< 2 Nyakati 14 >

1 Naye Abiya akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa miaka kumi.
Então Abijah dormiu com seus pais, e eles o enterraram na cidade de David; e Asa, seu filho, reinou em seu lugar. Em seus dias, a terra estava tranqüila há dez anos.
2 Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa Bwana Mungu wake.
Asa fez o que era bom e correto aos olhos de Javé seu Deus,
3 Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.
pois ele tirou os altares estrangeiros e os lugares altos, quebrou os pilares, cortou os postes de Asherah,
4 Akawaamuru Yuda kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake.
e ordenou a Judá que procurasse Javé, o Deus de seus pais, e que obedecesse a sua lei e comando.
5 Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu za kufukizia uvumba kwenye kila mji katika Yuda, nao ufalme ulikuwa na amani katika utawala wake.
Também tirou de todas as cidades de Judá os lugares altos e as imagens do sol; e o reino estava quieto diante dele.
6 Akajenga miji yenye ngome katika Yuda, wakati nchi ikiwa na amani. Hakuna mtu yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa kuwa Bwana alimstarehesha.
Ele construiu cidades fortificadas em Judá; pois a terra estava tranqüila, e ele não teve guerra naqueles anos, porque Javé lhe havia dado descanso.
7 Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta Bwana Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.
Pois ele disse a Judá: “Vamos construir estas cidades e fazer muros em torno delas, com torres, portões e grades. A terra ainda está diante de nós, porque buscamos a Javé nosso Deus”. Nós o procuramos, e ele nos deu descanso de todos os lados”. Assim, eles construíram e prosperaram.
8 Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa wapiganaji mashujaa.
Asa tinha um exército de trezentos mil de Judá, que carregava baldes e lanças, e duzentos e oitenta mil de Benjamin, que carregava escudos e fazia arcos. Todos estes eram homens poderosos e de valor.
9 Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.
Zerah o etíope saiu contra eles com um exército de um milhão de tropas e trezentas carruagens, e ele veio para Mareshah.
10 Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
então Asa saiu ao seu encontro, e eles ordenaram a batalha no vale de Zephathah em Mareshah.
11 Kisha Asa akamlilia Bwana Mungu wake na kusema, “Ee Bwana, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”
Asa gritou a Javé seu Deus, e disse: “Javé, não há ninguém além de você para ajudar, entre os poderosos e aquele que não tem força”. Ajude-nos, Javé nosso Deus; pois confiamos em você, e em seu nome viemos contra esta multidão”. Javé, você é nosso Deus. Não deixe que o homem prevaleça contra você”.
12 Bwana akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,
Então Yahweh atingiu os etíopes antes de Asa e antes de Judah; e os etíopes fugiram.
13 naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za Bwana na majeshi yake.
Asa e as pessoas que estavam com ele os perseguiram até Gerar. Tantos etíopes caíram que não puderam se recuperar, pois foram destruídos antes de Yahweh e antes de seu exército. O exército de Judá levou muito espólio.
14 Watu wa Yuda wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa hofu ya Bwana ilikuwa imewaangukia. Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani kulikuwepo nyara nyingi huko.
Eles atacaram todas as cidades ao redor de Gerar, pois o medo de Yahweh veio sobre eles. Eles saquearam todas as cidades, pois havia muito saque nelas.
15 Pia wakashambulia kambi za wachunga makundi ya wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Yerusalemu.
They também atingiram as tendas dos que tinham gado, e levaram ovelhas e camelos em abundância, e depois voltaram para Jerusalém.

< 2 Nyakati 14 >