< 2 Nyakati 17 >

1 Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.
Forsothe Josaphat, his sone, regnyde for hym; and he hadde the maistrye ayens Israel.
2 Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.
And he settide noumbris of knyytis in alle the citees of Juda, that weren cumpassid with wallis, and he disposide strong holdis in the lond of Juda, and in the citees of Effraym, whiche Asa, his fadir, hadde take.
3 Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali
And the Lord was with Josaphat, whiche yede in the firste weies of Dauid, his fadir; he hopide not in Baalym,
4 bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.
but in the Lord God of Dauid, his fadir, and he yede in the comaundementis of God, and not bi the synnes of Israel.
5 Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.
And the Lord confermyde the rewme in his hond; and al Juda yaf yiftis to Josaphat, and ritchessis with outen noumbre, and myche glorie weren maad to hym.
6 Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.
And whanne his herte hadde take hardynesse for the weies of the Lord, he took awei also hiy placis and wodis fro Juda.
7 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.
Forsothe in the thridde yeer of his rewme he sente of hise princes Benail, and Abdie, and Zacarie, and Nathanael, and Mychee, that thei schulden teche in the citees of Juda;
8 Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
and with hem he sente dekenes Semeye, and Nathanye, and Zabadie, and Azahel, and Semyramoth, and Jonathan, and Adonye, and Thobie, and Abadonye, dekenes; and with hem `he sente Elisama and Joram, preestis;
9 Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.
and thei tauyten the puple in Juda, and hadden the book of the lawe of the Lord; and thei cumpassiden alle the citees of Juda, and tauyten al the puple.
10 Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.
Therfor the drede of the Lord was maad on al the rewmes of londis, that weren `bi cumpas of Juda; and tho dursten not fiyte ayens Josaphat.
11 Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
But also Filisteis brouyten yiftis to Josaphat, and tol of siluer; and men of Arabie brouyten scheep seuene thousynde, and seuene hundrid of wetheris, and so many buckis of geet.
12 Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda
Therfor Josaphat encreesside, and was magnified `til in to an hiy; and he bildide in Juda housis at the licnesse of touris, and stronge citees;
13 na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.
and he made redi many werkis in the citees of Juda. Also men werriouris and stronge men weren in Jerusalem;
14 Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;
of whiche this is the noumbre, `bi the housis and meynees of alle in Juda. Duyk Eduas was prince of the oost, and with hym weren thre hundrid thousynde ful stronge men.
15 aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;
Aftir hym was Johannan prince, and with hym weren two hundrid thousynde and foure scoore thousynde.
16 aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.
After this also Amasye, the sone of Zechri, was halewid to the Lord, and with hym weren two hundrid thousynde of stronge men.
17 Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;
Eliada myyti to batels suede this Amasie, and with hym weren two hundrid thousynde of men holdynge bouwe and scheeld.
18 aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.
Aftir this was also Josaphat, and with hym weren an hundrid thousynde and foure scoore thousynde of redi knyytis.
19 Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.
Alle these weren at the hond of the kyng, outakun othere, whiche he hadde put in wallid cytees and in al Juda.

< 2 Nyakati 17 >