< 2 Nyakati 12 >

1 Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.
Ket napasamak nga idi natalgeden ti panagturay ni Rehoboam ken nabiligen isuna, tinallikudanna agraman dagiti amin nga Israelita a kaduana ti linteg ni Yahweh.
2 Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.
Ket napasamak nga iti maikalima a tawen ni Ari Rehoboam, rinaut ni Sisak nga ari ti Egipto ti Jerusalem, gapu ta saan a napudno dagiti tattao kenni Yahweh.
3 Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.
Inkuyogna ti sangaribu ket dua a gasut a karuahe ken innem a pulo a ribu a kumakabalio. Saan a mabilang dagiti kakuyogna a soldado manipud iti Egipto: Dagiti taga-Libia, taga-Suk ken taga-Etiopia.
4 Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.
Sinakupna dagiti nasarikedkedan a siudad a sakup ti Juda ket napan isuna idiay Jerusalem.
5 Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’”
Ita, napan ni profeta Semaias kenni Rehoboam ken kadagiti panguloen ti Juda a naguummong idiay Jerusalem gapu kenni Sisak. Kinuna ni Semaias kadakuada, “Kastoy ti kuna ni Yahweh: 'Tinallikudandak, isu nga inyawatkayo met kenni Sisak.”'
6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Bwana Mungu ni mwenye haki.”
Ket nagpakumbaba dagiti prinsipe ti Israel ken ti ari ket kinunada, “Nalinteg ni Yahweh.”
7 Bwana Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la Bwana likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.
Idi nakita ni Yahweh a nagpakumbabada, immay ti sao ni Yahweh kenni Semaias; kinunana, “Nagpakumbabada. Saanko ida a dadaelen; ispalekto ida manipud iti naan-anay a pannakadadael, ken saanto a maibukbok ti pungtotko iti Jerusalem babaen iti ima ni Sisak.
8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Nupay kasta, agbalindanto nga adipenna, tapno maawatanda ti nagdumaan ti panagserbi kaniak ken ti panagserbi kadagiti mangiturturay kadagiti dadduma a pagilian.”
9 Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
Rinaut ngarud ni Sisak nga ari ti Egipto ti Jerusalem ket innalana dagiti gameng iti balay ni Yahweh ken dagiti gameng iti balay ti ari. Innalana amin; innalana pay dagiti kalasag a balitok nga inaramid ni Solomon.
10 Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
Nangaramid ni Ari Rehoboam kadagiti kalasag a bronse a kasukat dagitoy ket intalekna dagitoy kadagiti ima dagiti panguloen dagiti guardia, a mangbanbantay kadagiti ruangan ti balay ti ari.
11 Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
Ket napasamak a tunggal sumrek ti ari iti balay ni Yahweh, awiten dagiti guardia dagitoy a kalasag; ket isublidanto met laeng dagitoy iti siled dagiti guardia.
12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya Bwana ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.
Idi nagpakumbaba ni Rehoboam, bimmaaw ti pungtot ni Yahweh kenkuana, isu a saanna isuna a namimpinsan a dinadael; maysa pay, adda pay laeng masarakan a kinaimbag idiay Juda.
13 Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.
Pinabileg ngarud ni Ari Rehoboam ti kinaarina idiay Jerusalem, ket nagturay isuna. Agtawen iti uppat a pulo ket maysa ni Rehoboam idi nangrugi isuna nga agturay, ket nagturay isuna iti sangapulo ket pito a tawen idiay Jerusalem, a siudad a pinili ni Yahweh manipud kadagiti amin a tribu ti Israel tapno kanayon a maidayaw isuna sadiay. Naama ti nagan ti inana, a taga-Ammon.
14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta Bwana Mungu.
Dakes ti inaramidna, gapu ta saanna nga impapuso a sapulen ni Yahweh.
15 Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
No maipanggep kadagiti dadduma a banbanag maipapan kenni Rehoboam, manipud iti rugi agingga iti maudi, saan kadi a naisurat dagitoy kadagiti surat ni profeta Semaias ken ni Iddo a Mammadto, nga addaan met iti listaan iti kaputotan ni Rehoboam ken iti kankanayon a panagginnubat da ken ni Jeroboam?
16 Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.
Pimmusay ni Rehoboam ket naitabon iti siudad ni David; ni Abias a putotna a lalaki ti simmukat kenkuana nga ari.

< 2 Nyakati 12 >