< 2 Nyakati 17 >
1 Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.
Et Josaphat, son fils, régna à sa place, et il prévalut sur Israël.
2 Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.
Il mit des garnisons dans toutes les places fortes de Juda, et donna des chefs à toutes les villes de Juda et aux villes d'Ephraïm dont son père, Asa, s'était emparé.
3 Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali
Et le Seigneur fut avec Josaphat, parce qu'il marcha dans les voies qu'avait d'abord suivies son père, et qu'il ne chercha point les idoles,
4 bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.
Mais qu'il chercha le Seigneur Dieu de son père, et qu'il marcha selon les préceptes de son père, et non selon les œuvres d'Israël.
5 Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.
Et le Seigneur fit prospérer le royaume entre ses mains, et tout Juda offrit des présents à Josaphat, qui acquit ainsi beaucoup de gloire et de richesses.
6 Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.
Et son cœur fut exalté dans les voies du Seigneur, et il détruisit les hauts lieux et les bois sacrés sur le territoire de Juda.
7 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.
En la troisième année de son règne, il envoya, pour enseigner dans les villes de Juda, ses chefs et les fils des hommes vaillants: Abdias, Zacharie, Nathanaël et Michée,
8 Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
Et, avec eux, les lévites Samaies, Nathanias, Zabdies, Asihel, Semiranaoth, Jonathas, Adonias, Tobias et Tobadonias; tous lévites, et les prêtres Elisama et Joram.
9 Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.
Et ils enseignèrent en Juda; ils avaient le livre de la loi du Seigneur, ils le lisaient dans les villes de Juda, et ils instruisaient le peuple.
10 Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.
Et un grand trouble, venant du Seigneur, se répandit parmi les rois qui entouraient Juda, et ils ne firent point la guerre à Josaphat.
11 Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
Les Philistins lui envoyèrent de l'argent et d'autres dons; les Arabes lui amenèrent sept mille sept cents moutons et béliers.
12 Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda
Et Josaphat alla toujours croissant jusqu'à la magnificence, et il bâtit en Judée des palais et des forteresses.
13 na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.
Et il exécuta de nombreux travaux en Judée, et eut à Jérusalem des guerriers vaillants.
14 Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;
En voici le dénombrement par familles paternelles; en Juda, commandants de mille hommes: Ednas le chef, et avec lui trois cent mille hommes vaillants;
15 aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;
Joanan, et avec lui deux cent quatre-vingt mille hommes;
16 aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.
Amasias, fils de Zari, plein de zèle pour le Seigneur, et avec lui deux cent mille vaillants;
17 Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;
Et en Benjamin: Eliada, et avec lui deux cent mille archers ou fantassins armés à la légère;
18 aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.
Et Jozabad, et avec lui cent quatre-vingt mille hommes aguerris.
19 Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.
Tels étaient ceux qui servaient le roi, outre ceux qu'il avait placés dans toutes les forteresses de la Judée.