< 2 Nyakati 13 >

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
Siangpahrang Jeroboam a bawinae kum 18 navah, Abijah teh Judah ram dawk siangpahrang thaw a kamtawng.
2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea. Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
Jerusalem kho dawk kum thum touh a bawi. A manu e min teh Mikhaiah, Gebeah tami Uriel e canu doeh. Hatnavah Abijah hoi Rehoboam teh a kâtuk roi.
3 Abiya aliingia vitani na jeshi la watu 400,000 wenye uwezo wa kupigana, naye Yeroboamu akapanga jeshi dhidi ya Abiya akiwa na jeshi la watu 800,000 wenye uwezo.
Abijah ni tarankahawi ni teh tarantuk kathoum e 400,000 touh a rawi teh a tuk. Jeroboam ni hai tarankahawi ni teh taran katukthai tami 800,000 touh a rawi teh a tuk van.
4 Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, katika nchi ya vilima ya Efraimu, naye akasema, “Yeroboamu na Israeli yote, nisikilizeni mimi!
Abijah teh Ephraim ram dawk e mon Zemaraim mon dawk a kangdue teh, Oe Jeroboam Isarelnaw abuemlahoi thai awh haw.
5 Hamfahamu kwamba Bwana, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi na wazao wake ufalme juu ya Israeli milele kwa Agano la chumvi?
Isarel BAWIPA Cathut ni palawi hoi lawkkamnae, Isarel uknaeram teh Devit hoi a ca catounnaw koe yungyoe hanelah a poe toe tie hah na panuek awh hoeh maw.
6 Hata hivyo Yeroboamu mwana wa Nebati afisa wa Solomoni mwana wa Daudi, aliasi dhidi ya bwana wake.
Hateiteh, Devit capa Solomon e san Nebat capa Jeroboam ni a bawipa a taran toe.
7 Baadhi ya watu wasiofaa kitu, wabaya kabisa walimkusanyikia na kumpinga Rehoboamu mwana wa Solomoni alipokuwa kijana mdogo asiyekuwa na uamuzi, asiye na nguvu za kuweza kupingana nao.
Solomon e capa Rehoboam teh a camo dawkvah pouklaknae hai a tawn hoeh rah dawkvah, a ngang thai hoeh torei teh, cungkeihoehe taminaw hoi tamikathoutnaw teh Rehoboam koe lah a kamkhueng awh.
8 “Hata sasa unapanga kupingana na ufalme wa Bwana ambao uko mikononi mwa wazao wa Daudi. Kweli ninyi ni jeshi kubwa nanyi mnazo ndama za dhahabu Yeroboamu alizozitengeneza kuwa miungu yenu.
Atu hai nangmouh ni Devit ca catounnaw kut dawk kaawm e BAWIPA e uknaeram tuk thai hanelah na pouk awh. Nangmanaw teh na pap poung awh. Jeroboam ni cathut lah na sak pouh e suimaitotanca hai nangmouh koe ao.
9 Lakini je, hamkuwafukuza makuhani wa Bwana, wana wa Aroni na Walawi na kujifanyia makuhani wenu wenyewe kama yafanyavyo mataifa ya nchi nyingine? Yeyote anayekuja kujiweka wakfu akiwa na ndama dume na kondoo dume saba aweza kuwa kuhani wa kile ambacho ni miungu kwenu.
BAWIPA e vaihmanaw, Aron e capanaw hoi Levihnaw na takhoe teh, alouke miphunnaw ni a sak e patetlah vaihmanaw na hruek awh. Maitotanca hoi tu sari touh hoi kamthoung e tami pueng teh, na cathutnaw e vaihma lah na coung sak awh nahoehmaw.
10 “Lakini kwetu sisi, Bwana ndiye Mungu wetu, wala hatujamwacha. Makuhani wanaomtumikia Bwana ni wana wa Aroni, nao Walawi wakiwasaidia.
Hatei, kaimanaw teh Cathut ka pahnawt awh hoeh. Hote Cathut teh kaimae BAWIPA doeh. BAWIPA e thaw ka tawk e vaihmanaw teh Aron miphunnaw doeh. Levihnaw hai amamae thaw lengkaleng a tawk awh.
11 Kila asubuhi na jioni wao hutoa sadaka za kuteketezwa na kufukiza uvumba wa harufu nzuri kwa Bwana. Wao huweka mikate juu ya meza safi kwa taratibu za kiibada na kuwasha taa kwenye kinara cha dhahabu kila jioni. Sisi tunazishika kanuni za Bwana Mungu wetu. Lakini ninyi mmemwacha Mungu.
