< 2 Nyakati 18 >

1 Basi, Yehoshafati alikuwa na mali nyingi sana na heshima. Naye akafanya urafiki na Ahabu kwa mwanawe kumwoa binti wa Ahabu.
А Иосафат имаше богатство и голяма слава; и направи сватовщина с Ахава.
2 Baada ya miaka kadhaa akashuka kumtembelea Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja ngʼombe na kondoo wengi kwa ajili yake na watu aliokuwa amefuatana nao. Kisha Ahabu akamshawishi Yehoshafati kukwea pamoja naye ili kuishambulia Ramoth-Gileadi.
И подир няколко години слезе при Ахава в Самария. И Ахав закла много овци и говеда за него и за людете, които бяха с него; още ме положи да отиде с него в Рамот-галаад.
3 Ahabu mfalme wa Israeli akamuuliza Yehoshafati mfalme wa Yuda, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?” Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako. Tutakuwa pamoja nawe vitani.”
Защото Израилевият цар Ахав рече на Юдовия цар Иосафата: Дохождаш ли с мене в Рамот-галаад? И той му отговори: Аз съм както си ти, и мойте люде както твоите люде; ще бъдем с тебе във войната.
4 Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la Bwana.”
Иосафат каза още на Израилевия цар: Моля, допитай се сега до Господното слово.
5 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?” Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa Mungu ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”
Тогава Израилевият цар събра пророците си, четиристотин мъже, та им рече: Да идем ли на бой в Рамот-галаад, или да не ида? А те казаха: Иди, и Бог ще го предаде в ръката на царя.
6 Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Bwana hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”
Обаче, Иосафат каза: Няма ли тук, освен тия някой Господен пророк, за да се допитаме чрез него?
7 Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la Bwana, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.” Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
И Израилевият цар рече на Иосафата: Има още един човек, чрез когото можем да се допитаме до Господа; но аз го мразя, защото никога не пророкува добро за мене, но всякога зло; той е Михей, син на Емла. А Иосафат каза: Нека не говори така царят.
8 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”
Тогава Израилевият цар повика един скопец и рече: Доведи скоро Михея син на Емла.
9 Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.
А Израилевият цар и Юдовият цар Иосафат седяха, всеки на престола си, облечени в одеждите си; и седяха на открито място при входа на самарийската порта; и всичките пророци пророкуваха пред тях.
10 Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’”
А Седекия, Ханаановият син, си направи железни рогове, и рече: Така казва Господ: С тия ще буташ сирийците догде ги довършиш.
11 Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho, wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa Bwana ataitia mkononi mwa mfalme.”
Също и всичките пророци така пророкуваха, казвайки: Иди в Рамат-галаад, и ще имаш добър успех; защото Господ ще го предаде в ръката на царя.
12 Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”
А пратеникът, който отиде да повика Михея, му говори казвайки: Ето, думите на пророците като из една уста са добри за царя; моля, прочее, и твоята дума да бъде като думата на един от тях, и ти говори доброто.
13 Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, nitamwambia kile tu Bwana atakachoniambia.”
А Михей рече: Заклевам се в живота на Господа, каквото рече Бог мой, това ще говоря.
14 Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?” Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa watatiwa mkononi mwako.”
И той, дойде при царя. И царят му каза: Михее, да идем ли на бой в Рамот-галаад, или да не ида? А той рече: Идете и ще имате успех; защото неприятелите ще бъдат предадени в ръката ви.
15 Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la Bwana?”
А царят му каза: Колко пъти ще те заклевам да не ми говориш друго освен истината в Господното име!
16 Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye Bwana akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’”
А той рече: Видях целият Израил пръснат по планините като овци, които нямат овчар; и Господ рече: Тия нямат господар; нека се върнат всеки у дома си с мир.
17 Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu bali mabaya tu?”
Тогава Израилевият цар каза на Иосафата: Не рекох ли ти, че не ще прорече добро за мене, но зло?
18 Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la Bwana: Nilimwona Bwana ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama upande wa kulia na wa kushoto.
А Михей рече: Чуйте, прочее, Господното слово. Видях Господа седящ на престола си, и цялото небесно множество стоящо около него отдясно и отляво.
19 Naye Bwana akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu, mfalme wa Israeli, ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’ “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.
И Господ рече: Кой ще примами Израилевия цар Ахава за да отиде и да падне в Рамот-галаад? И един, проговаряйки, рече едно, а друг рече друго.
20 Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele za Bwana na kusema, ‘Nitamshawishi.’ “Bwana akauliza, ‘Kwa njia gani?’
Сетне излезе един дух та застана пред Господа и рече: Аз ще го примамя. И Господ му рече: Как?
21 “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’ “Bwana akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’
А той каза: Ще изляза и ще бъда лъжлив дух в устата на всичките му пророци. И Господ рече: Примамвай го, още и ще сполучиш; излез, стори така.
22 “Kwa hiyo sasa Bwana ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. Bwana ameamuru maafa kwa ajili yako.”
Сега, прочее, ето, Господ е турил лъжлив дух в устата на тия твои пророци, обаче Господ е говорил зло за тебе.
23 Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa Bwana alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”
Тогава Седекия, Ханаановият син, се приближи та плесна Михея по бузата и каза: През кой път мина Господният Дух от мене за да говори на тебе?
24 Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”
А Михей рече: Ето, ще видиш в оня ден, когато ще отиваш из клет в клет за да се криеш.
25 Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.
Тогава Израилевият цар каза: Хванете Михея та го върнете при градския управител Амон и при царския син Иоас,
26 Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’”
и речете: Така казва царят: Турете тогова в тъмницата, и хранете го със затворническа порция хляб и вода догде се завърне с мир.
27 Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi Bwana hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”
И рече Михей: Ако някога се върнеш с мир, то Господ не е говорил чрез мене. Рече още: Слушайте вие, всички люде.
28 Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.
И така, Израилевият цар и Юдовият цар Иосафат възлязоха в Рамот-галаад.
29 Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.
И Израилевият цар рече на Иосафата: Аз ще се предреша като вляза в сражението, а ти облечи одеждите си. Прочее, Израилевият цар се предреши, та влязоха в сражението.
30 Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”
А сирийският цар бе заповядал на колесниценачалниците си, казвайки: Не се бийте нито с малък, нито с голям, но само с Израилевия цар.
31 Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati, wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele, naye Bwana akamsaidia. Mungu akawaondoa kwake,
А колесниценачалниците, като видяха Иосафата, рекоха: Тоя ще е Израилевият цар; и отклониха се за да го ударят. Но Иосафат извика; И Господ му помогна, защото Бог ги повлия да се отвърнат от него.
32 wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.
Понеже колесниценачалниците, като видяха, че не беше Израилевият цар, престанаха да го преследват и се върнаха.
33 Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma, mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”
А един човек устрели без да мери, и удари Израилевия цар между ставите на бронята му; затова той рече на колесничаря: Обърни юздата та ме извади из войската, защото съм тежко ранен.
34 Vita vikaendelea mchana kutwa, naye mfalme wa Israeli akajitegemeza ndani ya gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Basi jioni yake akafa.
И в оня ден сражението се усили; но Израилевият цар се удържа в колесницата си срещу сирийците до вечерта, и около захождането на слънцето умря.

< 2 Nyakati 18 >