< 2 Nyakati 12 >
1 Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.
Но след като се закрепи царството на Ровоама, и той стана силен, остави Господния закон, а заедно с него и целия Израил.
2 Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.
И понеже бяха престъпили пред Господа, затова, в петата година на Ровоамовото царуване, египетския цар Сисак възлезе против Ерусалим
3 Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.
с хиляда и двеста колесници и шестдесет хиляди конници; и людете, които дойдоха с него от Египет, ливийци, сукияни и етиопяни, бяха безбройни.
4 Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.
И като превзе Юдовите укрепени градове, дойде до Ерусалим.
5 Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’”
Тогава пророк Семаия дойде при Ровоама и при Юдовите първенци, като се бяха събрали в Ерусалим, поради нахлуването на Сисака, та им рече: Така казва Господ: Вие оставихте Мене; затова и Аз оставих вас в ръцете на Сисака.
6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Bwana Mungu ni mwenye haki.”
По това Израилевите първенци и царят се смириха, и казаха: Праведен е Господ.
7 Bwana Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la Bwana likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.
А когато видя Господ, че се смириха, Господното слово дойде към Семаия и каза: Те се смириха; няма да ги изтребя, но ще им дам някакво избавление; и гневът Ми няма да се излее върху Ерусалим чрез Сисака.
8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Обаче те ще му станат слуги, за да познаят, що е да слугуват на Мене и що да слугуват на земните царства.
9 Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
И тъй, египетския цар Сисак възлезе против Ерусалим, та отнесе съкровищата на Господния дом и съкровищата на царската къща; отнесе всичко; отнесе още златните щитове, които Соломон бе направил.
10 Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
(А вместо тях цар Ровоам направи медни щитове и ги предаде в ръцете на началниците на телохранителите, които пазеха вратата на царската къща.
11 Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
И когато влизаше царят в Господния дом, телохранителите дохождаха та ги вземаха; после пак ги занасяха в залата на телохранителите).
12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya Bwana ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.
И като се смири Ровоам, гневът на Господа се отвърна от него, та да не го погуби съвсем; па и в Юда се намираше някакво добро.
13 Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.
Така цар Ровоам се закрепи в Ерусалим и царуваше; защото, когато се възцари, Ровоам бе четиридесет и една години на възраст; и царува седемнадесет години в Ерусалим, града който Господ бе избрал измежду всичките Израилеви племена за да настани името Си там. Името на майка му, амонката, бе Наама.
14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta Bwana Mungu.
А той стори зло, като не оправи сърцето си да търси Господа.
15 Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
А делата на Ровоама, първите и последните, не са ли написани в книгите на пророка Семаия и на гледача Идо за архивите? А между Ровоама и Еровоама имаше постоанни войни.
16 Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.
И Ровоам заспа с бащите си и погребан биде в Давидовия град. И вместо него се възцари син му Авия.