< 2 Nyakati 12 >
1 Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.
Lihouboua: me da gasa fili, ea ouligisu hou didili lalegagui dagoloba, e amola ea fi dunu da hedolowane, Hina Gode Ea Sema yolesiagai.
2 Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.
Ilia da Hina Godema baligi fa: iba: le, Lihouboua: me ea ouligibi ode bi amoga, ilia da se iasu ba: i. Idibidi hina bagade Siaisia: ge da Yelusaleme doagala: i.
3 Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.
Siaisia: ge ea dadi gagui wa: i da sa: liode 1,200 agoane, hosiga fila heda: i dadi gagui dunu 60,000 agoane amola dadi gagui dunu eno idimu hame gala. Ea dadi gagui dunu mogili da Libia, Sagimi amola Idioubia sogega misi.
4 Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.
E da Yuda gagili sali moilai bai bagade huluane susuguli, mogodigili ahoana, Yelusalemega doaga: i.
5 Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’”
Balofede dunu Siema: ia da hina bagade Lihouboua: me amola Yuda ouligisu dunu (ili huluane da Siaisia: gema beda: iba: le, Yelusaleme ganodini gilisili esalebe ba: i) ilima asili, amane sia: i, “Hina Gode da dilima amane sia: ne iaha, ‘Dilia da Na fisiagaiba: le, Na da Siaisia: ge amo ea dili hasalima: ne, fisiagai dagoi.’”
6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Bwana Mungu ni mwenye haki.”
Lihouboua: me amola Yuda ouligisu dunu da ilia wadela: i hou gogosiane fofada: i. Ilia amane sia: i, “Dafawane! Hina Gode Ea wali hamobe da moloidafa.”
7 Bwana Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la Bwana likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.
Hina Gode da amo ba: beba: le, bu Siema: iama amane sia: i, “Ilia da ilia wadela: i hou gogosiane fofada: iba: le, Na da ili hame gugunufinisimu. Be Siaisia: ge da ili doagala: sea, ilia da gugunufinisidafa hame ba: mu. Na ougidafa hou da Yelusalemema hame doaga: mu.
8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Be Siaisia: ge da ili hasalimu. Nama hawa: hamosu hou amola osobo bagade ouligisu dunuma hawa: hamosu hou da hisu. Amo ilia da dawa: mu.”
9 Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
Hina bagade Siaisia: ge da Yelusalemega misini, e da Debolo Diasua amola hina bagade diasua, noga: i liligi huluane susugui. E da huluanedafa susugui dagoi, amola gouliga hamoi da: igene ga: su, Soloumane ea hamoi liligi, amo huluane susugui.
10 Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
Amo buga: ma: ne, Lihouboua: me da eno da: igene ga: su, balasega hamoi. E da amo ouligima: ne, logo ga: su sosodo aligisu dunu ilegei.
11 Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
Eso huluane, Lihouboua: me da Debolo Diasuga ahoasu, sosodo aligisu dunu da da: igene ga: su gaguli ahoasu. Amalu, ilia da bu sosodo aligisu sesei ganodini ligisisu.
12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya Bwana ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.
E da Hina Gode Ea se iasu hame hihiba: le, Hina Gode da e dafawanedafa hame gugunufinisi. Amola Yuda fi da bu hahawane ba: i.
13 Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.
Lihouboua: me da Yelusalemega esala, ea ouligisu hou hamosu. Ea gasa da bu heda: i. E da lalelegele, ode 45 esalu, Yuda fima ouligisu hou mui, amola e da Yelusalemega esala, ode 17 agoane Yuda fi ouligisu. (Hina Gode da Isala: ili soge ganodini, Ema nodone sia: ne gadosu sogebi, Yelusaleme moilai bai bagade, amo fawane ilegei.) Lihouboua: me ea ame da Na: ima. Na: ima da A: mounaide uda.
14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta Bwana Mungu.
Lihouboua: me da wadela: le hamosu. Bai e da Hina Gode Ea hanai hou hame hogosu.
15 Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Lihouboua: me ea hou, e da muni hahamona asili dagoi, amola ea sosogo fi ilia hou, amo da “Balofede Dunu Siema: ia ea Hamonanu” meloa dedei amola “Balofede Dunu Idou ea Hamonanu” meloa dedei amo ganodini dedene legei. Lihouboua: me da mae fisili, Yelouboua: mema gegenanu.
16 Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.
Lihouboua: me da bogoloba, ilia da ea da: i hodo amo Da: ibidi ea Moilai bai bagadega hina bagade ilia dogonesisu sogebi amoga gele gelaboga sali. Egefe Abaidia da e bagia, Yuda fi dunu ilia hina bagade hamoi.