouligimu. Amola Yuda fi eagene ouligisudafa, Sebadaia (Isiama: iele egefe), e da dunudafa ilia osobo bagade fofada: su hou ouligimu. Amola Lifai fi dunu, da fofada: su ganodini sia: i liligi huluane didili hamoma: ne ouligimu. Mae beda: iwane, amo hamoma: ne sia: i liligi didili hamoma! Amola Hina Gode da moloidafa hou amoma gama: mu.”

< 2 Nyakati 19 >