< 2 Nyakati 13 >
1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
Yelouboua: me da Isala: ili fi hina bagade hamone, ode 18 agoane ouligilalu, Abaidia da Yuda hina bagade hamoi.
2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea. Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
E da ode udiana Yelusalemega esala, Yuda fi ouligisu. Ea ame da Ma: iaga (Iuliele idiwi). E da Gibia moilai bai bagadega misi. Abaidia amola Yelouboua: me da ha lale gegei.
3 Abiya aliingia vitani na jeshi la watu 400,000 wenye uwezo wa kupigana, naye Yeroboamu akapanga jeshi dhidi ya Abiya akiwa na jeshi la watu 800,000 wenye uwezo.
Abaidia ea dadi gagui dunu idi da 400,000 agoane. Ema gegemusa: , Yelouboua: me da dadi gagui dunu 800,000 agoane gilisi.
4 Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, katika nchi ya vilima ya Efraimu, naye akasema, “Yeroboamu na Israeli yote, nisikilizeni mimi!
Amo dadi gagui wa: i aduna da Ifala: ime agolo sogega wa: i fi. Hina bagade Abaidia da Semala: imi goumia heda: le, Yeloubouma: ne amola Isala: ili dunuma amane wele sia: i, “Na sia: be nabima!
5 Hamfahamu kwamba Bwana, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi na wazao wake ufalme juu ya Israeli milele kwa Agano la chumvi?
Dilia amo hou hame dawa: bela: ? Isala: ili Hina Gode da eso huluane dialoma: ne gousa: su, Da: ibidi amola egaga fi ilima hamoi. E amane ilegele sia: i, ‘Da: ibidi amola egaga fi da mae fisili, eso huluane Isala: ili fi ouligilalumu.
6 Hata hivyo Yeroboamu mwana wa Nebati afisa wa Solomoni mwana wa Daudi, aliasi dhidi ya bwana wake.
Be Yelouboua: me (Niba: de egefe) da ea hina bagade Soloumanema odoga: i.
7 Baadhi ya watu wasiofaa kitu, wabaya kabisa walimkusanyikia na kumpinga Rehoboamu mwana wa Solomoni alipokuwa kijana mdogo asiyekuwa na uamuzi, asiye na nguvu za kuweza kupingana nao.
Fa: no, e da hamedei wadela: i hamosu dunu gilisili, ilia da Soloumane egefe Lihouboua: me ema odoga: i. Lihouboua: me da ayeligi amola buluduiba: le, ilima dabe gegemu hamedei ba: i.
8 “Hata sasa unapanga kupingana na ufalme wa Bwana ambao uko mikononi mwa wazao wa Daudi. Kweli ninyi ni jeshi kubwa nanyi mnazo ndama za dhahabu Yeroboamu alizozitengeneza kuwa miungu yenu.
Be wali di da nama gegemusa: dawa: beba: le, di da ouligisu hou amo Hina Gode da Da: ibidi amola egaga fi ilima ilegei, ilima gegemusa: dawa: lala. Di da dadi gagui wa: i bagadedafa oule misi, amola gouliga hamoi bulamagau gawali agoai Yelouboua: me ea loboga hamoi ‘gode’ amola gaguli misi.
9 Lakini je, hamkuwafukuza makuhani wa Bwana, wana wa Aroni na Walawi na kujifanyia makuhani wenu wenyewe kama yafanyavyo mataifa ya nchi nyingine? Yeyote anayekuja kujiweka wakfu akiwa na ndama dume na kondoo dume saba aweza kuwa kuhani wa kile ambacho ni miungu kwenu.
Di da Hina Godema gobele salasu dunu Elane egaga fi amola Lifai fi dunu huluane sefasi. Di da eno fifi lai dunu defele, dia hanaiga ogogosu gobele salasu dunu ilegei. Nowa dunu da bulamagau gawali o sibi fesuale agoane gaguli masea, di da e ‘gobele salasu’ dunu ilegesa. Amasea, e da dia ogogosu loboga hamoi ‘gode’ ilima gobele salasu hou hamosa.
10 “Lakini kwetu sisi, Bwana ndiye Mungu wetu, wala hatujamwacha. Makuhani wanaomtumikia Bwana ni wana wa Aroni, nao Walawi wakiwasaidia.
Be ninia da Hina Godedafa Ea hawa: hamonana. Ninia da E hame fisiagai. Elane egaga fi dunu da gobele salasu hawa: hamonana, amola Lifai fi dunu da ili fidisa.
