< 2 Nyakati 12 >

1 Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.
And whanne the rewme of Roboam was maad strong and coumfortid, he forsook the lawe of the Lord, and al Israel with hym.
2 Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.
Sotheli in the fyuethe yeer of the rewme of Roboam Sesach, the kyng of Egipt, stiede in to Jerusalem, for thei synneden ayens the Lord;
3 Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.
and he stiede with a thousynde and two hundrid charys, and with sixti thousynde of horse men, and no noumbre was of the comyn puple, that cam with hym fro Egipt, that is, Libiens, and Trogoditis, and Ethiopiens.
4 Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.
And he took ful stronge citees in Juda, and he cam `til to Jerusalem.
5 Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’”
Forsothe Semei, the prophete, entride to Roboam, and to the princes of Juda, whiche fleynge fro Sesach weren gaderid togidere `in to Jerusalem. And he seide to hem, The Lord seith these thingis, Ye han forsake me, and Y haue forsake you in the hond of Sesach.
6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Bwana Mungu ni mwenye haki.”
And the princes of Israel and the kyng weren astonyed, and seiden, The Lord is iust.
7 Bwana Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la Bwana likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.
And whanne the Lord hadde seyn that thei weren mekid, the word of the Lord was maad to Semey, and seide, For thei ben mekid, Y schal not distrie hem, and Y schal yyue to hem a litil help, and my stronge veniaunce schal not droppe on Jerusalem bi the hond of Sesach.
8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Netheles thei schulen serue hym, that thei knowe the dyuersitee of my seruyce and of the seruyce of the rewme of londis.
9 Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
Therfor Sesach, the kyng of Egipt, yede a wey fro Jerusalem, aftir that he hadde take awei the tresouris of the hows of the Lord, and of the kyngis hows; and he took alle thingis with hym, and the goldun scheeldis whiche Salomon hadde maad,
10 Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
for whiche the kyng made brasun scheeldis, and took tho to the princes of scheeld makeris, that kepten the porche of the paleis.
11 Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
And whanne the kyng entride in to the hows of the Lord, the scheeldmakeris camen, and token tho, and eft brouyten tho to his armure place.
12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya Bwana ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.
Netheles for thei weren mekid, the ire of the Lord was turned a wei fro hem, and thei weren not don a wei outirli; for good werkis weren foundyn also in Juda.
13 Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.
Therfor kyng Roboam was coumfortid in Jerusalem, and regnede. Forsothe he was of oon and fourti yeer, whanne he bigan to regne, and he regnyde seuentene yeer in Jerusalem, the citee which the Lord chees of alle the lynagis of Israel, that he schulde conferme his name there. Forsothe the name of his modir was Naama Amanytis.
14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta Bwana Mungu.
And he dide yuel, and he made not redi his herte to seke God.
15 Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Sotheli the firste and the laste werkis of Roboam ben writun, and diligentli declarid in the bookis of Semei the profete, and of Abdo the profete.
16 Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.
And Roboam and Jeroboam fouyten in alle daies ayens hem silf. And Roboam slepte with hise fadris, and was biried in the citee of Dauid; and Abia, his sone, regnede for hym.

< 2 Nyakati 12 >