< 2 Nyakati 17 >
1 Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.
A: isa da bogoloba, egefe Yihosiafa: de da e bagia hina bagade hamoi. Isala: ili da ema gegesa: besa: le, e da Yuda gagili sali moilai bai bagade, Yuda soge, amola moilai bai bagade Ifala: ime soge ganodini (amo A: isa da susugui), amo gaga: musa: , dadi gagui dunu amo sosodo aligima: ne ilegei.
2 Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.
3 Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali
Hina Gode da Yihosiafa: de hahawane dogolegele fidi. Bai e da ea ada ea degabo hamosu defele, ogogosu ‘gode’ Ba: ilema nodone hame sia: ne gadoi.
4 bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.
E da ea ada ea Gode Ema fawane hawa: hamosu. E da Gode Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamosu, amola Isala: ili hina bagade ilia hou defele hame hamosu.
5 Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.
Hina Gode da fidibiba: le, e da gasawane Yuda fi ouligilalu. Ea fi dunu huluane da ema nodone iasu gaguli misi. E da bagade gaguiwane ba: i, amola dunu huluane da ema nodoi.
6 Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.
E da hanaiwane amola hahawane Hina Gode Ea hawa: hamonanu. E da ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu sogebi huluane, amola ogogosu uda ‘gode’ Asila agoai loboga hamoi liligi huluane Yuda soge ganodini dialu, amo gugunufinisi.
7 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.
E da Yuda fi ode udiana ouligilalu, eagene ouligisu dunu amo Yuda moilai bai bagadega sia: olelema: ne asunasi. Ilia dio da Beneha: iele, Oubadaia, Segalaia, Nida: niele amola Maga: ia.
8 Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
Lifai fi dunu sesegeane amola gobele salasu dunu aduna da amo olelesu dunu sigi asi. Lifai fi dunu ilia dio da Siema: ia, Nedanaia, Sebadaia, A:sahele, Similamode, Yihonada: ne, A:dounaidia, Doubaidia amola Doba: dounaidia. Gobele salasu dunu da Ilisiama amola Yihoula: me.
9 Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.
Ilia da Hina Gode Ea Sema dedei buga gaguli, Yuda moilai dunu fi huluane ilima olelela asi.
10 Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.
Hina Gode da hamobeba: le, Yuda soge sisiga: le fifi asi huluane da beda: iba: le, Yihosiafa: dema gegemu hamedei ba: i.
11 Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
Filisidini fi dunu mogili da Yihosiafa: dema silifa bagade amola eno hahawane iasu ema gaguli misi. Amola A: la: be fi dunu mogili da ema sibi 7,700 agoane amola goudi 7,700 agoane gaguli misi.
12 Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda
Amaiba: le, Yihosiafa: de ea gasa da bu bagade heda: i. E da Yuda soge huluane amo ganodini gagili sali moilai amola moilai bai bagade gagui.
13 na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.
Amogawi, e da liligi amola ha: i manu osea: idafa lidili legei. E da Yelusaleme ouligima: ne, medenegi ouligisu dunu fi afae afae amoga lale, ilegei.
14 Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;
A: dana da Yuda sosogo fi dadi gagui dunu ouligisu. Ea dadi gagui dunu ili idi da 300,000 agoane.
15 aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;
E bisibagia da Yihouha: ina: ne. E da dadi gagui dunu 280,000 agoane ouligi.
16 aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.
Yihouha: ina: ne bagia da A: masaia (Sigalai egefe). E da dadi gagui dunu 200,000 agoane ouligi. (A: masaia da hahawane Hina Gode Ea hawa: hamomusa: ilegele sia: i).
17 Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;
Iliada, dadi gagui dunu noga: idafa, e Bediamini sosogo fi huluane ilia dadi gagui dunu ouligisu. Ea dadi gagui dunu ili idi da 200,000 agoane. Ilia huluane da da: igene ga: su amola oulali gaguli ahoasu.
18 aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.
E bisi bagia da Yihosaba: de. E da dadi gagui dunu 180,000 agoane ouligi. Ilia huluane da gegesu liligi defele gaguli ahoasu.
19 Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.
Amo dadi gagui dunu da Yelusaleme ganodini, hina bagade ea hawa: hamonanu. Amolawane, e da eno dadi gagui dunu, amo eno Yuda soge gagili sali moilai bai bagadega hawa: hamoma: ne, ilegei dagoi.