< 1 Timotheo 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
Paweł, apostoł Jezusa Chrystusa według nakazu Boga, naszego Zbawiciela, i Pana Jezusa Chrystusa, który jest naszą nadzieją;
2 Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Do Tymoteusza, [mego] własnego syna w wierze. Łaska, miłosierdzie i pokój od Boga, naszego Ojca, i Chrystusa Jezusa, naszego Pana.
3 Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
Jak cię prosiłem, gdy wybierałem się do Macedonii, byś pozostał w Efezie, [tak teraz proszę], abyś nakazał niektórym, żeby inaczej nie nauczali;
4 wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
I nie zajmowali się baśniami i niekończącymi się rodowodami, które wywołują raczej spory niż zbudowanie Boże, które [oparte jest] na wierze.
5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
Końcem zaś przykazania jest miłość [płynąca] z czystego serca, z prawego sumienia i wiary nieobłudnej;
6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
Od czego niektórzy odstąpili i zwrócili się ku czczej gadaninie;
7 wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
Chcąc być nauczycielami prawa, nie rozumiejąc ani tego, co mówią, ani tego, co stanowczo twierdzą.
8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
Wiemy zaś, że prawo jest dobre, jeśli ktoś je właściwie stosuje.
9 Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
Rozumiemy, że prawo nie jest ustanowione dla sprawiedliwego, ale dla nieprawych i nieposłusznych, dla bezbożnych i grzeszników, dla niegodziwych i nieczystych, dla ojcobójców, matkobójców i morderców;
10 kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
Dla rozpustników, mężczyzn współżyjących ze sobą, handlarzy ludźmi, dla kłamców, krzywoprzysięzców i dla wszystkiego, co [jest] przeciwne zdrowej nauce;
11 ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
Zgodnie z chwalebną ewangelią błogosławionego Boga, którą mi powierzono.
12 Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
Dziękuję więc temu, który mnie umocnił, Chrystusowi Jezusowi, naszemu Panu, że uznał mnie za wiernego, przeznaczając [mnie] do posługi;
13 Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
[Mnie], który przedtem byłem bluźniercą, prześladowcą i gnębicielem, ale dostąpiłem miłosierdzia, bo czyniłem to nieświadomie, w niewierze.
14 Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
A łaska naszego Pana stała się bardzo obfita wraz z wiarą i miłością, [która jest] w Chrystusie Jezusie.
15 Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
Wiarygodne to słowa i godne całkowitego przyjęcia, że Chrystus Jezus przyszedł na świat, aby zbawić grzeszników, z których ja jestem pierwszy.
16 Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios )
Lecz dostąpiłem miłosierdzia po to, aby we mnie pierwszym Jezus Chrystus okazał wszelką cierpliwość jako przykład dla tych, którzy mają w niego uwierzyć ku życiu wiecznemu. (aiōnios )
17 Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
A Królowi wieków, nieśmiertelnemu, niewidzialnemu, jedynemu mądremu Bogu [niech będzie] cześć i chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
18 Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
Ten nakaz daję tobie, synu Tymoteuszu, według wcześniej wygłoszonych o tobie proroctw, abyś toczył zgodnie z nimi dobry bój;
19 ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
Mając wiarę i czyste sumienie, które niektórzy odrzucili i stali się rozbitkami w wierze.
20 Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.
Do nich należą Hymenajos i Aleksander, których oddałem szatanowi, aby nauczyli się nie bluźnić.