Amom hoi tangminlah tangkuem BAWIPA hanelah hmaisawi thuengnae hoi hmuitui ouk a thueng awh. Paawng e vaiyei hai kathounge caboi dawk a hruek awh. Tangminlah tangkuem hmaisawi hanelah sui hmaiimkhok dawk hmaiim paang teh, kaimouh ni teh BAWIPA Cathut e kâpoelawknaw ka tarawi awh. Hatei, nangmouh ni teh ahni hah na pahnawt awh.
12 Mungu yu pamoja nasi, yeye ndiye kiongozi wetu. Makuhani wake wakiwa na tarumbeta zao watapiga baragumu ya vita dhidi yenu. Watu wa Israeli, msipigane dhidi ya Bwana, Mungu wa baba zenu, kwa maana hamtashinda.”
Khenhaw! Cathut teh kaimouh koe ao teh, kaimae lû lahai ao. Vaihmanaw hai nangmanaw na tuk navah amamae kâhruetcuetnae mongka hah kâhruetcuet nahanlah ueng han lah ao awh. Oe Isarelnaw mintoenaw e BAWIPA Cathut tuk hanelah kâcai hanh awh. Na tuk awh pawiteh, na sung awh han telah atipouh.
13 Basi Yeroboamu alikuwa ametuma jeshi kuzunguka nyuma ya Yuda ili kwamba akiwa mbele ya Yuda, jeshi liwavizie kwa nyuma.
Hatei, Jeroboam ni a ransa tangawn hah Judah ransanaw a hnuklah arulah hoi pawp hanelah a patoun. Hahoi a tangawn teh hmalah hoi kalup vaiteh tuk hanelah a noe.
14 Basi Yuda wakageuka na kuona kwamba wanashambuliwa mbele na nyuma. Ndipo wakamlilia Bwana. Makuhani wakapiga tarumbeta zao,
Judahnaw ni hnukhma lahoi a pawp awh e a panue toteh BAWIPA a kaw awh. Vaihmanaw ni hai mongka a ueng awh.
15 nao watu wa Yuda wakapaza sauti ya kilio cha vita. Katika kupiga kelele za vita, Mungu akawafukuza Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Mfalme Abiya na Yuda.
Hahoi Judahnaw a thaw awh teh puenghoi a hramki awh. Hottelah Judahnaw a hramki torei teh, Abijah hoi Judahnaw hmalah Jeroboam hoi Isarelnaw pueng Cathut ni taran a sung sak.
16 Waisraeli wakakimbia mbele ya Yuda, naye Mungu akawatia Israeli mikononi mwao.
Isarelnaw teh Judahnaw e hmalah a yawng awh teh, Cathut ni ahnimae kut dawk a poe.
17 Abiya na watu wake wakawachinja kwa machinjo makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli.
Abijah hoi a taminaw ni tami moikapap a thei awh teh, a rawi e tami 500000 touh a thei awh.
18 Watu wa Israeli walitiishwa katika tukio lile, nao watu wa Yuda wakawa washindi kwa sababu walimtegemea Bwana, Mungu wa baba zao.
Judahnaw ni mintoenaw e BAWIPA Cathut kâuep awh dawkvah, Isarelnaw teh hatnavah taran a sung awh.
19 Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo.
Hahoi Abijah ni Jeroboam a pâlei teh, Bethel khopui hoi khotenaw, Jeshanah khopui hoi khotenaw, Ephraim khopui hoi khotenaw, ahnie kut dawk hoi a lawp.
20 Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye Bwana akampiga Yeroboamu akafa.
Abijah a hring nathung Jeroboam teh a tha bout sai thai hoeh. BAWIPA ni a hem teh a due.
21 Lakini Abiya akapata nguvu. Alioa wanawake kumi na wanne na alikuwa na wana ishirini na wawili na binti kumi na sita.
Hatei, Abijah teh athakaawme lah ao teh a yu 14 touh a la, ca tongpa 22 touh hoi napui 16 touh a tawn.
22 Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido.
Abijah ni a tawksak e kaawm rae hoi a nuencang a deipan e lawklungnaw teh profet Iddo e lairui cauk dawk thut lah ao.

< 2 Nyakati 13 >