< 1 Timotheo 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
Mi äpeia Khritaw Jesuh ja mi küikyan Bawi Pamhnama khü, Khritaw Jesuha ngsä Pawluh üngkhyüh ni —
2 Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Jumnak üng ka ca kcang Timotia veia: Mi Pa Pamhnam ja mi Bawipa Khritaw Jesuh naw bäkhäknak, mpyenmseinak ja dimdeihnak ning pe se.
3 Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
Maketawnih hne da ka ceh üng ka ning cüka kba Ephet mlüha na awma vai ka hlüeiki. Khyang avang naw akhye mcuhmthehnake ami jah mthei cän jah him kawm ti.
4 wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
Jumeinak üng mi ksinga Pamhnama bü cun am khüi u lü jah ngcuhngkaihsak khai khuikam ja pakhui tähnake cän ami jah hawih vaia jah mtheh bä.
5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
Ahin ka tinak hlü ta, mlung angcim, ngcimkia ksingnak ja jumeinak kcange üngkhyüh lawkia mhläkphyanak a ve law vaia ni.
6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
Khyang avange cun ahine üngkhyüh nglat u lü amdanga ngthähnak am ami lam mkhyühki he.
7 wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
Pamhnama thum jah mthei hlü u lüpi, mkhühüpnak üng a mi pyena mawnge ja amimäta ngthukhyü pi am ksing u.
8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
Thum cun sumeinak vai üng mi sumei cun dawki tia mi ksingkie.
9 Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
Acuna thume cun khyang kdawa phäh am kya, lüpi thum lümkanki he, khyangksee, Pamhnam am ksing lü mkhyekatkie, hjawkkhah ning ja Ngmüimkhya lam am ksingkie, ami nupa hnimki he ja khyang hnimki he,
10 kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
ami vecawh am dawki he, hüipawmkie, khyang pinmankie, hleihlak lü cangkia mcuhmthehnak kpet lü akhyea saksi jah pekie ja akdaw ngthei ngkhawngnak üng ngsukhyekie ni.
11 ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
Acuna mtheinak cun Pamhnama hlüngtainak ja jodawnak cun thangkdaw üngkhyüh kya lü acun hin sang khaia kei üng a na ap ni.
12 Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
Ka khüibinak üng ngjuktha na pekia mi Bawipa Khritaw Jesuh cun ka jenaki. Ania khut bi khaia ka lawingkawihkia ngai lü a na mcawna phäh ka jenak ni.
13 Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
Ahlana ani cun mkhuimkha lü ksekha na lü am adawa mawng ka pyen khawi kyawki. I ka pawh käh ksing lü jumnak am tak ham üngpi Pamhnam naw na mpyeneiki.
14 Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
Khritaw Jesuh üng mi yümmatnaka kyaki mhläkphyanak ja jumnak cun kei üng na pe lü mi Bawipa naw a bäkhäknak akda keia khana buiki.
15 Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
Khritaw Jesuh khawmdeka a law hin mkhyeki he jah küikyan khaia lawki ti hin dokham lü jum kcang vai ti cun akcang pyena kyaki. Kei cun ami ksunga akse säih ni,
16 Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
lüpi Pamhnam naw kei a na mpyenei hin Khritaw Jesuha mlung saünak kei üng mdanki. Akse säiha mkhyeki he hnua jumei law u lü sak ngsäi xünnak ami yah vaia msuimcäpnaka ka kyaki. (aiōnios g166)
17 Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Pamhnam mat däka kyaki, am thi thei lü am hmuh theia kyaki angsäia sangpuxanga thawnki ania veia hlüngtainak ja mküimtonak am angläta ve se! Amen. (aiōn g165)
18 Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
Ka ca Timoti aw, ahina ngthupet cun nang üng ka ning ap ni, a hin cun ajana sahmae naw ami pyen kawia ngthukhyüa kyaki ni. Acäna ngthukhyüe cän akdawa na ngtukahnak vaia likcima jah sumei lü,
19 ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
na jumnak kcüng lü na cungaihnak pi vai kawm. Khyang avang naw ami ngcungihnak käh ngai u lü ami jumeinak kpyakie ni.
20 Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.
Acune ksunga Himenias ja Aleksanda cun Khawyama johita k'uma jah ap lü ka jah mkhuimkha ni; ahin naw Pamhnam ami hmakatsak ami hawih vaia jah mthei khai ni.

< 1 Timotheo 1 >