11 Kila asubuhi na jioni wao hutoa sadaka za kuteketezwa na kufukiza uvumba wa harufu nzuri kwa Bwana. Wao huweka mikate juu ya meza safi kwa taratibu za kiibada na kuwasha taa kwenye kinara cha dhahabu kila jioni. Sisi tunazishika kanuni za Bwana Mungu wetu. Lakini ninyi mmemwacha Mungu.
Hahabe amola daeya huluane, ilia da Hina Godema gabusiga: manoma gobele sala, amola oloda da: iya ohe gogo gobele sala. Ilia da agi ga: gi Godema ima: ne, amo noga: le dodofei fafai da: iya ligisisa amola daeya huluane gamali amo da gouliga hamoi bai da: iya lela, amo wa: sa. Ninia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamonana. Be dilia da Hina Gode fisiagai dagoi.
12 Mungu yu pamoja nasi, yeye ndiye kiongozi wetu. Makuhani wake wakiwa na tarumbeta zao watapiga baragumu ya vita dhidi yenu. Watu wa Israeli, msipigane dhidi ya Bwana, Mungu wa baba zenu, kwa maana hamtashinda.”
Gode Hisu da ninia bisilua, amola Ea gobele salasu dunu da dalabede gaguiwane, ninia dima gegema: ne fulabomusa: momagele lela. Isala: ili fi dunu! Dilia aowalalia Hina Godema mae gegema! Dilia nini hasalimu da hamedei ba: mu.”
13 Basi Yeroboamu alikuwa ametuma jeshi kuzunguka nyuma ya Yuda ili kwamba akiwa mbele ya Yuda, jeshi liwavizie kwa nyuma.
Amogaluwane, Yelouboua: me da ea dadi gagui dunu mogili, ili Yuda dadi gagui wa: i baligia logo legema: ne asunasi. E da eno dadi gagui amo Yuda wa: i midadi doagala: ma: ne asunasi.
14 Basi Yuda wakageuka na kuona kwamba wanashambuliwa mbele na nyuma. Ndipo wakamlilia Bwana. Makuhani wakapiga tarumbeta zao,
Yuda dadi gagui dunu da ba: le gagaloba, ili eale disi ba: i. Ilia da Hina Godema ili fidima: ne disa wele sia: i, amola gobele salasu dunu da dalabede fulaboi.
15 nao watu wa Yuda wakapaza sauti ya kilio cha vita. Katika kupiga kelele za vita, Mungu akawafukuza Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Mfalme Abiya na Yuda.
Yuda dadi gagui dunu da ha: giwane wele sia: ne, Isala: ili dadi gagui wa: i doagala: i. Abaidia hi bisili doagala: i. Gode da Yelouboua: me amola Isala: ili dadi gagui wa: i hasali.
16 Waisraeli wakakimbia mbele ya Yuda, naye Mungu akawatia Israeli mikononi mwao.
Isala: ili dunu da Yuda dadi gagui dunuba: le hobeale asi. Gode da ili fidiba: le, Yuda dadi gagui ilia Isala: ili hasali.
17 Abiya na watu wake wakawachinja kwa machinjo makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli.
Abaidia amola ea dadi gagui wa: i da Isala: ili dadi gagui wa: i dafawanedafa hasali. Ilia da Isala: ili bisilua dadi gagui dunu 500,000 agoane medole legei.
18 Watu wa Israeli walitiishwa katika tukio lile, nao watu wa Yuda wakawa washindi kwa sababu walimtegemea Bwana, Mungu wa baba zao.
Yuda dunu da ilia aowalalia Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, amo Ea fidima: ne adole ba: beba: le, ilima ha lai dunu amo hasali dagoi ba: i.
19 Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo.
Abaidia da Yelouboua: me ea dadi gagui wa: i se bobogele, Isala: ili moilai bai bagade mogili susugui. Amo da Bedele, Yesiana, Ifalone amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu.
20 Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye Bwana akampiga Yeroboamu akafa.
Yeleboua: me ea gasa da fisi ba: i. Abaidia da Yuda soge ouligiloba, Yelouboua: me da ea gasa hou bu hame lai. Fa: nowane, Hina Gode da e fane legei dagoi.
21 Lakini Abiya akapata nguvu. Alioa wanawake kumi na wanne na alikuwa na wana ishirini na wawili na binti kumi na sita.
Be Abaidia ea gasa da bu bagade heda: i. E da uda ba: lisi agoane lai amola egefelali idi da 22 agoane amola idiwilali idi da silisi agoane.
22 Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido.
Abaidia ea eno hamonanusu amola ea sia: amo da “Balofede Dunu Idou ea Hamonanu” meloa dedei amo ganodini dedene legei.