< 2 Nyakati 15 >

1 Roho wa Bwana akamjia Azaria mwana wa Odedi.
Forsothe Azarie, the sone of Obeth, whanne the spirit of the Lord was comyn in to hym,
2 Akatoka ili kumlaki Asa na kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na Benyamini. Bwana yu pamoja nanyi mkiwa pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye atawaacha ninyi.
yede out in to the metyng of Asa; and seide to hym, Asa and al Juda and Beniamyn, here ye me; the Lord is with you, for ye weren with hym; if ye seken hym, ye schulen fynde hym; sotheli if ye forsaken hym, he schal forsake you.
3 Kwa muda mrefu Israeli walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa hawana kuhani wa kuwafundisha na wala hawakuwa na sheria.
Forsothe many daies schulen passe in Israel with outen veri God, and without preest, and without techere, and without lawe.
4 Lakini katika taabu yao walimrudia Bwana, Mungu wa Israeli na kumtafuta, naye akaonekana kwao.
And whanne thei turnen ayen in her angwisch, and crien to the Lord God of Israel, and seken hym, thei schulen fynde hym.
5 Katika siku hizo hapakuwa na amani kwa yeyote aliyesafiri, kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi wote wa nchi walikuwa katika machafuko makubwa.
In that tyme schal not be pees to go out and to go in, but dredis on al side on alle the dwelleris of londis.
6 Taifa moja lilipigana na taifa lingine na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa taabu za kila aina.
For a folk schal fiyte ayens folk, and a citee ayens a citee, for the Lord schal disturble hem in al anguysch;
7 Lakini kwa habari yenu ninyi, kuweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa mtapata thawabu kwa kazi yenu.”
but be ye coumfortid, and youre hondis be not slakid; for mede schal be to youre werk.
8 Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na kutoka miji aliyoiteka ya vilima vya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya Bwana iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la Bwana.
And whanne Asa hadde herd this thing, that is, the wordis and profesye of Asarie, the sone of Obed, the profete, he was coumfortid, and he dide a wei alle the idols fro al the lond of Juda and of Beniamyn, and fro the citees whiche he hadde take of the hil of Effraym. And he halewide the auter of the Lord, that was bifor the porche of the hows of the Lord.
9 Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia kutoka Israeli walipoona kwamba Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye.
And he gaderide togidere al Juda and Beniamyn, and with hem the comelyngis of Effraym, and of Manasses, and of Symeon; for manye of Israel, seynge that his Lord God was with hym, fledden ouer to hym.
10 Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
And whanne thei hadden comun in to Jerusalem, in the thridde monethe, in the fiftenthe yeer of the rewme of Asa,
11 Wakati huo wakamtolea Bwana dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka.
thei offriden `to the Lord in that dai, bothe of the spuylis and of the prey, which thei hadden brouyt, seuene hundrid oxis, and seuene thousynde wetheris.
12 Wakafanya agano kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.
And Asa entride bi custom to make strong the boond of pees, that thei schulden seke the Lord God of her fadris in al her herte, and in al her soule.
13 Wale wote ambao hawangemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke.
Sotheli he seide, If ony man sekith not the Lord God of Israel, die he, fro the leeste `til to the mooste, fro man `til to womman.
14 Wakamwapia Bwana kwa sauti kuu, kwa kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu.
And alle that weren in Juda sworen with cursyng to the Lord, with greet vois, in hertli song, and in sown of trumpe, and in sown of clariouns;
15 Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu walikuwa wameapa kwa moyo wao wote. Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana kwao. Kwa hiyo Bwana akawastarehesha pande zote.
for thei sworen in al her herte, and in al the wille thei souyten hym, and founden hym; and the Lord yaf to hem reste bi cumpas.
16 Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama yake wadhifa wake kama mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo, akaivunjavunja na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
But also he puttide doun Maacha, the modir of `Asa the kyng, fro the streit empire, for sche hadde made in a wode the symylacre, `ether licnesse, of a mannus yerde; and he al to-brak al `that symylacre, and pownede it in to gobetis, and `brente it in the stronde of Cedron.
17 Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
But hiy places weren left in Israel; netheles the herte of Asa was riytful in alle hise daies.
18 Akaleta ndani ya Hekalu la Mungu fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
And he brouyte in to the hows of the Lord tho thingis that his fadir avowide, siluer and gold, and dyuerse purtenaunce of vessels;
19 Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
sotheli batel was not `til to the threttithe yeer of the rewme of Asa.

< 2 Nyakati 15 >