< 2 Nyakati 11 >

1 Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na ya Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.
A kad doðe Rovoam u Jerusalim, sazva dom Judin i Venijaminov, sto i osamdeset tisuæa odabranijeh vojnika, da zavojšte na Izrailja da povrate carstvo Rovoamu.
2 Lakini neno hili la Bwana likamjia Shemaya mtu wa Mungu:
Ali doðe rijeè Gospodnja Semaji èovjeku Božijemu govoreæi:
3 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na Israeli wote walioko Yuda na Benyamini,
Kaži Rovoamu sinu Solomunovu caru Judinu i svijem sinovima Izrailjevijem od Jude i Venijamina, i reci:
4 ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’” Kwa hiyo wakalitii neno la Bwana na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.
Ovako veli Gospod: ne idite i ne bijte se s braæom svojom, vratite se svak svojoj kuæi, jer sam ja naredio tako da bude. I oni poslušaše rijeè Gospodnju i vratiše se i ne idoše na Jerovoama.
5 Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:
I Rovoam sjede u Jerusalimu, i sazida tvrde gradove u zemlji Judinoj;
6 Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,
Sazida Vitlejem i Itam i Tekuju,
7 Beth-Suri, Soko, Adulamu,
I Vet-Sur i Sohot i Odolam,
8 Gathi, Maresha, Zifu,
I Gat i Marisu i Zif,
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,
I Adoraim i Lahis i Aziku,
10 Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.
I Saraju i Ejalon i Hevron, koji su u zemlji Judinoj i Venijaminovoj tvrdi gradovi.
11 Akaimarisha ulinzi wake na kuweka majemadari ndani yake, pamoja na ghala za mahitaji ya vyakula, mafuta ya zeituni na divai.
A kad utvrdi te gradove, namjesti u njima zapovjednike, i staje za žito i za ulje i za vino,
12 Akaweka ngao na mikuki katika miji na kuifanya iwe imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
I u svakom gradu štitova i kopalja, i utvrdi ih jako. Tako njegov bijaše Juda i Venijamin.
13 Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za Israeli wakawa upande wake.
I sveštenici i Leviti, koji bijahu po svemu Izrailju, sabraše se k njemu iz svijeh krajeva svojih.
14 Pia Walawi wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao, wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa wasiwe makuhani wa Bwana.
Jer ostaviše Leviti podgraða svoja i dostojanja svoja, i otidoše u Judejsku i u Jerusalim, jer ih otjera Jerovoam i sinovi njegovi da ne vrše službe sveštenièke Gospodu.
15 Naye akawa amechagua makuhani wake mwenyewe kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia sanamu za mbuzi na za ndama ambazo alikuwa ametengeneza.
I postavi sebi sveštenike za visine i za ðavole i za teoce, koje naèini.
16 Wale waliotoka katika kila kabila la Israeli ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta Bwana, Mungu wa Israeli, wakawafuata Walawi huko Yerusalemu kumtolea Bwana dhabihu, Mungu wa baba zao.
A za njima iz svijeh plemena Izrailjevijeh koji upraviše srce svoje da traže Gospoda Boga Izrailjeva, doðoše u Jerusalim da prinesu žrtvu Gospodu Bogu otaca svojih.
17 Wakaimarisha ufalme wa Yuda na kumuunga mkono Rehoboamu mwana wa Solomoni miaka mitatu, wakienenda katika njia za Daudi na Solomoni katika wakati huu.
I tako utvrdiše carstvo Judino, i ukrijepiše Rovoama sina Solomunova za tri godine, jer za te tri godine hoðahu putem Davidovijem i Solomunovijem.
18 Rehoboamu alimwoa Mahalati ambaye alikuwa binti Yeremothi mwana wa Daudi, mamaye alikuwa Abihaili binti Eliabu mwana wa Yese.
A Rovoam se oženi Maeletom kæerju Jerimota sina Davidova i Avihailom kæerju Esijava sina Jesejeva,
19 Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Koja mu rodi sinove: Jeusa i Samariju i Zama.
20 Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, ambaye alimzalia: Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi.
A poslije nje oženi se Mahom kæerju Avesalomovom, koja mu rodi Aviju i Ataja i Zivu i Selomita.
21 Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu zaidi kuliko wakeze wengine na masuria wake. Kwa jumla alikuwa na wake kumi na wanane na masuria sitini, wana ishirini na wanane na binti sitini.
A ljubljaše Rovoam Mahu kæer Avesalomovu veæma od svijeh žena svojih i inoèa svojih; jer imaše osamnaest žena i šezdeset inoèa, i rodi dvadeset i osam sinova i šezdeset kæeri.
22 Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka, kuwa mkuu wa wana wa mfalme miongoni mwa ndugu zake ili amfanye mfalme.
I Rovoam postavi Aviju sina Mašina poglavarom i knezom nad braæom njegovom, jer ga šæaše postaviti carem.
23 Akatenda kwa busara, akiwasambaza baadhi ya wanawe katika wilaya zote za Yuda na Benyamini, pamoja na miji yote yenye ngome. Akawapa mahitaji tele na kuwaoza wake wengi.
I mudro radeæi rasturi sve sinove svoje po svijem krajevima Judinijem i Venijaminovijem, po svijem tvrdijem gradovima, i dade im hrane izobila, i dovede im mnogo žena.

< 2 Nyakati 11 >