< 1 Timotheo 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
Ik'o no atoke no nojangtso Iyesus Krstos tzaziyon woshek wottso P'awlosoke.
2 Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Imnetiyon ari t naayi wottso T'imotiyossh, Ik'o nonihokere, nodoonz Iyesus Krstosoke s'aatonat mihretiyonu, jenonu neesh wotowe.
3 Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo
Mek'edoniy maants tiamor neesh oona ti ettsok'on, manoke fa'a ash ik ikuwots kooti dano bodanirawok'o nwoshish Efesonitse beewe.
4 wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.
Tururonat s'uu deshaw naar taawo maants k'ayr boanerawok'o boon azazowe, keewanots moosha bodoweti bako amanon fineyiru Ik'i finosh t'ak'ameratsnee.
5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.
Tzaziyanmó nib s'ayinotse, asaabi s'ayinon, arik wotts amanon daatsets shunoniye.
6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,
Ik ik ashuwots keewanotsatse k'aleyat k'awunts deshaw moosho maants k'az anernee.
7 wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
Man bok'aluwere nemo daniyruwotsi woto geeyatniye, wotowabako bokeewiruwo danatsne, arkeewetsnone boetirwono t'iwintsratsne.
8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.
Asho geyitsok'on bín b́finiyal nemo sheeng b́wottsok'o danfone.
9 Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,
Mank'owa nemo ned'iye ash kááwuwots b́woterawk'o danfone, nemo beeze mishetswotsnat k'uur finetsuwotsshe, Ik'osh k'erawwotsnat morr finetsuwotsshe, s'ayin woterawwotsnat kash keewo gac'iruwotsshe, bonihonat bo indon úd'iru kash úd'iruwots,
10 kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,
Widetswotsna, g'ad'wotsnat, asho up'dek'amt kemiru jaktswotsnat kootetswotsi, kooton taarirwotsnat arik wotts dano k'uriru keew jamo finiruwotsshe.
11 ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.
Arik wotts danonmó b́ daatset mangiyets Ik'o b́ shishits mangts doo shishiyone, doo shishiyanwere taash adar imetsoniyee.
12 Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.
Finosh taan amanetso woshde naashiyosh taawdek't imtso nodoonz Iyesus Krstosi udirwe.
13 Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.
Dab haniyere shin Krstosi c'ashtsonat gishtso, ketitso twotiyalor, bí taash mhretiyo b́woshi, bíwere taash mhretiyan b́wosh taa jaman t k'al daronat aman tk'aztsatse tuutson b́ teshtsotsne.
14 Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
Noo Ik'o s'aato Iyesus Krstosn nok wotts imnetiyonat t shunonton s'eent ooytso taash imere.
15 Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
«Iyesus Krstos morr finetswotsi kashiwosh datsats waare» etiru aap'o arikonat ash jamo dek'o bin b́ geyit keewe, morrets jamuwotsitsnor bítsi bog morretso taane.
16 Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios )
Ernmó taash mihretiyow oshere, taash mhretiyo woshere Iyesus Krstos ayidek't ayts b́ k'amoon ashe dash morretso wottsosh tiatse kitsosh bín amanitsuwotsnat dúre dúri kash datsituwotssh sheeng artso t wotishee. (aiōnios )
17 Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Mansh dúre dúri Nugúsosh, k'irrawosh, be'erawosh, Ik'o Izar Izewersh mangonat udon bísh dúre dúrosh wotowe! Amen. (aiōn )
18 Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,
T naayi T'imotiwoso! haniyere shin njangosh bek'on keewetsok'on azazets adaranotsi neesh imetuwe, bek'mann jisheyar kes'i sheengo kec'ee,
19 ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.
Amanonat maac' s'ayinetso wotowe, ash ik ikuwots bonibo bojuutsatse tuutson markabo jongon b́t'ffok'o bo imnetiyo t'afs'uure.
20 Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.
Boyitse Hemenewosnat t Iskndrn fa'enee, boowere Ik' c'ash aap'o keewo k'azo bo danetwok'o Shed'anosh beshidek'at imik'rere.