< 1 Timotheo 6 >

1 Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.
Musiye bahikana vonse vena kwi jokwe kukuteka vayendisi vavo che kute lyulonse. Vaswanera kuchita ichi iri kuti izina lya Ireeza ni tuto yakwe kanji zi nyaziwa.
2 Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.
Vahikana vena vayendisi vavo vachi vava zumini kavaswaneli kuva vuza ikute kakuli mizwale. linu, vaswanera kuva severeza monse ahulu. Kuva yendisi va tusiwa che misevezi yavo kuva zumine ni vasakiwa. Urute ni kutalusa izi zintu.
3 Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,
Mwendi zumwi uruta zi chichana mi katambuli itayero zetu zi sepahala, nji kuti, manzwi a Simwine wetu Jesu Keresite. Mwendi mane kava tambuli i tuto zitwala kuvu halo bwa Ireeza.
4 huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
Uzo muntu uli kumusa mi kakwina chezi. nihakwina bulyo, u lwala cho kulyangana ni kukanana kuama ziyambo zi sena tuso. Azi ziyambo kazina ituso, ni muuna, ni mukutukana, ni mukuhupulera bantu vuvi, ni
5 na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
hape pahazwa ifapano i mbilala za vantu va maano a volete. Va sanduka kuzwa kwi niti. Vahupula kuti vulaperi nje nzira ifumiza mutu.
6 Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
Linu vulaperi ni kusepa che nkulo chifumu chi kando.
7 Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
Kakuli kakwina chituva leti mwi Nkanda. Hape kakwina chituola kuhinda muili.
8 Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Linu, tuli tumere che zilyo ni zizwato zitukwete.
9 Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
Hanu avo vasaka kuva vafumite vawiranga mumiiko, mukla swa. Vawiranga muma lava ovu hafu ni muzintu zi holofaza ni muzintu zonse zipanga vantu kuwira mu kusinyeha ni kufokola.
10 Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.
Kakuti i rato lya mashereñi njo muhisi we zivilala zonse. Vamwi vantu vazi lakamina ahulu chivavazwi mwi tumero mi chivavali hwezi avo vene ni masikuluko mangi ahulu.
11 Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
Kono inwe, vakwame va Ireeza, muzwe kwezi zintu. Mungane kuluka, vulaperi, kusepahala, irato, kuwonderela, ni kulikwata.
12 Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
Mulwe inkondo i ndotu inkondo ye tumero. Mukwatirire kwi sepiso iya kuireisa mani iyo imuva supwa. I vaka lyechi kuti muvahi vupaki havusu bwe pankinzingi kwecho chili chiloto. (aiōnios g166)
13 Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,
Ni miha iyi itayero havusu Ireeza, yo leta kuti zintu zonse zihale, ni havusu bwa Keresite Jesu, yava wambi chivali che niti kwa Potisi Pilato:
14 uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,
muvike hande itayero, nikusena kunyazahala, kusikira ha kuvoneka kwa Simwine wetu Jesu Kiresite.
15 ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,
Ireeza kezivahaze kuvoneka kwakwe he nako i swanera - Ireeza, yo Fuyaulitwe, inzo ziho zonke, Simwine yo vunsa, Simwine yo yendisa.
16 yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
Njiyena yenke yasa fwi mi uhala mwi seri lisa loliwa. Kakwina muntu yo mulola kamba kumuvona. Kwali kuve ni kute ni ziho zisa mani. Amen. (aiōnios g166)
17 Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
Uwambire vafumi mweyinu inkanda kanji valikumusi, ni kusa vika i sepo yavo muchifumu, iri zintu zise kalilire. kono, vaswanera ku sepa mwe Ireeza. Utu newira vonse vuniti bwe chifumu kuti tulikole. (aiōn g165)
18 Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.
Uva wambire kuti banpange hande, kufuma mukupanga zintu zilotu, kuli yumbula, ni kusaka kuliyavira.
19 Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
Mweyo, inzira, muvali vikire musumo mulotu wezo zikezite, iri kuli niva kwatirire kuvuhalo sakata.
20 Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
Timoteya, uvavalere icho chiva hewa kwako. Uzwe kwi ngambolo zo buholo ni kani zisa tusi chimwi checo chiva supa kuti ingana.
21 ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.
Vamwi vantu vawamba inzi zintu mi chivava zwi mwi tumero. Mi chishemo chive nawe.

< 1 Timotheo 6 >