< 1 Timotheo 6 >
1 Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.
Mpyae naw ami mahpae cun leisawng vaia ngkäihkia ami ngaih üngva Pamhnama ngming ja kami jah mtheinak cun akse u naw pi am pyen.
2 Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.
Khritjan mahpanakie mpyae naw ami mahpae käh jah mdihmsui u se, isetiakyaküng ami mahpae cun pi jumeikie ni. Sa lü akdaw bawka jah bi pet khaie, isetiakyaküng ami khut üngkhyüh akdaw ami yaheinak cän ami jah kphyanak jumeikie ami mahpae ni. Nang naw ahine cun sang lü na jah mthei yah khai.
3 Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,
A u pi mi ngtheinak ja mi Bawipa Jesuh Khritawa ngthu kcang üng am täng lü ningsaw hngalangkia mtheinak pawki cun,
4 huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
awcahnak naw mjaw lü i pi am ksing. Ani naw a law cun am dawkia ngcuhnak ja ngvawknak hlü vai khyü nglung he ta lü ahin naw ng’eihnak, ngcuhngkaihnak, thangmsetnak, aksea ngaihnak,
5 na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
angläta ngcuh vai cun ngthungtak ami mlunga am vekia khyange ni. Ningsaw hin bawimangnak vaia amimi naw ngaikie ni.
6 Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
Daw ve, mi tak mi khäksak üng ningsaw naw jah bawimangsaki.
7 Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
Khawmdeka i mi law püiki ni? I am mi law püi! Khawmdek üngkhyüh i ja mi cehpüi thei? I am mi cehpüi thei!
8 Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Acuna kyase, eiawk ja suiawi mi tak hin mimia phäh khäk ve.
9 Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
Lüpi, bawimang hlükie cun, hlawhlepnak khamei u lü angnak naw jah pinman lü akse hlükaweinak naw amimi cun pyaknak ja pyüpyehnak da jah kaihki ni.
10 Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.
Ngui jawngnak hin aksekhyu naküta phungnu ni. Khyang avang cun ahin tak vai täng lü jumnak üngkhyüh akthuka cit u lü ami mlung puksetsakie ni.
11 Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
Acunsepi, nang Pamhnama khyang ahina ngkhawe jah hjawnga. Nang ta ngsungpyunnak, Pamhnam ksingnak, jumeinak, mhläkphyanak, khameinak ja hniphnawinak na tak vaia mtunei bä.
12 Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
Jumeinak üng na khyaih khawha dawng lü angläta xünnak cän yaha, saksi khawhah maa na tak jumnak ja Pamhnam naw ahina sak aning khü üng angkhänga na ng’anei cän ni. (aiōnios )
13 Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,
Anaküt üng xünnak pekia Pamhnam hmai ma ja Pontas Pilat maa jumnak angkhänga ng’aneiki Khritaw Jesuha maa ngthu ka ning pet ta,
14 uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,
Mi Bawipa Jesuh Khritaw ponak law Mhnüp vei cäpa sitih lü na bi vai jah kcüngei lü jah läklam kawm pi.
15 ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,
Bawiea Bawipa, sangpuxangea Sangpuxang, a jodaw lü Suki mat däk Pamhnam kcün a kha üng a ponak vai cun ngdang law khai.
16 yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios )
Ani däk va am thi thei lü u naw pi am a k’et khawha akvai üng veki. U naw pi am hmu thei, u naw pi am hmu khawi. Angläta johit ja leisawngnak a veia ve se! Amen. (aiōnios )
17 Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn )
Hina kcünsak üng bawimangkie cän, ami kcünsak üng käh awhcah lü am ngkhängkia bawimangnak üng äpeinak käh ta lü anaküt mi jekyainak vaia jah peki Pamhnama vei äpeinak ami tak vaia jah mtheha. (aiōn )
18 Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.
Ami tak cun käh kpamei lü akce üngpi jah yet lü akdaw lama bawimang u lü akdaw ami bilawh vaia jah mtheha.
19 Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
Ahina tuilam üng ni malama ngkhängkia bawimangnak cun mkhämei khaie ni. Acun üngva amimi naw xünnak akcang cun yahei khaie.
20 Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
Timoti aw, na mcei vaia ning ap cän akdawa säma. Amdang pyensake ja khyang avange naw “Ksingkhyapnak” ami tia am käh ngtähkia ngcuhngkaihnake cän jah hjawng bä.
21 ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.
Avang he naw acun kami taki ti u lü acuna phäh jumnak lam mkhyühki he. Pamhnama bäkhäknak nami vana khana ve se.