< 2 Nyakati 14 >

1 Naye Abiya akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa miaka kumi.
Když pak usnul Abiáš s otci svými, a pochovali jej v městě Davidově, kraloval Aza syn jeho místo něho. Za jeho dnů v pokoji byla země deset let.
2 Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa Bwana Mungu wake.
I činil Aza to, což se dobře líbilo Hospodinu Bohu jeho.
3 Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.
Nebo zbořil oltáře cizí i výsosti, a stroskotal obrazy jejich, a posekal háje jejich.
4 Akawaamuru Yuda kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake.
A přikázal Judovi, aby hledali Hospodina Boha otců svých, a ostříhali zákona a přikázaní jeho.
5 Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu za kufukizia uvumba kwenye kila mji katika Yuda, nao ufalme ulikuwa na amani katika utawala wake.
Zkazil, pravím, po všech městech Judských výsosti a slunečné obrazy, a bylo v pokoji království za času jeho.
6 Akajenga miji yenye ngome katika Yuda, wakati nchi ikiwa na amani. Hakuna mtu yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa kuwa Bwana alimstarehesha.
Zatím vzdělal města hrazená v Judstvu, proto že v pokoji byla země, aniž jaká proti němu válka povstala těch let; nebo Hospodin dal jemu odpočinutí.
7 Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta Bwana Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.
I řekl lidu Judskému: Vzdělejme ta města, a ohraďme je zdmi a věžemi, branami i závorami, dokudž země jest v moci naší. Aj, že jsme hledali Hospodina Boha svého, hledali jsme ho, a dal nám odpočinutí odevšad. A tak stavěli a šťastně se jim zvedlo.
8 Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa wapiganaji mashujaa.
Měl pak Aza vojsko těch, kteříž nosili štíty a kopí, z pokolení Judova třikrát sto tisíců, a z Beniaminova pavézníků a střelců dvě stě a osmdesáte tisíců. Všickni ti byli muži udatní.
9 Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.
I vytáhl proti nim Zerach Mouřenín, maje v vojště desetkrát sto tisíců, a vozů tři sta, a přitáhl až k Maresa.
10 Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Vytáhl též i Aza proti němu. I sšikovali vojska v údolí Sefata u Maresa.
11 Kisha Asa akamlilia Bwana Mungu wake na kusema, “Ee Bwana, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”
Tedy volal Aza k Hospodinu Bohu svému, a řekl: Hospodine, neníť potřebí tobě velikého množství, když ty chceš pomoci mdlejším. Pomoziž nám, Hospodine Bože náš, neboť v tebe doufáme, a ve jménu tvém jdeme proti množství tomuto. Hospodine, ty jsi Bůh náš; nechť nemá moci proti tobě bídný člověk.
12 Bwana akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,
I ranil Hospodin Mouřeníny před Azou a před lidem Judským, tak že utíkali Mouřenínové.
13 naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za Bwana na majeshi yake.
A honil je Aza i lid, kterýž byl s ním, až do Gerar. I padli Mouřenínové, že se nijakž otaviti nemohli; nebo potříni jsou před Hospodinem a před vojskem jeho. I odnesli onino kořistí velmi mnoho.
14 Watu wa Yuda wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa hofu ya Bwana ilikuwa imewaangukia. Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani kulikuwepo nyara nyingi huko.
Pohubili také všecka města vůkol Gerar; strach zajisté Hospodinův připadl na ně. I vzebrali všecka města; nebo mnoho kořistí v nich bylo.
15 Pia wakashambulia kambi za wachunga makundi ya wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Yerusalemu.
Též i obyvatele v staních při dobytcích zbili, a zajavše ovec velmi mnoho a velbloudů, navrátili se do Jeruzaléma.

< 2 Nyakati 14 >