< 2 Nyakati 10 >
1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Waisraeli wote walikuwa wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa mfalme.
Isala: ili ga (north) fi dunu huluane da Lihouboua: me hina bagade hamomusa: , Siegeme moilai bai bagadega gilisila misi. Lihouboua: me da amoga asi.
2 Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni), akarudi kutoka Misri.
Be Yelouboua: me (Niba: de egefe - e da Soloumaneba: le Idibidi sogega hobea: i) e da amo hou nababeba: le, Idibidi soge fisili, buhagi.
3 Kwa hiyo wakatuma watu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la Israeli wakamwendea Rehoboamu na kumwambia,
Isala: ili ga (north) fi huluane da e ilima misa: ne sia: na asi. Amalalu, ilia da gilisili Lihouboua: mema asili, amane sia: i,
4 “Baba yako aliweka nira nzito, lakini sasa tupunguzie kazi za kikatili na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi tutakutumikia.”
“Dia ada Soloumane da ninima gasa fili hamobeba: le, ninia dioi bagade nabasu. Di da amo gasa fili olelesu hou fisili, amola ninia dioi hagilisisia, amola nini asabole esaloma: ne hamosea, ninia da dima molole fa: no bobogemu.”
5 Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.
Lihouboua: me da bu adole i, “Na da eso udiana esalu, bu masea, dilima bu adole imunu.” Amaiba: le, ilia da fisili asi.
6 Kisha Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba yake wakati wa uhai wake akawauliza, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”
Hina bagade Lihouboua: me da asigilai dunu (amo da musa: ea ada Soloumane ea fada: i sia: fidisu dunu) ilima amane adole ba: i, “Dilia adi dawa: bela: ? Na da amo dunuma adi adole ima: bela: ?”
7 Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”
Ilia amane adole i, “Di da amo dunu fi noga: le fidimusa: dawa: sea, di ilia adole ba: su amoma asigiwane bu adole ima. Amasea ilia da eso huluane dima molole hawa: hamomu.”
8 Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia.
Be Lihouboua: me da asigilai dunu, ilia fada: i sia: hame nabi. Be amomane e da ayeligi dunu e ili gilisili asigilai, ilia sia: fawane nabi. Bai e da ayeligi dunu ili amo ea fada: i sia: fidisu dunu hamoi.
9 Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia, ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu yetu?’”
E da ilima amane adole ba: i, “Dilia da nama adi hamoma: ne fada: ne sia: sala: ? Amo dunu ilia da nama, ilia asabole esaloma: ne hamoma: ne sia: sa. Na da ilima adi sia: ma: bela: ?”
10 Wale vijana wa rika lake wakamjibu, “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu nyepesi,’ kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
Ilia da bu adole i, “Di ilima amane adole ima, ‘Dilia da na ada da gasa fili hamosu dawa: sala: ? Hame mabu! Na lobo sogo fonobahadi ea defei da na ada ea buluga: su dedei amo baligisa.’
11 Baba yangu aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi; mimi nitawachapa kwa nge.’”
Amola ilima eno adole ima, ‘Dafawane! Na ada da dili dioi bagade nabima: ne hamoi. Be na da dioi bagade baligili dilima imunu. Na ada da dili fegasu efe amoga fai. Be na da fegasu efe bagadedafa amoga dili famu!’”
12 Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”
Eso osoda baligili, Yelouboua: me amola dunu huluane, hina bagade Lihouboua: me ea hamoma: ne sia: i defele, ema sinidigi.
13 Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,
Lihouboua: me da asigilai dunu ilia fada: i sia: mae dawa: le, dunu huluane ilima gasa fili sia: i.
14 akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”
E da ayeligi ilia fada: i sia: defele sia: i. E amane sia: i. “Dilia da na ada da gasa fili hamosu dawa: sala: ? Hame mabu! Na lobo sogo fonobahadi ea defei da na ada ea buluga: su defei amo baligisa. Dafawane! Na ada da dili dioi bagade nabima: ne hamoi. Be na da dioi bagade baligili dilima imunu. Na ada da dili fegasu efe amoga fai. Be na da fegasu efe bagadedafa amoga dili famu!’”
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa Mungu ili kutimiza neno ambalo Bwana alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni.
Hina Gode Ea hanaiga, hou amo E da Siailou Balofede (Gode Sia: Alofesu dunu) Abaidia ea lafidili amo Yelouboua: me (Niba: de egefe) ema sia: i, amo doaga: i dagoi ba: i. Hina bagade Lihouboua: me da dunu fi ilima gasa fili hamoi, amo ea bai da goea.
16 Israeli wote walipoona kuwa mfalme amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme: “Tuna fungu gani kwa Daudi? Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese. Nendeni kwenye mahema yenu, ee Israeli, angalia nyumba yako mwenyewe, ee Daudi!” Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao.
Dunu huluane da hina bagade da ilia sia: nabimu higa: i, amo ba: beba: le, ilia da amane halale sia: i, “Da: ibidi amola ea sosogo fi fisiagama! Ilia da nini hamedafa fidisu! Isala: ili dunu! Ninia da afia: la: di! Lihouboua: me hisu ouligima: ma!” Isala: ili dunu da amanewane odoga: su.
17 Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu akaendelea kuwatawala bado.
Amola Lihouboua: me da dunu fi Yuda soge ganodini, amo fawane ouligimu ba: i.
18 Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.
Amalalu, hina bagade Lihouboua: me da udigili sesei hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu A: dounaila: me amo Isala: ili dunuma asunasi. Be ilia da e igiga gala: le medole legei. Amo ba: beba: le, Lihouboua: me da ea ‘sa: liode’ amo da: iya fila heda: le, Yelusaleme moilai bai bagadega hobeale asi.
19 Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.
Amo eso fa: no, Isala: ili ga (north) fi dunu da Da: ibidi ea ouligisu sosogo fi ilima lelele esalu.